Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Najua hata wazungu wanazitamani sana 2JZ-GTE, na zingekuwa ni engine zao pasingekalika humu kwa povu zao πππ.. ila mjepu kaona sio case, kasitisha uzalishaji kama na mawe mengine ππHahahah umeme huo umo Nissan uchawi aliotumiaga mpaka sasa haujulikani π
Toleo la Toyota 2020 December
Toyota Mirai - Hii kuja kuingia Dodoma ni 2050 au isifike kabisa, TOYOTA kwenye Auto Industry ni mpana sana na wapinzani wake wakubwa ni Ford, Volkswagen, Hyundai, General Motors, na Nissan kwa mujibu wa mtandao wa What Competitors - . Hao akina BMW/AUDI/ BENZ wana mengi yakuifunza kutoka TOYOTA
View attachment 1696639
View attachment 1696644View attachment 1696645
View attachment 1696641
Sio gari tu hata mademuMtanzania anahitaji gari moja yenye sifa zifuatazo.
1-isiwe inakula mafuta, ikiwa inakula mafuta utasikia (jini hilo).
2-Gari ambayo ikiharibika vipuri vipatikane kwa bei nafuu.
3-Gari ambayo ina acceleartion kubwa na top speed kubwa mfano 220km/hr....300km/hr
4-Muonekano mzuri na imara.
5-Yenye gharama nafuu katika utengenezaji.
6-Iwe na uwezo wa kupita off-road.
7-Isiwe old model.
8-isiwe na mifumo na sensors nyingi za umeme (mfano bmw).
Na kinachonimaliza kabisa...
9-Iwe na bei nafuu.
Utabaki kuendesha ist na vitz mpaka unazeeka..
Ushauri kwa waTanzania wenzangu, tutabaki kuwapigia makofi na kuwasifia wanaume wenzetu wanaomiliki range rover na discovery,bmw x6,v8, benz n.k...
Huwezi hata siku moja kupata gari yenye hizo sifa zote thats why bara bara zimejaa ist, wish, crown, harrier n.k
Kumbuka unapokwenda kununua gari fahamu gari haitumii mtori wala uji, gari inatumia mafuta, brevis tu zimewashinda kila siku mnapiga kelele, mtamiliki gari gani nzuri yenye kasi, luxury, comforatable na speed kama mnakimbia majukumu?
Badilikeni ndugu zangu, acheni maisha ya kukariri, kwa East Africa naona sisi ndio tunamiliki gari za kishamba kuliko wote.
Wazee kama nyie wenye hekima zenu, ndio mnaeleweka sasa. Mnajua vitu ππMimi nimeisifia tu kwakuwa nazipenda sana..hata Toyota zipo za ukweli sana lakini sio zile za bei poa
Spare za toyota zile Og kabisa, bei zake zipo juu tu. Ila kama fekelo bei chee.. pia toyota spare zipo nyingi kwasababu gari zake ni nyingi, zikichoka watu wana chinja.. ila kama unataka spare og kabisisa za toyota zimeamka beiYah ni mengi ya kuzingatia mkuu, kuna watu ambao wao usumbufu ni sehemu katika maisha yao ya hapa duniani π tuwachukulie kwa haki tu kuwa wana uhuru japo kwa mwenye akili ataona ni upumbavu!
Why should i buy a problematic car while there are a lot of great choices out there!
Mkuu tukiweka mambo yote pembeni vitz sio gari nzuri kabisa...hivi unafikiri nani hapendi viti vizuri?
Kuna mtu hapendi kuishi kwenye nyumba nzuri, Kuna mtu hapendi watoto wake wasome shule nzuri, kuna mtu hapendi kuendesha gari zuri? nk
Ukisha maliza masomo ukakaa mtaani kwa miaka miwili tu uje tena hapa utupe mrejesho kama Vitz ni gari la kishamba au ni one of the Best car in town
Kua uyaone!!!
