Gardner G Habash: Najuta kuachana na mke wangu wa kwanza

Inasikitisha zaidi pale amabapo mtalaka wake kesha olewa sasa, maskini hiyo kauli lazima inamuumiza sana, alitegemea angekuwa single amuangukie waendelee na maisha. Pole zake.
 
Ana maana gani kujuta wakati mke alimuacha mwenyewe kwa hiyari yake kwa tamaa za mali za jide? matokeo yake kaondoka na boxer tu *****, jide mbaya
Hahahahaaaaa
 
That's how a man moves on.....
Ka move vipi wakati bado anamlilia mke wake wa kwanza?
Au ku move huko ni kwa Jide tu?Sioni namna ambayo Gadna keshamove,ni suala la wakati tu.
Atakuja kulia lia kama anavyolia kwa mke wake wa kwanza.
Kumbuka hata mwanzo alikuwa anajitapa kamove on kwa mkewe kama ilivyo sasa kwa Jide.
 
unajuaje kama napenda kuandika habari za watu kama na wewe hupendi kusoma mambo y watu? umbea tu jitu zima nitolee upuuzi wako hapa
Tatizo lako wewe hupendi kuambiwa ukweli, i dont know why?
 
Tatizo lako wewe hupendi kuambiwa ukweli, i dont know why?
Na wewe nitolee unafiki wako huko, wewe kama hupendi umbea humu kilichokuleta nn? au mk*und* unawasha asubuhi asubuhi , unikome mbwa wewe, nenda kaoshe uch* wako achana na mimi kabisaaa
 
jide yupo juu akae akijua

kwani kabisha???kwani lini Gadner aliwahi kuwa juu ya Jide au yeye kusema yupo juu ya Jide???Jide yupo juu tangu mwanzo siku zote na sidhani kama ni tatizo kwa Gadner!!!
 
jide yupo juu akae akijua


Yupo juu kivipi;

unatakiwa kutofautisha ndoa na masualwa mengine, hata kama wewe mke una pesa kama mchanga but ukifika ndani kwangu you have to obey kwa mme wako; ukishaamua kuolewa means umeamua kusurrender freedom yako yote kwa mme wako. ndoa nyingi zinavunjika kwa sababu mwanamke eti kwa sababu yeye anapesa au ana elimu kubwa kumzidi mme wake ndo sababu ya kufanya atakalo

Tutazidi kuwapiga taraka maana hamna namna nyingine
 
Pole
 
Warumi leta ubuyu wa Idris, Wema na Davito...naskia jana usiku kilinuka Davito na Idris ha ha haaa dunia ina mambo looh
 
Mimi ninaamini mke wa kwanza kabisa ulieoana nae huyo ndio ubavu wako.Hakuna kosa kubwa kama kumuacha mkeo wako wa kwanza.Labda itokee amefariki hapo sawa,laasivyo..unajitafutia majanga tu
 
Kwa hilo la kukataa kuongelea masuala ya mtalaka wake nampongeza sana huo ndio uanaume angelikuwa Mhaya hapo angebwabwaja mpaka basi.
Nini maana ya ukabila hapa?? Acha upuuzi wako wewe. Watu wanajadili mambo mengine wewe unaleta ukabila.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…