Gari Brevis tamu sana kwa safari ndefu!

Hatuhitaji employment history yako. Kwamba TCC ndio nini yani?

Umeshajionyesha kuwa wewe sio dereva wa masafa, kaa kwa kutulia.

80kmph maximum speed? Highyway?
Huna unachojua,ni utoto na kujimwambafya kwamba wewe ni Bora kuliko wengine.Huna ubora wowote, wazazi wako ndio wanakuona Bora.Hata Mimi hivyohivyo
 
Hakuna anayekutisha kwani yakikukuta ,ni Wewe na familia Yako Ishi upendavyo na ujinga wako!
 
Hatuhitaji employment history yako. Kwamba TCC ndio nini yani?

Umeshajionyesha kuwa wewe sio dereva wa masafa, kaa kwa kutulia.

80kmph maximum speed? Highyway?
Mwalimu wako alipatia shida kukufundisha,nimemwambia hiyo speed ya80km/hr,ipo kwenye kampuni tajwa na mpaka Sasa ni hivyo,Wewe ungekuja na employment history!Vipi mkuu mbona simple anda clear,povu la Nini ni mjadala wa kawaida tuu,we kimbia mbio , ukipiga mzinga,ufe,upone utajua wewe na familia Yako .
 
Nenda tuu hiyo 140_150km/hr, Yakikukuta usiseme umerogwa!
Mbona umekomalia sana hilo neno, ukiona mtu anatembea spidi hiyo ujue kuwa anajua anachokifanya. Kwanza barabara uwe umeizoea, pili chombo kiwe vyema, tatu uwe mtu wa road mara kwa mara. Huwezi tembea spidi 50-80 Dar to MWZ
 
We jamaa utakuwa umetumwa sio bure yani serious unataka kutubebesha gunia la misumari lituchane mgongo?
 
Mbona umekomalia sana hilo neno, ukiona mtu anatembea spidi hiyo ujue kuwa anajua anachokifanya. Kwanza barabara uwe umeizoea, pili chombo kiwe vyema, tatu uwe mtu wa road mara kwa mara. Huwezi tembea spidi 50-80 Dar to MWZ
Nenda mkuu utakavyo,yakikukuta ndio utajua, Bahati Nzuri sitakuwepo!
 
Usipangie watu. Usitoe ushauri kama hujaombwa
Humu ni jukwaa huru, hata wewe huwezi kunipangia Nini Cha kufanya,unaonyesha jinsi ilivyo Mpumbavu,unaongeza yaleyale unayotenda, Hekima hupewacbaadhi kwa kweli,Baba nae anasema Nina mtoto!
 
kwahiyo prado inakuchelewesha kumwahi israeli mtoa roho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…