Gari mpya ya kifahari ya Diamond Platnumz

Gari mpya ya kifahari ya Diamond Platnumz

Sio lake . Ata ukiangalia ile nyimbo ambayo kamshirikisha Ne-YO yale magari yana plate number za Tanzania ila magari yote ni ya Ne-YO
 
Mie Yanga, so hii Hainihusu

lakini

Hivi haya magari anazikwa nayo?

nauliza tu


Maana kama mtu una gari zako mbili
moja ya kutembelea na nyingine ya kuzungukia

unanunua nyingine saba za nini?

Basi hata tuyahurumie mazingira,

Maana hilo dude litaongeza hata kama 0.00007% ya Carbons halifai


Haya mnipige mawe sasa ...
Binadamu bwana!
 
Wimbo lenyewe baya ne-yo kamfunika yani kabaki kitukana watu instagram. Mida ya kutubu imefika .
 
Msanii pekee wa Kimataifa kutoka ardhi ya Tanzania ambaye amefanya kolabo kibao na wasanii kutoka nchi ya Donald Trump kama Ne-Yo. Rihana, Rossey, leo kupitia akaunti yake ya Instagram ametupia picha ya gari yake mpya yenye hadhi ya wasanii wa kimataifa kama akina Jay Z, Kanye West, Birdman, Weezy na Breezy aina ya Rolls-Royce . Pamoja na hayo SIMBA himself ametoboka tena kiasi cha pesa za madafu milioni 10 (10,000,000) kulipia jina maalum la SIMBA.

db8dc7b47b7e283b97af0872c33f46d1.jpg
ili gar limetumika kwny video ya marry you km umebahatika kuiona
 
Promo ya Wimbo unajua lile la Mosha tu bongo yako machache kuna GSM ARIS na Omar Bhakressa alilo muuzia Davis Mosha
c09fef223c1fd59912490a07e3a75cfe.jpg
 
Hahaha hata kama ndo mahaba mkuu si vyema kudanganya,unajua thamani ya hayo magari matano ni bei gani?
Nyie mnamaliza nguvu za ugali na matembere tu hapa mnabishania nini....!
 
Inabid waungwana mvumilie tu haswa wale akina tomaso na wengine ambao they cant stand hearing diamond's name, mbongo hadi aone gari imepaki nyumbani kwake ama anatembelea barabarani ndo aamini
 
Mbona mapovu hivo kwa watanzania wenzio [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenyewe ameweka picha kama promo ya uzinduzi wa nyimbo yake; mtu amekimbilia hapa bila kuelewa lengo lake na kuweka habari hii, mtu kama huyu akiombwa atachomoa kweli?
 
Msanii pekee wa Kimataifa kutoka ardhi ya Tanzania ambaye amefanya kolabo kibao na wasanii kutoka nchi ya Donald Trump kama Ne-Yo. Rihana, Rossey, leo kupitia akaunti yake ya Instagram ametupia picha ya gari yake mpya yenye hadhi ya wasanii wa kimataifa kama akina Jay Z, Kanye West, Birdman, Weezy na Breezy aina ya Rolls-Royce . Pamoja na hayo SIMBA himself ametoboka tena kiasi cha pesa za madafu milioni 10 (10,000,000) kulipia jina maalum la SIMBA.

db8dc7b47b7e283b97af0872c33f46d1.jpg
Nimecheka sana ulivyo sema wasanii kutoka nchi ya Donald Trump
 
Back
Top Bottom