H
Utakuta ni V12 hilo dubwanaπππ ila with 710 horses si mchezoUS sio mchezo, kuna video moja niliona muscle moja nadhani ni dodge challenger, jamaa alikimbia helicopter haikuona kitu.
Nikasikia mtangazaji anasema "I think this is one of the first time where the vehicle is actually outrun the chopper
Wajerumani huko hawasogezi puaUtakuta ni V12 hilo dubwanaπππ
Wajeruman wa Jf wakisoma hii, wanajificha chini ya uvungu πππHii technolojia anayao Toyota pekee, kama akifanikiwa kuisambaza vyema ulimwenguni atakuwa na hela kama Elon Musk! Wakiua biashara ya mafuta by 2030 gari zitakazobaki ni hii ya Hydrogen fuel na za umeme tu!
well said mkuu.........hio yard inayojongea....lakini tusiogope....tatizo tukipewa gari nzuri za bei nafuu, tunakimbia zinakula mafutaSio uoga mkuu bei yake ni hatari, kuna moja jamaa kaipandisha hapo inauzwa 350M+ hapo bado kodi!
Hivi 350M ni IST ngapi? Ni Crown ngapi za 17M hapo? Ni Rumion ngapi? All packed in a single Car!
Mkuu samahani sana kama nimekosa, najua nimegusa gari yako pendwa.hivi unafikiri nani hapendi viti vizuri?
Kuna mtu hapendi kuishi kwenye nyumba nzuri, Kuna mtu hapendi watoto wake wasome shule nzuri, kuna mtu hapendi kuendesha gari zuri? nk
Ukisha maliza masomo ukakaa mtaani kwa miaka miwili tu uje tena hapa utupe mrejesho kama Vitz ni gari la kishamba au ni one of the Best car in town
Kua uyaone!!!
H
Na gari nzuri zote zenye mbwembwe lazma zile mafuta sababu zinakuwaga nzito hivyo zinapewa engine kubwa sababu ya perfomance!well said mkuu.........hio yard inayojongea....lakini tusiogope....tatizo tukipewa gari nzuri za bei nafuu, tunakimbia zinakula mafuta
Kuna majini, hizi zinazoletwa kwetu ni rafiki kabisa kwa mazingira yetu. Tulivyowapenda mitelezo BREVIS nae kaingizwa kwenye kundi la majini π π π πwell said mkuu.........hio yard inayojongea....lakini tusiogope....tatizo tukipewa gari nzuri za bei nafuu, tunakimbia zinakula mafuta
Kwa hiyo pesa unapata BWM X5 mbili, na chenji inabaki.. na kama Crown matata, hapo unapata mbili, kwa IST unafungua Showroom πππSio uoga mkuu bei yake ni hatari, kuna moja jamaa kaipandisha hapo inauzwa 350M+ hapo bado kodi!
Hivi 350M ni IST ngapi? Ni Crown ngapi za 17M hapo? Ni Rumion ngapi? All packed in a single Car!
Wakati India wanahamia katika umeme huku sie ndio tunatafuta explorers waje kuchimba mafuta πππ by 2030 ICE zitakuwa phased out na gari zote ulaya zinatazamiwa kuwa za umeme tu!NJIA PEKEE SAHIHI YA KUKABILIANA NA UCHAFUZI WA MAZINGIRA NI KUPUNGUZA MATUMIZI YA MAGARI CHAKAVU.
Wakati ambapo mataifa makubwa ulimwenguni yanaendelea kupigana vita ya kiuchumi kuhakikisha Dunia nzima inawaimba na kuwahusudu kwa kuwa vinara wa utandawazi, ndio wakati ambao pia watu ulimwenguni wanaendelea kuteseka kila kukicha kutokana na madhara yatokanayo na uharibifu wa Mazingira/hali Ya hewa.
Dunia inashudia kuwepo kwa kasi kubwa ya athari zitokanazo na mabadiliko ya tabianchi. Ukame, magonjwa na kila aina ya madhira yatokanayo na shughuli za kibinaadamu katika uso wa dunia yamekuwa ndio matunda pekee walimwengu wanayo faidi.
