Gari yangu inakimbia sana!

Gari yangu inakimbia sana!

umejitafutia sifa, majigambo...... sehemu yenyewe uliyotumia kama kipimo, ulikuwa unawafanyia timing bila wao kujua.. Tafuta kiwanja halisi, ndio uje utafute kujitapa hapa
 
Yani kichwa chako Smahan lakin kimejaa Mavi Matupu![emoji1][emoji3][emoji1]
Garj yenye 1290cc yenye horse power ndogo iweze lmkushinda garj zenye 1490cc plus ambazo zina horse power 110+ then ushinde gar zenye 1990cc ambazo house power yake ni kubwa Mno ukilinganisha na hicho Kipasso chako.
Kubwa serious Brother na Mambo ya barabaran.
Sorry km nimkukwaza [emoji120][emoji120][emoji120]
Nimeanza na Uwezo wa gari ulizozitaja Vs Passo yako interms of Power nk
Passo ni piston 3 yaani cc 990 .. Toyo iliyochangamka anajipa moyo sana .. harrier cc 2490 anadai anaenda nayo sawa 😁
 
huyu nazani ameendesha mara ya kwanza hako kapaso ka shemeji safari ndefu ya km 30 ndo anazani kanakimbia sana labda kushinda kirikuu alivyozoea
 
Kuna project naisimamia pale Kibaha Mailimoja. Kwahiyo route za kutoka Makongo Juu kwenda Kibaha na kurudi daily hazikatiki. Zile njia sita kutoka Kimara hadi Mailimoja zimenipa nafasi kujua kumbe gari yangu inakimbia mazee.

Gari yenyewe ujue ni gari gani basi?

Ni Passo Racy, 1290CC. Ni ya mwaka 2007.

Kwa data nilizonazo (kwa kipindi cha miezi mitatu), nimegundua yafuatayo:

A: Gari nazozionea road, nawakimbiza nawaachia vumbi:
  • IST zote
  • Sienta, Raum, Runx, Allex, Swift, Nadia, Voltz (tuseme babywoka zote za Toyota)
  • Premio na mwenzie Allion
  • Nissan Dualis na X-trail
  • Rumion
  • RAV4 zote (isipokua lile toleo jipya linatumiwa na gari za serikali na ile Hybrid)

B: Gari ambazo nimeshindwa kufukuzana nazo:
  • Subaru Forester (model karibu zote)
  • Ford Ranger (hii gari noma)
  • Toyota Hilux
  • Landcruiser (VX na jamii yake)
  • ALPHARD (toleo jipya)
  • Toyota Fortune
  • Discovery
  • BMW (japo kuna baadhi navimbiana nao)
  • Toyota Crown
  • Brevis
C: Gari nazokwenda nazo ugoko kwa ugoko:
  • Harrier na Vanguard
  • Range Rover
  • Subaru Impreza

Sasa hivi focus yangu nijipime na kina Audi, Benz, Volkswagen and the like. Tatizo European cars nazokutana nazo barabarani ni chache sana. Halafu huwa nakutana nazo mida ambayo sipo kwenye kuanzisha ligi.

Changamoto nayopata ni gari inachelewa kuchanganya. Hasa pale taa zikiruhusu ndio wengi wanaponipiga bao. Lakini ikishachanganya nawapoteza karibu wote (ukitoa hao wa kwenye kundi B).

View attachment 2738606
Utoto unakusumbua!
Kwahiyo ukishayapita hayo magari ya kundi A na kuyaachia vumbi (kwenye barabara ya lami) roho yako inafarijika?
 
Mimi tu nina SUBARU FORESTER 2013 but siwezi kutamba maana Mark X tu inanisumbua je hizo BMW, BENZ, VW nitaziweza?
Halafu unakuja na Passo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Passo ni piston 3 yaani cc 990 .. Toyo iliyochangamka anajipa moyo sana .. harrier cc 2490 anadai anaenda nayo sawa [emoji16]
Mkuu achana na mambo ya cc land cruiser l200 zipo zenye cc hadi 5700 tena V8 lkn imezidiwa kila kitu na l300 ya petrol V6 yenye cc3500.
 
