Hiyo ES300 ya miaka 20 iliopita ipo wapi?Mkuu kwani gari ni sienta tu mzee, si kuna gari za viwango tu kama ES300 ya mwaka huo still ni gari ya uhakika ukiachilia hizi common cars kama GX110 au Verossa mbona ziko comfortable tu kama hio Benz unayotambia? Au ukipanda benz haikanyagi lami [emoji23][emoji23][emoji23]
Itazame hapo kwa ufupi tu!Hiyo ES300 ya miaka 20 iliopita ipo wapi?
Nioneshe huku barabara za Tanzania.
Sisi wenye mark x,mbona tupo comfortable tu mkuuMtanzania anahitaji gari moja yenye sifa zifuatazo.
1-isiwe inakula mafuta, ikiwa inakula mafuta utasikia (jini hilo).
2-Gari ambayo ikiharibika vipuri vipatikane kwa bei nafuu.
3-Gari ambayo ina acceleartion kubwa na top speed kubwa mfano 220km/hr....300km/hr
4-Muonekano mzuri na imara.
5-Yenye gharama nafuu katika utengenezaji.
6-Iwe na uwezo wa kupita off-road.
7-Isiwe old model.
8-isiwe na mifumo na sensors nyingi za umeme (mfano bmw).
Na kinachonimaliza kabisa...
9-Iwe na bei nafuu.
Utabaki kuendesha ist na vitz mpaka unazeeka..
Ushauri kwa waTanzania wenzangu, tutabaki kuwapigia makofi na kuwasifia wanaume wenzetu wanaomiliki range rover na discovery,bmw x6,v8, benz n.k...
Huwezi hata siku moja kupata gari yenye hizo sifa zote thats why bara bara zimejaa ist, wish, crown, harrier n.k
Kumbuka unapokwenda kununua gari fahamu gari haitumii mtori wala uji, gari inatumia mafuta, brevis tu zimewashinda kila siku mnapiga kelele, mtamiliki gari gani nzuri yenye kasi, luxury, comforatable na speed kama mnakimbia majukumu?
Badilikeni ndugu zangu, acheni maisha ya kukariri, kwa East Africa naona sisi ndio tunamiliki gari za kishamba kuliko wote.
Jamaa walikupa bei ya kutupwa bila shaka! Sasa imagine kwa mjerumani spare gani utauziwa 40K? 😂😂😂 Maana kila gari toleo lake linakuja na spear tofauti. Hapa ndip Toyota alipotisha zaidi!
Engine moja application kwenye gari 3-4....Spare pia zinaingiliana kichizi yani 😁😁😁
Kwahio nikae barabarani napiga picha gari za watu kama traffic si wehu huo 😂?Nioneshe huku barabara za Tanzania.
Kiuhalisia hizo lexus sizioni bongo.
Jisemee mwenyewe usitumie neno "watanzania"!Mtanzania anahitaji gari moja yenye sifa zifuatazo.
1-isiwe inakula mafuta, ikiwa inakula mafuta utasikia (jini hilo).
2-Gari ambayo ikiharibika vipuri vipatikane kwa bei nafuu.
3-Gari ambayo ina acceleartion kubwa na top speed kubwa mfano 220km/hr....300km/hr
4-Muonekano mzuri na imara.
5-Yenye gharama nafuu katika utengenezaji.
6-Iwe na uwezo wa kupita off-road.
7-Isiwe old model.
8-isiwe na mifumo na sensors nyingi za umeme (mfano bmw).
Na kinachonimaliza kabisa...
9-Iwe na bei nafuu.
Utabaki kuendesha ist na vitz mpaka unazeeka..
Ushauri kwa waTanzania wenzangu, tutabaki kuwapigia makofi na kuwasifia wanaume wenzetu wanaomiliki range rover na discovery,bmw x6,v8, benz n.k...
Huwezi hata siku moja kupata gari yenye hizo sifa zote thats why bara bara zimejaa ist, wish, crown, harrier n.k
Kumbuka unapokwenda kununua gari fahamu gari haitumii mtori wala uji, gari inatumia mafuta, brevis tu zimewashinda kila siku mnapiga kelele, mtamiliki gari gani nzuri yenye kasi, luxury, comforatable na speed kama mnakimbia majukumu?
Badilikeni ndugu zangu, acheni maisha ya kukariri, kwa East Africa naona sisi ndio tunamiliki gari za kishamba kuliko wote.
Ukiwakuta wanavyosifianaga ujinga sasaHalafu ananunua ist, akienda road trip anataka ajipime uwezo na Nissan Fuga.
We nunua tu faza,ukiingia huku JF unaweza kudhani kila mtu anaendesha Ferrari,Maserati yaani kwa huku jf Crown inaendeshwa na house boy.Mimi nina mahaba sana Crown Athlete,unanivunja moyo unaona sio gari ya maana.
Mjapana akili kubwa.. hajawahi kutuangusha watanzaniaMjapenga mitano 5 🤣
Huyu mjerumani wetu wa jf.. ni mtata. Asipo ona gari haimaniishi haipo.. ndio ajue kwanaa BMW ni yebo yebo ndio maana vijana wanazo kibao huku kitaaa ila sio lexusKwahio nikae barabarani napiga picha gari za watu kama traffic si wehu huo 😂?
