Uongo Tena mkubwa.Weka hiyo sheet plain tuoone hayo mambo Hakuna .Huyo aliyekujazisha ni wa ofisi ipi.Weka wazi ni kitu serious hayo mambo hayapo. weka jina la taasisi hapa.Ujuaji mwingi kumbe ni kolo. Mimi nipo serikalini, nimejaza history sheet ya mkataba wa ajira. Wewe ndio bado unaomba kazi tutaelewana? Subiri upate ajira kwanza halafu uje ubishe.
YeesIlifika hapo?
Basi ilikuwa hatariYees
Kwa bahati mbaya baadhi ya wenzetu hawa akili zao hazina tofauti na za Wataliban wa Afghanistan wanatamani sana Tanzania iwe Islamic Republic - Watanzania wote wa jinsia ya kike wavae hijabu, wanaume wasinyoe ndevu,wavae mapajama,kanzu na vilemba kichwani - ajabu sana!!Ila udom ilizidi udini enzi hizo, hafu hizi mambo za dini mbona akiingia Rais mwislamu ndio zinaanza chokochoko, maana waja wamsagia kunguni mama wa watu, pia taasisi za umma why ujenge nyumba ya ibada ya aina moja tu wakati hyo ni taasisi ya umma ka si ujinga nini
Kwhy Hayati mwendamjini hakufanya teuzi za kikanda ,kikabila na kidini ...ujinga Ni ujinga tuIla udom ilizidi udini enzi hizo, hafu hizi mambo za dini mbona akiingia Rais mwislamu ndio zinaanza chokochoko, maana waja wamsagia kunguni mama wa watu, pia taasisi za umma why ujenge nyumba ya ibada ya aina moja tu wakati hyo ni taasisi ya umma ka si ujinga nini
Ni kweli hawa Wana tatizo kubwa vichwani wao daily tu ndio huonewa, Sasa kama watoto hawatii juhudi kusoma wakifeli wanasingiziwa NECTA tutafika kweli?Hapa ndio utajua kwanini maRais wakiwa waislam, magereza huwa yanajaa sana waislam kwa makosa kama ugaidi.
Maana hawa watu hakuna kitu utafanya wataridhika.
Wana mapepo ya vurugu na chokochoko muda wote.
Mtu anakwambia kuna 20:80 kwamba wanafunzi wa kiislam wanafelishwa na NECTA.
Mara analeta stori za BAKWATA na EAMW ya enzi za ukoloni sasa hivi ni ilimradi fujo tu.
Mara Ndalichako alikuwa anawafelisha waislamu, Kikwete akamtoa bado wanalalamika eti kwanini wameweka walewale yaani mkristo Charles Msonde.
Wakati wa Kikwete hawa watu walimsumbua sana.
Mkapa mpaka alichukua eneo la TANESCO akawapa wakajrnga chuo cha MUM Morogoro cha kushngaza maprofesa happ wamekuwa kina Sheikh Ponda ni mihadhra mwanzo mwisho.
Samia akianza kuwachekea hawa wajinga watamshika mpaka Mboni ya jicho.
Ubaguzi au upendeleo n mbaya hata Kama umefanywa na Mungu!Kwhy Hayati mwendamjini hakufanya teuzi za kikanda ,kikabila na kidini ...ujinga Ni ujinga tu
Huna ujualo Mungu akusamehe. Kwa hiyo ni wakati gani serikali ilijua:-Serikalini na Taasisi zake zote hakuna form ya hivyo religion na Tribe havipo kabisa kwenye form labda huko sekta binafsi lakini serikalini na Taasisi zake Hakuna hivyo vipengele kuanzia unapoomba kazi Hadi kujaza form ya mkataba havipo
What the hell was that! unatumia sheria za kidini kwenye chuo ambacho hakifungamani na dini yoyote.......na kwa nini hilo lilifikia hapo?Hili ni kweli Madam Aziza yule albino mzenj alianza hadi kuwa anawawinda mabinti mpaka town yani anawawinda hadi nje ya chuo akiwakamata wanafukuzwa.
Hiki ndicho kilikuwa kinatokea. Ukionewa huruma anakupa adhabu ya kupanda miti. Uongozi ulikuwa unajua wengine wanasema pembeni lakini hakuna aliyekuwa anathubutu kumzuia. Alikuwa anajifunga ushungi anapanda hadi daladala aangalie ni binti gani kavaa sijui suruali au nguo flani. Mabinti walipokuwa wakikutana naye hata town wanakimbia kama wehu.What the hell was that! unatumia sheria za kidini kwenye chuo ambacho hakifungamani na dini yoyote.......na kwa nini hilo lilifikia hapo?
Katiba inatamka wazi kuwa serikali haina dini ukiwa Raisi unageuka huna Dini ndio maana Raisi hukusanya Kodi kutoka kwenye bia na maduka ya kitimoto hata Kama ni muislamuHuna ujualo Mungu akusamehe. Kwa hiyo ni wakati gani serikali ilijua:-
1. Nyerere Mkristu
2. Mwinyi muislam
3. Mkapa mkristu.
4. Kikwete Muislam
5. Magufuli Mkristu.
6. Samia Muislam.
Au kusema serikali mpaka leo haitambui dini za watu hao? Au inajuaje?