Njoo nikukutanishe na Toyota Altezza... Alafu ndio utajua kama kweli wewe bado sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna project naisimamia pale Kibaha Mailimoja. Kwahiyo route za kutoka Makongo Juu kwenda Kibaha na kurudi daily hazikatiki. Zile njia sita kutoka Kimara hadi Mailimoja zimenipa nafasi kujua kumbe gari yangu inakimbia mazee.

Gari yenyewe ujue ni gari gani basi?

Ni Passo Racy, 1290CC. Ni ya mwaka 2007.

Kwa data nilizonazo (kwa kipindi cha miezi mitatu), nimegundua yafuatayo:

A: Gari nazozionea road, nawakimbiza nawaachia vumbi:
  • IST zote
  • Sienta, Raum, Runx, Allex, Swift, Nadia, Voltz (tuseme babywoka zote za Toyota)
  • Premio na mwenzie Allion
  • Nissan Dualis na X-trail
  • Rumion
  • RAV4 zote (isipokua lile toleo jipya linatumiwa na gari za serikali na ile Hybrid)

B: Gari ambazo nimeshindwa kufukuzana nazo:
  • Subaru Forester (model karibu zote)
  • Ford Ranger (hii gari noma)
  • Toyota Hilux
  • Landcruiser (VX na jamii yake)
  • ALPHARD (toleo jipya)
  • Toyota Fortune
  • Discovery
  • BMW (japo kuna baadhi navimbiana nao)
  • Toyota Crown
  • Brevis
C: Gari nazokwenda nazo ugoko kwa ugoko:
  • Harrier na Vanguard
  • Range Rover
  • Subaru Impreza

Sasa hivi focus yangu nijipime na kina Audi, Benz, Volkswagen and the like. Tatizo European cars nazokutana nazo barabarani ni chache sana. Halafu huwa nakutana nazo mida ambayo sipo kwenye kuanzisha ligi.

Changamoto nayopata ni gari inachelewa kuchanganya. Hasa pale taa zikiruhusu ndio wengi wanaponipiga bao. Lakini ikishachanganya nawapoteza karibu wote (ukitoa hao wa kwenye kundi B).

View attachment 2738606
Kwani huwa mnakubaliana mshindane?
 
Kwa hao unao amini hawatoboi kwako, fanya tu kutumia busara sikumoja umeambie mwende ligi🤣🤣
Nakuapia ukirudi lazima utaufuta huu uzi!! Tena usiku wa 8 ukiwa upo hoi maana najuwa gari muda huo itakuwa ipo gerage.🙆🏻‍♂️🙆🏻‍♂️
 
Mkuu achana na mambo ya cc land cruiser l200 zipo zenye cc hadi 5700 tena V8 lkn imezidiwa kila kitu na l300 ya petrol V6 yenye cc3500.

Uko sahihi! Hata mazda rx8 ya cc1300 inawakalisha akina brevis.

lakini kama mtaalamu wa magari unaamini hako ka passo kanamkalisha vanguard?
 
Unajua nimegundua watu wanakuwaga na kelele sana wakiwa hawako comfortable na maisha yao😂😂

Hata club wanabreak dance na makelele meengi huwa mara nyingi uchumi ni wa chini sana

Yani si kwa ubaya ila
Passo is like entry car to car owners boss

Ila taizi zake ulizopiga hapa wa subaru na ma tiguan hawajawahi kwa kweli😂😂😂😂
 
Uko sahihi! Hata mazda rx8 ya cc1300 inawakalisha akina brevis.

lakini kama mtaalamu wa magari unaamini hako ka passo kanamkalisha vanguard?
Hapana passo injini ndogo hp ndogo,nilichomkosoa jamaa ni juu ya ulinganifu wake kwenye CC wakati sasa hivi teknolojia imebadilika kuna vitu vingine vya kitaalam nje ya engine displacement inabidi viangaliwe.Mfano defender tdi ina cc2495 kutokana na kuwa na turbo inaitoa jasho LC ya 1hz yenye cc4200.Gari zinaweza kuwa na injini moja lkn moja ikaizidi nyingine kutokana na uzito wa body.1hz ikiwa kwenye coaster haiwezi kukimbia kama ikiwa kwenye lc hardtop.
 
Back
Top Bottom