Gari wanazohitaji waTanzania hazipatikani dunia nzima

Gari wanazohitaji waTanzania hazipatikani dunia nzima

Mkuu kwani gari ni sienta tu mzee, si kuna gari za viwango tu kama ES300 ya mwaka huo still ni gari ya uhakika ukiachilia hizi common cars kama GX110 au Verossa mbona ziko comfortable tu kama hio Benz unayotambia? Au ukipanda benz haikanyagi lami [emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo ES300 ya miaka 20 iliopita ipo wapi?
 
Hiyo ES300 ya miaka 20 iliopita ipo wapi?
Itazame hapo kwa ufupi tu!
images (2).jpeg
images (3).jpeg
 
Mtanzania anahitaji gari moja yenye sifa zifuatazo.

1-isiwe inakula mafuta, ikiwa inakula mafuta utasikia (jini hilo).
2-Gari ambayo ikiharibika vipuri vipatikane kwa bei nafuu.
3-Gari ambayo ina acceleartion kubwa na top speed kubwa mfano 220km/hr....300km/hr
4-Muonekano mzuri na imara.
5-Yenye gharama nafuu katika utengenezaji.
6-Iwe na uwezo wa kupita off-road.
7-Isiwe old model.
8-isiwe na mifumo na sensors nyingi za umeme (mfano bmw).

Na kinachonimaliza kabisa...

9-Iwe na bei nafuu.

Utabaki kuendesha ist na vitz mpaka unazeeka..

Ushauri kwa waTanzania wenzangu, tutabaki kuwapigia makofi na kuwasifia wanaume wenzetu wanaomiliki range rover na discovery,bmw x6,v8, benz n.k...
Huwezi hata siku moja kupata gari yenye hizo sifa zote thats why bara bara zimejaa ist, wish, crown, harrier n.k

Kumbuka unapokwenda kununua gari fahamu gari haitumii mtori wala uji, gari inatumia mafuta, brevis tu zimewashinda kila siku mnapiga kelele, mtamiliki gari gani nzuri yenye kasi, luxury, comforatable na speed kama mnakimbia majukumu?

Badilikeni ndugu zangu, acheni maisha ya kukariri, kwa East Africa naona sisi ndio tunamiliki gari za kishamba kuliko wote.




1200px-2018_BMW_X6_xDrive30d_M_Sport_Automatic_3.0_Front.jpg


2021-Tundra-1-copy.jpg


USC90JES052F021001.jpg
Sisi wenye mark x,mbona tupo comfortable tu mkuu
 
Mjapenga mitano 5 🤣
Jamaa walikupa bei ya kutupwa bila shaka! Sasa imagine kwa mjerumani spare gani utauziwa 40K? 😂😂😂 Maana kila gari toleo lake linakuja na spear tofauti. Hapa ndip Toyota alipotisha zaidi!

Engine moja application kwenye gari 3-4....Spare pia zinaingiliana kichizi yani 😁😁😁
 
Nioneshe huku barabara za Tanzania.

Kiuhalisia hizo lexus sizioni bongo.
Kwahio nikae barabarani napiga picha gari za watu kama traffic si wehu huo 😂?

Hapa tunabishana kwa hoja picha nimekupa haya sema kilichopungua humo kwamba gari hio haina AC kwenye Benz ipo, haina leather seats kwenye benz zimo, haina wood trimming kama kwenye Benz lako C Class, Haina Redio wala Sunroof kama kwenye benz!
 
Mtanzania anahitaji gari moja yenye sifa zifuatazo.

1-isiwe inakula mafuta, ikiwa inakula mafuta utasikia (jini hilo).
2-Gari ambayo ikiharibika vipuri vipatikane kwa bei nafuu.
3-Gari ambayo ina acceleartion kubwa na top speed kubwa mfano 220km/hr....300km/hr
4-Muonekano mzuri na imara.
5-Yenye gharama nafuu katika utengenezaji.
6-Iwe na uwezo wa kupita off-road.
7-Isiwe old model.
8-isiwe na mifumo na sensors nyingi za umeme (mfano bmw).

