Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
huu ndio uhalisia, hamna ambaye hatamani Vieite ila mipunga tu 😂😂😂Ishu hapa ni uwezo wa kununua hayo magari mazuri, na ndio maana hata hapa wenye hayo magari ni watu wenye fedha zao.
Baadhi yetu tunafahamu hayo magari mazuri lakini tunaendesha ist kwa sababu hatuwezi kuyanunua hayo