Kumekuwa na kampeni nyingi mtaani na ulimwenguni za kuhamasisha upandaji wa miti ili kurejesha uoto wa asili katika uso wa Dania, ndio, ni njia mojawapo nyepesi kabisa hasa kwa raia wa mataifa ya ukanda wa jangwa la Sahara ya kukabikiana na tatizo hili.
Lakini, Wakati juhudi zote zenye kufanana na hizo zikiendelea kuchukuliwa ni wakati sasa kwa serikali zetu kuanza kujitathimini na kuchukua hatua za kukabiliana na uharibifu huu kwa kuweka mipango elekezi ya kushughulikia matumizi ya magari 'chakavu' barabarani kwani kwa kiwango kikubwa huchangia uharibifu wa Mazingira.
Nafarijika sana na juhudi za serikali ya India 'Delhi' kwa kuwa mfano wa Dunia katika makabiliano dhidi ya madhira ya mabadiliko ya tabianchi #ClimateChange naamini India wameanza leo kesho ni Africa, keshokutwa ni Tanzania.
View attachment 1696650
WordTRA ndo majini yanayosababisha tote hayo
Ahahahaaaaa, tutakunywa mafuta yetuWakati India wanahamia katika umeme huku sie ndio tunatafuta explorers waje kuchimba mafuta πππ by 2030 ICE zitakuwa phased out na gari zote ulaya zinatazamiwa kuwa za umeme tu!
NJIA PEKEE SAHIHI YA KUKABILIANA NA UCHAFUZI WA MAZINGIRA NI KUPUNGUZA MATUMIZI YA MAGARI CHAKAVU.
Wakati ambapo mataifa makubwa ulimwenguni yanaendelea kupigana vita ya kiuchumi kuhakikisha Dunia nzima inawaimba na kuwahusudu kwa kuwa vinara wa utandawazi, ndio wakati ambao pia watu ulimwenguni wanaendelea kuteseka kila kukicha kutokana na madhara yatokanayo na uharibifu wa Mazingira/hali Ya hewa.
Dunia inashudia kuwepo kwa kasi kubwa ya athari zitokanazo na mabadiliko ya tabianchi. Ukame, magonjwa na kila aina ya madhira yatokanayo na shughuli za kibinaadamu katika uso wa dunia yamekuwa ndio matunda pekee walimwengu wanayo faidi.
Kumekuwa na kampeni nyingi mtaani na ulimwenguni za kuhamasisha upandaji wa miti ili kurejesha uoto wa asili katika uso wa Dania, ndio, ni njia mojawapo nyepesi kabisa hasa kwa raia wa mataifa ya ukanda wa jangwa la Sahara ya kukabikiana na tatizo hili.
Lakini, Wakati juhudi zote zenye kufanana na hizo zikiendelea kuchukuliwa ni wakati sasa kwa serikali zetu kuanza kujitathimini na kuchukua hatua za kukabiliana na uharibifu huu kwa kuweka mipango elekezi ya kushughulikia matumizi ya magari 'chakavu' barabarani kwani kwa kiwango kikubwa huchangia uharibifu wa Mazingira.
Nafarijika sana na juhudi za serikali ya India 'Delhi' kwa kuwa mfano wa Dunia katika makabiliano dhidi ya madhira ya mabadiliko ya tabianchi #ClimateChange naamini India wameanza leo kesho ni Africa, keshokutwa ni Tanzania.
View attachment 1696650
Vipi kuhusu uimara?Tayota anaweza kumfikia BMW kwa uimara?Hiki ndio kitu pekee mjerumani anaweza mtambia Toyota Japan. Ukiondoa hio speed limiter hio BMW itaachwa uchi mapema sana na Toyota yenye engine sawa na hio.
Ila pia kwa kukabiliana na hili Toyota ana Division inayodeal na Luxury cars za kupambana na hao Europeans makes i.e Lexus ambaye ana extension ya Speed zaidi ya 250KPH