Na kinachonimaliza kabisa...

9-Iwe na bei nafuu.

Utabaki kuendesha ist na vitz mpaka unazeeka..

Ushauri kwa waTanzania wenzangu, tutabaki kuwapigia makofi na kuwasifia wanaume wenzetu wanaomiliki range rover na discovery,bmw x6,v8, benz n.k...
Huwezi hata siku moja kupata gari yenye hizo sifa zote thats why bara bara zimejaa ist, wish, crown, harrier n.k

Kumbuka unapokwenda kununua gari fahamu gari haitumii mtori wala uji, gari inatumia mafuta, brevis tu zimewashinda kila siku mnapiga kelele, mtamiliki gari gani nzuri yenye kasi, luxury, comforatable na speed kama mnakimbia majukumu?

Badilikeni ndugu zangu, acheni maisha ya kukariri, kwa East Africa naona sisi ndio tunamiliki gari za kishamba kuliko wote.




1200px-2018_BMW_X6_xDrive30d_M_Sport_Automatic_3.0_Front.jpg


2021-Tundra-1-copy.jpg


USC90JES052F021001.jpg
Jisemee mwenyewe usitumie neno "watanzania"!
 
Kwahio nikae barabarani napiga picha gari za watu kama traffic si wehu huo 😂?

Hapa tunabishana kwa hoja picha nimekupa haya sema kilichopungua humo kwamba gari hio haina AC kwenye Benz ipo, haina leather seats kwenye benz zimo, haina wood trimming kama kwenye Benz lako C Class, Haina Redio wala Sunroof kama kwenye benz!
Huyu mjerumani wetu wa jf.. ni mtata. Asipo ona gari haimaniishi haipo.. ndio ajue kwanaa BMW ni yebo yebo ndio maana vijana wanazo kibao huku kitaaa ila sio lexus
 
Ndio ukweli huo sijawahi kuona Mabilionea wana show off na hizo Toyota, tunaona tu Benz G wagon, Bwm , RR , na nyingi za Ulaya.. labda Dubai ndio tunaona mwarabu tena jangwani anafanyia mbwembwe huko,hizo Toyota .. , tuwe wakweli mioyoni kwetu hata huko Japani wenye nazo utaona wanasukuma Mjeruman, nionyeshe tajiri yoyote Japan asikuwa na gari ya Ulaya., kuanzia Waziri Mkuu wao mpaka mabilione wao wanasukuma Germany mashine.., na kwao ndio Kiwanda cha Toyota kilizaliwa.
Kwa hio braza umetuona utudanganye kabisa sio?

Mawaziri wakuu wa Japan gari zao ni Toyota century,LS600h.
 
Mjapana akili kubwa.. hajawahi kutuangusha watanzania
Sio watanzania tu,hata wamarekani na pesa zao zote Toyota ni mkombozi wao,cheki units za magari walizouza Toyota hapo linganisha na wajerumani walioko mwishoni kabisa mwa list yaani 3 bomba(Bmw,Mercedes,vw).

Sales in units

1.Ford 2,284,425

2.Toyota 2,085,206

3.Chevrolet 1,942,039

4.Honda1,450,985

5.Nissan 1,227,973

6.Jeep 923,292

7.Ram 703,023

7.Subaru 700,117

8.Hyundai 688,771

9.Kia 614,613

10.GMC 564,950

11.Dodge 422,888

12.Volkswagen 363,322

13.Mercedes-Benz 352,129

14.Bmw 324,825
 
Kwahio nikae barabarani napiga picha gari za watu kama traffic si wehu huo [emoji23]?

Hapa tunabishana kwa hoja picha nimekupa haya sema kilichopungua humo kwamba gari hio haina AC kwenye Benz ipo, haina leather seats kwenye benz zimo, haina wood trimming kama kwenye Benz lako C Class, Haina Redio wala Sunroof kama kwenye benz!
Poor build quality.

