Gari wanazohitaji waTanzania hazipatikani dunia nzima

Gari wanazohitaji waTanzania hazipatikani dunia nzima

Sio makampuni tofauti bro, Lexus ni division tu! Ni sawa uwe na kiwanda chako uzalishe bidhaa ya kuuza mkoa mzima halafu uwe na nyingine classic zaidi ya kuuza Oysterbay, Masaki, Mbezi na Mikocheni tu!

Ndio alichokifanya Toyota na kiwanda ni hiko hiko kimoja.
Mercedes benz ana Brabus, Toyota ana Lexus na Nissan ana Infinit (Hizo ni division tu lakini unyama ni ule ule)
 
Na wajerumani wa Jf ukitoa chombo kule kama Toyota Tundra wana kukatalia wanasema hiyo ni ya usa πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.. kama ni toleo la usa imebadilika na kuwa brand ingine πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ wanachekeshaga sana hawa wajerumani wetu.. ila tuishi nao tu
Sasa kiwanda si kimoja 😝 hawa ndugu zetu vipi
 
Infiniti Emerg-E
1612688420177.png

Vit kama hivi vya Mjapani huwa havisemwi na hauwezi kuvikuta bongo kwa sababu ya mkasi, nadhani hawamjui pia.
 
Kumbe kumiliki vitz na Ist ni kumkosea mungu au nikosa kisheria? View attachment 1696538
Hapana mkuu, ni mawazo na kushauriana tu kwamba tubadilikeni, unapokwenda kununua gari na unapenda gari nzuri yenye kasi na comfortable tuacheni kusikiliza maneno ya kutuogopesha eti ni majini, lini tutamiliki vizuri ndugu zangu?
 
Wazungu wanaendesha hayo ma bmw,benz kwa miaka 3 waranty ikiisha wana upgrade kwenda kwny gari latest,wabongo huku wamekomaa na bmw,benz za 2003 na bado wanavimba huku road wanakwambia Germany machines πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Wazungu wanakimbilia kwenye warranty sababu magonjwa yatayojitokeza yanabebwa na kampuni kwa miaka hio mitatu na jamaa wa BMW walivyo wahuni yani wame target mule mule.

Uimara wa vipuri ni miaka mitatu tu ikivuka hapo kinaanza kufa kimoja baada ya kingine na spear zake ni ghali kinoma hivyo usipoliuza haraka likianza kukorofisha nje ya warranty utalia kilio cha paka 😁😁😁 mbaya zaidi liwe limevuka 100,000KMS utafurahishwa 😁!!!

Ndio maana hata kwenye used market unakuta gari imeporomoka by 55% toka kwenye bei ilionunuliwa ikiwa mpya.Ila Lexus ikishuka sana ni 10% kwa miaka mitatu! Ni kama ilivyo kwa iPhones tu!
 
Mkuu mjepu sijamdharau kabisa, Lexus ni mashine nakubaliana na wewe, umeninukuu vibaya mkuu.
Kwaiyo gari gani za kijapan ni nyonge ? Maana pia tambua Ulaya na wajaerumani wao pia wapo maskini nao wanaendesha BMW na Benz za kinyonge kama zilivyo Noah na Carina Ti za mjepu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ na ndio hizi wajeruma wa Jf wana tuvimbia nazo huku πŸ˜€πŸ˜€
 
Mleta mada anaongelea watanzania na toyota.

Wengine mkaleta story za Lexus. Kwamba toyota ameshindwa pambana na wajerumani pound for pound.

Kwanza baadhi ya hizo gari za japan si mnazikimbia?

Nissan, Mitushishi, Subaru zinamilikiwa na watz wangapi kulinganisha na toyota? Hujaona uzi watu wanajazana uoga kuhusu Nissan Xtrail?
Shukrani mkuu...
 
Wazungu wanakimbilia kwenye warranty sababu magonjwa yatayojitokeza yanabebwa na kampuni kwa miaka hio mitatu na jamaa wa BMW walivyo wahuni yani wame target mule mule.

Uimara wa vipuri ni miaka mitatu tu ikivuka hapo kinaanza kufa kimoja baada ya kingine na spear zake ni ghali kinoma hivyo usipoliuza haraka likianza kukorofisha nje ya warranty utalia kilio cha paka 😁😁😁 mbaya zaidi liwe limevuka 100,000KMS utafurahishwa 😁!!!

Ndio maana hata kwenye used market unakuta gari imeporomoka by 55% toka kwenye bei ilionunuliwa ikiwa mpya.Ila Lexus ikishuka sana ni 10% kwa miaka mitatu! Ni kama ilivyo kwa iPhones tu!
Wajapan wadumu milele tu, πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€. Kuna gari kama Supra na Sklyne Gt za 1989 ila besi zake unanunua BMW X5 mpya πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Kuna kipindi cha magari channel ya KTN ya hapo Kenya jamaa hua wana review gari latest za 2020-2021 tu na bei zake sio mchezo jamaa wa dealership wakihojiwa wanasema gari zinatoka fresh kabisa mpk unajiuliza sisi hali ni ngumu au ni tra au ni nini?

Inshort Kenya kwenye barabara zao kuna magari ya miaka 2015 kuja 2020 mengi saaana kuliko bongo.

Kwako CMC,Toyota etc
Mkuu inasikitisha, halafu bado watu wanaogopeshana na kuraririshana...
 
Your strategy shows how well you believe in your product.

Toyota ni mass production car company. Kwao attention to detail hawana.

Sitaki nikulazimishe uamini katika ninachoamini. Ila experience ya watumiaji hata watanzania wenyewe wanakuambia.

Endesha gari ya mjerumani na mjapani. Utofauti utauona kwenye stability, handling, comfortability. Hata features unaziona kabisa jinsi zilivyo tofauti.
Ni kweli mkuu
 
Wazungu wanakimbilia kwenye warranty sababu magonjwa yatayojitokeza yanabebwa na kampuni kwa miaka hio mitatu na jamaa wa BMW walivyo wahuni yani wame target mule mule.

Uimara wa vipuri ni miaka mitatu tu ikivuka hapo kinaanza kufa kimoja baada ya kingine na spear zake ni ghali kinoma hivyo usipoliuza haraka likianza kukorofisha nje ya warranty utalia kilio cha paka 😁😁😁 mbaya zaidi liwe limevuka 100,000KMS utafurahishwa 😁!!!

Ndio maana hata kwenye used market unakuta gari imeporomoka by 55% toka kwenye bei ilionunuliwa ikiwa mpya.Ila Lexus ikishuka sana ni 10% kwa miaka mitatu! Ni kama ilivyo kwa iPhones tu!
Ona mambo ya mjapna.. gari ya 1990 ila unanunua BMW X5 mpya mbili na chenji ya bima inabaki na wese la kuzicheusa hadi kigoma kwenda na kurudi.. πŸ˜€πŸ˜€.. wanitagutie BMW ya 1990 yenye hii bei
Screenshot_20210207-121039_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom