Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Nadhani humu kuna watu hawajamuelewa mtoa mada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtanzania anahitaji gari moja yenye sifa zifuatazo.
1-isiwe inakula mafuta, ikiwa inakula mafuta utasikia (jini hilo).
2-Gari ambayo ikiharibika vipuri vipatikane kwa bei nafuu.
3-Gari ambayo ina acceleartion kubwa na top speed kubwa mfano 220km/hr....300km/hr
4-Muonekano mzuri na imara.
5-Yenye gharama nafuu katika utengenezaji.
6-Iwe na uwezo wa kupita off-road.
7-Isiwe old model.
8-isiwe na mifumo na sensors nyingi za umeme (mfano bmw).
Na kinachonimaliza kabisa...
9-Iwe na bei nafuu.
Utabaki kuendesha ist na vitz mpaka unazeeka..
Ushauri kwa waTanzania wenzangu, tutabaki kuwapigia makofi na kuwasifia wanaume wenzetu wanaomiliki range rover na discovery,bmw x6,v8, benz n.k...
Huwezi hata siku moja kupata gari yenye hizo sifa zote thats why bara bara zimejaa ist, wish, crown, harrier n.k
Kumbuka unapokwenda kununua gari fahamu gari haitumii mtori wala uji, gari inatumia mafuta, brevis tu zimewashinda kila siku mnapiga kelele, mtamiliki gari gani nzuri yenye kasi, luxury, comforatable na speed kama mnakimbia majukumu?
Badilikeni ndugu zangu, acheni maisha ya kukariri, kwa East Africa naona sisi ndio tunamiliki gari za kishamba kuliko wote.
![]()
![]()
![]()
😅 Bila shaka utakuwa na crown... crown za 2005 zimekuwa nyingi mnoKitu ulichokosea ni kuiweka crown kwenye hzo takataka zingne
Sie huku shida ni TRA . 😀😀😀. Kodi ni sawa na kununua gari mbiliKuna kipindi cha magari channel ya KTN ya hapo Kenya jamaa hua wana review gari latest za 2020-2021 tu na bei zake sio mchezo jamaa wa dealership wakihojiwa wanasema gari zinatoka fresh kabisa mpk unajiuliza sisi hali ni ngumu au ni tra au ni nini?
Inshort Kenya kwenye barabara zao kuna magari ya miaka 2015 kuja 2020 mengi saaana kuliko bongo.
Kwako CMC,Toyota etc
Wabogo wangapi wanazo hizi au nazo zimekuwa boye boye kama X3 na X5 ? Zilivyo hizi adimu hivyo hivyo kuna gari za mjapan zilivyo adimu humu kwetuMnyama wa ukweli sanaView attachment 1696642
Hizi ndio ndinga sasa
Kama wenye BMW za mwaka 2000 😀😀😀..😅 Bila shaka utakuwa na crown... crown za 2005 zimekuwa nyingi mno
Hio chuma ni vintage mkataba 😁Ona mambo ya mjapna.. gari ya 1990 ila unanunua BMW X5 mpya mbili na chenji ya bima inabaki na wese la kuzicheusa hadi kigoma kwenda na kurudi.. 😀😀.. wanitagutie BMW ya 1990 yenye hii beiView attachment 1696640
Jana nimekutana na mwamba ana crown ya 2013 mmh! Alafu ni hybrid ni shidaa ile kituMkuu mendex crown ni mashine sipingani na wewe, lakini hizi crown za bongo hata hazishtui.
Kwani hata barabarani wajerumani, unafikiri wanasogeza pua zao hapa 😀😀😀Hio chuma ni vintage mkataba 😁
Tatizo watu wana mu underrate mjapani kwa European cars, Mjapani ana species nyingi na HATUZIJUI zote.Jana nimekutana na mwamba ana crown ya 2013 mmh! Alafu ni hybrid ni shidaa ile kitu
Hii technolojia anayao Toyota pekee, kama akifanikiwa kuisambaza vyema ulimwenguni atakuwa na hela kama Elon Musk! Wakiua biashara ya mafuta by 2030 gari zitakazobaki ni hii ya Hydrogen fuel na za umeme tu!Toleo la Toyota 2020 December
Toyota Mirai - Hii kuja kuingia Dodoma ni 2050 au isifike kabisa, TOYOTA kwenye Auto Industry ni mpana sana na wapinzani wake wakubwa ni Ford, Volkswagen, Hyundai, General Motors, na Nissan kwa mujibu wa mtandao wa What Competitors - . Hao akina BMW/AUDI/ BENZ wana mengi yakuifunza kutoka TOYOTA
View attachment 1696639
View attachment 1696644View attachment 1696645
View attachment 1696641
Hahahah umeme huo umo Nissan uchawi aliotumiaga mpaka sasa haujulikani 😁Kwani hata barabarani wajerumani, unafikiri wanasogeza pua zao hapa 😀😀😀
Hiyo ndio wanaita ni ushamba, mjapan anavitu vya maana haswa, na anavitu vya chini pia ni kama za ulaya pia wanazo za bei chee na za bei juuTatizo watu wana mu underrate mjapani kwa European cars, Mjapani ana species nyingi na HATUZIJUI zote.
US sio mchezo, kuna video moja niliona muscle moja nadhani ni dodge challenger, jamaa alikimbia helicopter haikuona kitu.Siku nyingine mmtupe mjerumani kwa American muscles kama atapumua View attachment 1696597View attachment 1696601
View attachment 1696599
View attachment 1696602
DODGE X Chevrolet x Ford Mustang X Chrysler
Wabogo wangapi wanazo hizi au nazo zimekuwa boye boye kama X3 na X5 ? Zilivyo hizi adimu hivyo hivyo kuna gari za mjapan zilivyo adimu humu kwetu
Yah ni mengi ya kuzingatia mkuu, kuna watu ambao wao usumbufu ni sehemu katika maisha yao ya hapa duniani 😝 tuwachukulie kwa haki tu kuwa wana uhuru japo kwa mwenye akili ataona ni upumbavu!Kwa mazingira ya tz Bora ununue Toyota ,kununua toyota haimaanishi kwamba hauna pesa Bali tunaangalia urahisi wa spare parts.
Kuna kipindi nilikuwa natoka namtumbo naenda dar kuna BMW niliona imeharibika ipo pembezoni mwa barabara nilipatwa na hisia Kali mno nikajisemea moyoni huyu mpaka ampate fundi +spare hii gari itakaa porini zaidi ya wiki,au aombe msaada livutwe na roli la mizigo.
Kuna magari ni mtihani kweli kweli