Nielewe ndugu:-Form zote za ajira serikalini na taasisi zake kipengele Cha dini na Kabila hakiko kabisa
We unaomba kazi, mwenzako nafanya kazi sihangaiki na mambo yenu ya mtandaoni.Hakuna
Hata Sasa kazi zote zinazotangazwa na serikali ingia online uombe hakuna popote kipengele u atakiwa ujaze wewe kabila gani au dini gani
Hapa ndio utajua kwanini maRais wakiwa waislam, magereza huwa yanajaa sana waislam kwa makosa kama ugaidi.Mama anaundiwa zengwe atumbuliwe
UDOM kuna KANISA? Kwanini mlitaka kujenga msikitiKwako Mwwnyekiti wa UWT Taifa.
Hata kwetu tusio wanachama wa CCM.
Taasisi unayoiongoza ni kubwa na imebeba sehemu historia ya Tanzania
Hivi karibuni kuna kuna mwandishi aliandika shutuma kubwa dhidi yako kuwa eti hustahili kuwa Mwenyekiti wa UWT, kwa kuwa wewe ulishiriki kuwakandamiza Waislam pale Chuo Kikuu cha Dodoma kwa kuzuia kujengwa msikiti na hatimaye kuwafukuza Watumishi 11 Waislam
Mwandishi amebainisha kuwa wewe hustahili kuongoza Jumuia iliyoaasisiwa na Waislam kina Bibi Titi Mohamed na Leo unawanyanyasa Waislam.
Mama hizi shutuma ni nzito sana kwako kukaa kimya bila kusema lolote haina afya kwako wala chama chako.
Tafadhali jibu shutuma hizi Waislam wajue pumba na mchele,
kinyume chake Umma wa Waislam hautakuelewa.
Andiko hili lipo JamiiForums tangu Oktoba 23 2021
Polepole mkuu,yaani ukiingia pale MUM utafikiri upo Tandale kwa Mtogole!Hapa ndio utajua kwanini maRais wakiwa waislam, magereza huwa yanajaa sana waislam kwa makosa kama ugaidi.
Maana hawa watu hakuna kitu utafanya wataridhika.
Wana mapepo ya vurugu na chokochoko muda wote.
Mtu anakwambia kuna 20:80 kwamba wanafunzi wa kiislam wanafelishwa na NECTA.
Mara analeta stori za BAKWATA na EAMW ya enzi za ukoloni sasa hivi ni ilimradi fujo tu.
Mara Ndalichako alikuwa anawafelisha waislamu, Kikwete akamtoa bado wanalalamika eti kwanini wameweka walewale yaani mkristo Charles Msonde.
Wakati wa Kikwete hawa watu walimsumbua sana.
Mkapa mpaka alichukua eneo la TANESCO akawapa wakajrnga chuo cha MUM Morogoro cha kushngaza maprofesa happ wamekuwa kina Sheikh Ponda ni mihadhra mwanzo mwisho.
Samia akianza kuwachekea hawa wajinga watamshika mpaka Mboni ya jicho.
Aisee ,hivi Jumatatu ya Leo ikoje,watu wagumu kuelewa!!UDOM kuna KANISA? Kwanini mlitaka kujenga msikiti
Hawa watu hata viongozi wakubwa wanajua kabisa wana matatizoPolepole mkuu,yaani ukiingia pale MUM utafikiri upo Tandale kwa Mtogole!
KakaJambazi
Serikalini na Taasisi zake zote hakuna form ya hivyo religion na Tribe havipo kabisa kwenye form labda huko sekta binafsi lakini serikalini na Taasisi zake Hakuna hivyo vipengele kuanzia unapoomba kazi Hadi kujaza form ya mkataba havipoNielewe ndugu:-
Umeshapata kazi, mkataba wako wa kudumu, History sheet utaonyesha vitu kama
1. Name
2. DOB
3.Nationality
4. Religion
5. Tribe
Hivi vyote havitoshi kukuonyesha wewe ni nani?
Hapa umeonesha ujinga tu kwa kuufunika na dini yako.Mimi ni mwislamu,na huyo mama namjua sana toka akiwa mkuu wa chuo cha ualimu butimba mwanza,ni mama ambae anahitsji huruma ya watu,kwani alibahatika kupata watoto 2 tu,mmoja wa kike na mmoja wa kiume na wote walikufa wakiwa watu wazima,tumhurumie mama huyu,haya maneno ya nini jamani
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Nahisi umeamka na mning'inio kichwani yaani watu wote wasikuelew wewe?Aisee ,hivi Jumatatu ya Leo ikoje,watu wagumu kuelewa!!
Anyway...kwa hiyo kungekuwa na Kanisa...?!
Ujuaji mwingi kumbe ni kolo. Mimi nipo serikalini, nimejaza history sheet ya mkataba wa ajira. Wewe ndio bado unaomba kazi tutaelewana? Subiri upate ajira kwanza halafu uje ubishe.Serikalini na Taasisi zake zote hakuna form ya hivyo religion na Tribe havipo kabisa kwenye form labda huko sekta binafsi lakini serikalini na Taasisi zake Hakuna hivyo vipengele kuanzia unapoomba kazi Hadi kujaza form ya mkataba havipo
CBE walikua wanazuia wanafunzi wa kiume kusuka, kuvaa hereni na kuvaa mlegezo kilikua chuo cha kiislam?Aise wasingeingilia UDOM kilikuwa kinakuwa a Muslim University. Walianza hadi kuwakamata mabinti wanaovaa nguo fupi!
Watu gani😅😂 wewe na YEHODAYA Ndio Hamuelewi!hivi na wewe ni MATAGA,ngoja nikupekueNahisi umeamka na mning'inio kichwani yaani watu wote wasikuelew wewe?
Mkuu una Avatar nzuri hivi halafu....unaniangusha Mkuu!Nahisi umeamka na mning'inio kichwani yaani watu wote wasikuelew wewe?
We hebu nifatilie uone kama mi ni mataga?Watu gani😅😂 wewe na YEHODAYA Ndio Hamuelewi!hivi na wewe ni MATAGA,ngoja nikupekue
Chuo Cha morogoro walipewa bure kuwa haya na nyie chuo chenu hicho mnasingizia waislamu wako nyuma chukueni bureHapa ndio utajua kwanini maRais wakiwa waislam, magereza huwa yanajaa sana waislam kwa makosa kama ugaidi.
Maana hawa watu hakuna kitu utafanya wataridhika.
Wana mapepo ya vurugu na chokochoko muda wote.
Mtu anakwambia kuna 20:80 kwamba wanafunzi wa kiislam wanafelishwa na NECTA.
Mara analeta stori za BAKWATA na EAMW ya enzi za ukoloni sasa hivi ni ilimradi fujo tu.
Mara Ndalichako alikuwa anawafelisha waislamu, Kikwete akamtoa bado wanalalamika eti kwanini wameweka walewale yaani mkristo Charles Msonde.
Wakati wa Kikwete hawa watu walimsumbua sana.
Mkapa mpaka alichukua eneo la TANESCO akawapa wakajrnga chuo cha MUM Morogoro cha kushngaza maprofesa happ wamekuwa kina Sheikh Ponda ni mihadhra mwanzo mwisho.
Samia akianza kuwachekea hawa wajinga watamshika mpaka Mboni ya jicho.
😂😂Really kwa heshima ya Avatar yako ...mgoja ninyamaze ukizingatia kuwa leo ni Jumatatu😋We ni bonge moja la pimbi hebu nifatilie uone kama mi ni mataga?