Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Hata Toyota ninayo.Huyu mjerumani wetu wa jf.. ni mtata. Asipo ona gari haimaniishi haipo.. ndio ajue kwanaa BMW ni yebo yebo ndio maana vijana wanazo kibao huku kitaaa ila sio lexus
Bado ipo kwasababu inabeba historia ndefu.
Ila siikubali kabisa.