Stability, Handling, premium features.

I have driven both. Nimeexperience alot of differences.
 
Mtanzania anahitaji gari moja yenye sifa zifuatazo.

1-isiwe inakula mafuta, ikiwa inakula mafuta utasikia (jini hilo).
2-Gari ambayo ikiharibika vipuri vipatikane kwa bei nafuu.
3-Gari ambayo ina acceleartion kubwa na top speed kubwa mfano 220km/hr....300km/hr
4-Muonekano mzuri na imara.
5-Yenye gharama nafuu katika utengenezaji.
6-Iwe na uwezo wa kupita off-road.
7-Isiwe old model.
8-isiwe na mifumo na sensors nyingi za umeme (mfano bmw).

Na kinachonimaliza kabisa...

9-Iwe na bei nafuu.

Utabaki kuendesha ist na vitz mpaka unazeeka..

Ushauri kwa waTanzania wenzangu, tutabaki kuwapigia makofi na kuwasifia wanaume wenzetu wanaomiliki range rover na discovery,bmw x6,v8, benz n.k...
Huwezi hata siku moja kupata gari yenye hizo sifa zote thats why bara bara zimejaa ist, wish, crown, harrier n.k

Kumbuka unapokwenda kununua gari fahamu gari haitumii mtori wala uji, gari inatumia mafuta, brevis tu zimewashinda kila siku mnapiga kelele, mtamiliki gari gani nzuri yenye kasi, luxury, comforatable na speed kama mnakimbia majukumu?

Badilikeni ndugu zangu, acheni maisha ya kukariri, kwa East Africa naona sisi ndio tunamiliki gari za kishamba kuliko wote.




1200px-2018_BMW_X6_xDrive30d_M_Sport_Automatic_3.0_Front.jpg


2021-Tundra-1-copy.jpg


USC90JES052F021001.jpg
MIMI NIKIPATA PESA NTAAGIZA TOYOTA LC76 AU LC70.
 
Mjapani anagusa kila Level ya uchumi ndio maana wanamuona maandazi tu. Nadhani magari anayotoa TOYOTA tu ukiachilia akina Nissan, yanafika 150+. Mjerumani ana magari machache sanaaa
Usiangalie magari wanayopenda waTanzania ndio ukahisi ndio uhalisia wa dunia. Miaka mingi gari aliyokuwa inaongoza kwa mauzo duniani kila mwaka ni VolksWagon. Mwaka jana Toyota akaongoza kwa mala ya kwanza. German ana export magari mengi sana

Screenshot_20210207-192313_Chrome.jpg

Hizo unit in millions.
 
Kwahio nikae barabarani napiga picha gari za watu kama traffic si wehu huo [emoji23]?

Hapa tunabishana kwa hoja picha nimekupa haya sema kilichopungua humo kwamba gari hio haina AC kwenye Benz ipo, haina leather seats kwenye benz zimo, haina wood trimming kama kwenye Benz lako C Class, Haina Redio wala Sunroof kama kwenye benz!
Toyota Fan boys hizo gari hamzileti.

Mnakimbilia kina Wish, IST, Passo, mark x, crown, brevis. Hizo ndo yeboyebo zenu.

Ila lexus mtaishia kuzisifia. Ila kuzimiliki hata hizo hamziwezi sawa na kina BMW, audi..

Hata hizo toyota zimechoka kinoma. Zinawashinda mnaleta story za lexus.
 
Usiangalie magari wanayopenda waTanzania ndio ukahisi ndio uhalisia wa dunia. Miaka mingi gari aliyokuwa inaongoza kwa mauzo duniani kila mwaka ni VoxWagon. Mwaka jana Toyota akaongoza kwa mala ya kwanza. German ana export magari mengi sana

View attachment 1696887
Hizo unit in millions.
Hakuna anaebisha kampuni kubwa ya magari ulimwenguni ni VW
 
Back
Top Bottom