Hata Toyota ninayo.Huyu mjerumani wetu wa jf.. ni mtata. Asipo ona gari haimaniishi haipo.. ndio ajue kwanaa BMW ni yebo yebo ndio maana vijana wanazo kibao huku kitaaa ila sio lexus
Naongelea LS latest,ls 400 ilizalishwa 1989-2000,then hio ls 430 ni 2000-2007,ls 460 ni 2007 na kuendelea.Na 400, 430, 460 na 600.
Nairobi hadi kuna dealership ya Volvo!!
Nakubali mkuu,wale jamaa wana magari makali kuliko yetu.Na spare ni mingi tena genuine, kuna mtaa nilienda kutafuta taa ya VW Golf location ya duka ni kama kwa mtu unaingia lakin mali iliyoko ndani ni mingi hakuna bidhaa yeyote na VW ulizie uwambiwe hakuna
Utofauti wa TOYOTA na VW reliability. Zaidi TOYOTA amekwenda mbali kwa kuangalia uchumi wa wateja wake ndio maana ana variety nyingi zaidi sokoni kuliko VW na pia upatikanaji wa spare zake ni cheap hata kwa watu wa chini.. Asilimia kubwa ya magari tulio nayo TZ hata kwenye official website ya Toyota Global hayapo hata ukienda search engine kusearch huyakuti. Harrier tu tunayoiona ni gari kwetu kwenye website ya TOYOTA haipo na haijulikani. Na inawezekana hata waliotoa hizo statistics kati ya TOYOTA na VW wamehusisha TOYOTA official cars achana na hao akina VITZ, IST, OPA, IPSUM, BREVISUsiangalie magari wanayopenda waTanzania ndio ukahisi ndio uhalisia wa dunia. Miaka mingi gari aliyokuwa inaongoza kwa mauzo duniani kila mwaka ni VolksWagon. Mwaka jana Toyota akaongoza kwa mala ya kwanza. German ana export magari mengi sana
View attachment 1696887
Hizo unit in millions.
Umeishazoe mjerumani ,mjep huwezi kumkubali. Kuna mzee mmoja yeye wankishua toka udogoni na wanatumia kwao Europen car toka kitambo, kuna siku akashika crown alishangaa njia nzima anaisifia πππHata Toyota ninayo.
Bado ipo kwasababu inabeba historia ndefu.
Ila siikubali kabisa.
Mjapan ni kama Ali kiba mkuu,hapendi show-off ππππMjapana akili kubwa ile, sema hapendi show off
Jamaa kaamua kutulisha tango poli πππKwa hio braza umetuona utudanganye kabisa sio?
Mawaziri wakuu wa Japan gari zao ni Toyota century,LS600h.
ππππ.. kaagoma yani, hadi azione aseeeSawa tajiri ππ
Hizo gari hazipo sababu ni Outdated models! Gari ambazo ziko kwenye website ni current models mkuu.Utofauti wa TOYOTA na VW reliability. Zaidi TOYOTA amekwenda mbali kwa kuangalia uchumi wa wateja wake ndio maana ana variety nyingi zaidi sokoni kuliko VW na pia upatikanaji wa spare zake ni cheap hata kwa watu wa chini.. Asilimia kubwa ya magari tulio nayo TZ hata kwenye official website ya Toyota Global hayapo hata ukienda search engine kusearch huyakuti. Harrier tu tunayoiona ni gari kwetu kwenye website ya TOYOTA haipo na haijulikani. Na inawezekana hata waliotoa hizo statistics kati ya TOYOTA na VW wamehusisha TOYOTA official cars achana na hao akina VITZ, IST, OPA, IPSUM, BREVISView attachment 1696897
ππππ mjeruma leo kanichekesha sana..Sasa we gari unazozipenda zote unazimiliki mkuu? Mi nachoona umeishiwa sera tu πππ
Au we Maybach huipendi mbona huileti sasa?!
πππ na wanapendeles 3s engine kwny kuswap balaa.Unakutwa wajerumani wanafungana mota πππ wakati anaeshauri yeye kipato cha uhakika kuna wale wana kondoo wanaswagwa tu na upepo,,,
"Aisee chief vuta Volvo XC90 iko vizuri sana comfortably achana na Toyota Rav 4 spea zipo!"
Baada ya miezi 4 mtu anadondoka humu na ID mpya,,, "Natafuta fundi ni swap engine ya Volvo niweke ya Rav 4" πππ unajiuliza hizi tabu za nini jamani!
Mjerumani wetu mtata tu, ila kuna mzee namjua ni Tajiri sana, na utajiri wao umeanza toka utotoni.. kwake pamejaa gari za Europe, kwake gari sio shida. Ila kuna siku tulikuwa nae tumeenda kununua gari flani, wakati tunarudi akashika Crown sikuwa vizuri kuendesha, njia nzima anaisifia kuanzia mwendo na ile luxury yake ya ndani.. mzee alikuwa kama mgeni kwenye magari, lakini ukifika kwake parking yake kuna machine za kweli.. ila huyu mjerumani wetu kaamua tu kugoma kutupa nyota zetu, hadi atuone tunamiliki Lexus Ls600h wakati yeye hata BMW M4 hawezi kutuletea hapa.. anatunanga tu πππSasa we gari unazozipenda zote unazimiliki mkuu? Mi nachoona umeishiwa sera tu πππ
Au we Maybach huipendi mbona huileti sasa?!
Unafikili hawajui, wanajipa moyo tu, wanatuletea mapicha ya model za 2020. Wamebaki kulinganisha bei.Mtalinganisha sijui Mjapani na Mjerumani mpaka mtabonyea , lakini ukweli mnajua moyoni kwamba Gari za Ulaya na za Mjapan ,kwa maana mnaona wenye nazo Garage zao huwa Gari za kutoka wapi zinapaki. Tunaona mabilionea na watu maarufu Duniani kote ni Gari gani wanazotamba nazo, sijawahi kuona Toyota mimi kwa hawa watu.. ukiendesha Gari ya mjerumani sidhani Kama utawaza kuendesha Gari ya mjapan tena. Ni wachache mno walioweza kuchomoka kwenye hilo, hila naamini wengi walio kwenye Toyota wanatamani kukalia kiti cha Mjerumani.. Kama unabisha hilo jaribu uone . Kaa kwenye Crown ya mwaka 2010 halafu kaa kwenye bmw ya mwaka 2004 tuu leta mrejesho , Wazungu awakosei jamani..
Mkuu nimefuatilia sana magari ya TOYOTA. kwa yaliyopo hapa nchini magari ambayo TOYOTA huyakosi kwenye website yao niHizo gari hazipo sababu ni Outdated models! Gari ambazo ziko kwenye website ni current models mkuu.
Wenyewe wanakwambia tunarudi kama enzi za JDM 1990's kushika soko tena.Amechoka kuitwa boring sasa anakiwasha upya kabisa.
Mambo ya Germany machine haya.Ogopa sana European car inauzwa kutoka kwa mzaramo mwenzako kalitumia limemshinda, yaani kimbia aisee...
Kuna staff mwenzangu kaagiza BMW 3 kwa mkopo na anaishi Singida, kwa kweli nimeishia kumpongeza kwa ujasili.