Hapa tunabishana kwa hoja picha nimekupa haya sema kilichopungua humo kwamba gari hio haina AC kwenye Benz ipo, haina leather seats kwenye benz zimo, haina wood trimming kama kwenye Benz lako C Class, Haina Redio wala Sunroof kama kwenye benz!
Kwa hio braza umetuona utudanganye kabisa sio?Ndio ukweli huo sijawahi kuona Mabilionea wana show off na hizo Toyota, tunaona tu Benz G wagon, Bwm , RR , na nyingi za Ulaya.. labda Dubai ndio tunaona mwarabu tena jangwani anafanyia mbwembwe huko,hizo Toyota .. , tuwe wakweli mioyoni kwetu hata huko Japani wenye nazo utaona wanasukuma Mjeruman, nionyeshe tajiri yoyote Japan asikuwa na gari ya Ulaya., kuanzia Waziri Mkuu wao mpaka mabilione wao wanasukuma Germany mashine.., na kwao ndio Kiwanda cha Toyota kilizaliwa.
Sio watanzania tu,hata wamarekani na pesa zao zote Toyota ni mkombozi wao,cheki units za magari walizouza Toyota hapo linganisha na wajerumani walioko mwishoni kabisa mwa list yaani 3 bomba(Bmw,Mercedes,vw).Mjapana akili kubwa.. hajawahi kutuangusha watanzania
Poor build quality.Kwahio nikae barabarani napiga picha gari za watu kama traffic si wehu huo [emoji23]?
Hapa tunabishana kwa hoja picha nimekupa haya sema kilichopungua humo kwamba gari hio haina AC kwenye Benz ipo, haina leather seats kwenye benz zimo, haina wood trimming kama kwenye Benz lako C Class, Haina Redio wala Sunroof kama kwenye benz!
Sawa tajiri 😁🙏Poor build quality.
Stability, Handling, premium features.
I have driven both. Nimeexperience alot of differences.
MIMI NIKIPATA PESA NTAAGIZA TOYOTA LC76 AU LC70.Mtanzania anahitaji gari moja yenye sifa zifuatazo.
1-isiwe inakula mafuta, ikiwa inakula mafuta utasikia (jini hilo).
2-Gari ambayo ikiharibika vipuri vipatikane kwa bei nafuu.
3-Gari ambayo ina acceleartion kubwa na top speed kubwa mfano 220km/hr....300km/hr
4-Muonekano mzuri na imara.
5-Yenye gharama nafuu katika utengenezaji.
6-Iwe na uwezo wa kupita off-road.
7-Isiwe old model.
8-isiwe na mifumo na sensors nyingi za umeme (mfano bmw).
Na kinachonimaliza kabisa...
9-Iwe na bei nafuu.
Utabaki kuendesha ist na vitz mpaka unazeeka..
Ushauri kwa waTanzania wenzangu, tutabaki kuwapigia makofi na kuwasifia wanaume wenzetu wanaomiliki range rover na discovery,bmw x6,v8, benz n.k...
Huwezi hata siku moja kupata gari yenye hizo sifa zote thats why bara bara zimejaa ist, wish, crown, harrier n.k
Kumbuka unapokwenda kununua gari fahamu gari haitumii mtori wala uji, gari inatumia mafuta, brevis tu zimewashinda kila siku mnapiga kelele, mtamiliki gari gani nzuri yenye kasi, luxury, comforatable na speed kama mnakimbia majukumu?
Badilikeni ndugu zangu, acheni maisha ya kukariri, kwa East Africa naona sisi ndio tunamiliki gari za kishamba kuliko wote.
Usiangalie magari wanayopenda waTanzania ndio ukahisi ndio uhalisia wa dunia. Miaka mingi gari aliyokuwa inaongoza kwa mauzo duniani kila mwaka ni VolksWagon. Mwaka jana Toyota akaongoza kwa mala ya kwanza. German ana export magari mengi sanaMjapani anagusa kila Level ya uchumi ndio maana wanamuona maandazi tu. Nadhani magari anayotoa TOYOTA tu ukiachilia akina Nissan, yanafika 150+. Mjerumani ana magari machache sanaaa
Toyota Fan boys hizo gari hamzileti.Kwahio nikae barabarani napiga picha gari za watu kama traffic si wehu huo [emoji23]?
Hapa tunabishana kwa hoja picha nimekupa haya sema kilichopungua humo kwamba gari hio haina AC kwenye Benz ipo, haina leather seats kwenye benz zimo, haina wood trimming kama kwenye Benz lako C Class, Haina Redio wala Sunroof kama kwenye benz!
Hakuna cha tajiri.Sawa tajiri [emoji16][emoji120]
Hakuna anaebisha kampuni kubwa ya magari ulimwenguni ni VWUsiangalie magari wanayopenda waTanzania ndio ukahisi ndio uhalisia wa dunia. Miaka mingi gari aliyokuwa inaongoza kwa mauzo duniani kila mwaka ni VoxWagon. Mwaka jana Toyota akaongoza kwa mala ya kwanza. German ana export magari mengi sana
View attachment 1696887
Hizo unit in millions.