Kumbe wewe ni mzembe kiasi hiki? Unaulizwa kingine unatoa majibu mengine.Katiba inatamka wazi kuwa serikali haina dini ukiwa Raisi unageuka huna Dini ndio maana Raisi hukusanya Kodi kutoka kwenye bia na maduka ya kitimoto hata Kama ni muislamu
Ukiweka hata mkurugenzi mkuu wa shirika la ndege au la reli au wizara ya biashara moja ya kazi zake ni kusimamia bia ziingie kwenye ndege na treni na Kama Yuko wizara ya biashara moja ya kazi zake ni kusimamia biashara ya pombe kuanzia viwanda Hadi lesen
Serikali kutamkwa haina dini ilikuwa kuwasaidia Wenye dini kuwa ukikubali ajira au cheo it is at your own risk
Walipaji Kodi wakubwa nchi hi ni walevi magari na misafara ya Mama Samia sehemu kubwa inagharimiwa na Kodi za pombe sababu Ndio biggest taxpayers.
Mfano Muislamu akiajiriwa TRA moja ya kazi zake ni kuhakisha wauza pombe wanalipa Kodi stahiki
Kifupi ukijiunga na serikali ujue dini yako umeiweka rehani uchague mawili pepo au dini ukitaka pepo achana na vyeo vya serikali au Bunge au mahakama.Bunge hupitisha sheria za vileo na mahakama husimamia sheria zikiwemo za Chapombe
Ukiwa mkuu wa taasisi au serikali mfano mojawapo ya kazi zako ni kusimamia bajeti za taasisi au serikali ambayo mojawapo ya vipengele ni kusimamia bajeti za vileo vya sherehe ya taasisi kuipitisha na kusimamia
Ushauri wangu Kama wewe ni mtu wa dini epuka vyeo vya serikali ,Bunge na mahakama fanya tu biashara au kilimo utaiona pepo huko kwingine Jehanamu inakuhusu
Chuo kilikuwa na Waislamu 11 tu?GAUDENSIA KABAKA MWENYEKITI WA UWT?
Mwenyekiti wa UWT Gaudensia Kabaka ndiye aliyehusika kuwafukuza Waislam 11 Chuo Kikuu cha Dodoma na kusimamisha ujenzi wa msikiti hapo chuoni ambao ujenzi wake ulishaidhinishwa.
Leo yupo katika sherehe za kumuenzi Bi. Titi Mohamed.
Huyu ndiye kiongozi aliyewafukuza wajukuu wa Bi. Titi hapo chuoni na kuzuia ujenzi wa msikiti.
Kwa yale aliyopigania Bi. Titi Mohamed na wanawake wote katika TANU ya enzi zile huu ni msiba mkubwa.
Huyu Mama hastahili kuongoza wala kunasibishwa na umoja huu ulioasisiwa na mama zetu akina Bi. Titi, Bi. Hawa bint Maftah, Bi. Zarula bint Abdulrahman kwa kuwataja wachache.
Angalieni picha hiyo ya kwanza hapo chini pcha iliyopigwa na Mohamed Shebe ya mkutano wa TANU 1955 wakati wazee wetu wanautafuta uhuru wa Tanganyika.
Angalia huo umma Viwanja Vya Mnazi Mmoja na tazama hiyo sehemu nyeusi.
Hayo ni mabaibui ya bibi. mama, na shangazi zetu wamekuja kuujaza uwanja na kumtia nguvu Mwalimu Nyerere.
Mama zetu wameitika mwito wa "kuno kuno."
Hapo ndipo walipokuwa wakiimba nyimbo za lelemama kuhamsisha wakiimba."
Muheshimiwa nakupenda sana....Insha Allah Mungu yupo Tanganyika tutajitawala.''
Tujitawale halafu iwe nini?
Gaudensia anyanyase Waislam, Gaudensia avunje misikiti yetu?
Gaudensia awafukuze chuoni wajukuu wa hawa wanawake unaowaona hapo chini kwenye picha?
Picha ya pili hao wote mbele hapo wanaongoza maandamano ya akina mama mimi mama zangu.
Hao ndiyo msingi wa UWT.
Yupo Bi. Mwamvua bint Mrisho (Mama Daisy), Bi. Titi Mohamed na Bi. Zainab Tewa.
Serikali ingekuwa inajibu kila ujinga nadhani ingekuwa ngumu sana kufanya mambo ya maendeleo. Mi nadhani Dodoma kuna viwanja vingi sana Waislmu wajenge tu misikiti kadri wawezavyo waache kulia lia kipuuzi. Gaudensi hajazuia kujengwa misikiti ijengwe mingi sana ...nashauri yanunuliwe maeneo mengi misikiti ijengwe mingi sana. Waislamu wamche mola wao.... Wakati wote.Jiwe...
Utaelezaje 20:80.
Mjadala huu unahitaji ujuzi vinginevyo utabakia kwenye ghadhabu.
Serikali katika hili hawana la kusema.
Serikali ndiyo ya kutoa majibu si wewe.
Saint...
Ahsante hii ni data nitamrushia sahib yangu nisikilize atasema nini.
Hakika kuishi kwingi ni kuona mengi.
Nina miaka 69 nakimbilia 70 In Sha Allah February 2022''
Nyamizi,Naomba ufafanuzi kidogo Mzee wangu kama hutojali.Kuna picha moja umepost ukiwa wewe na kina Sykes umesema ilikuwa ni 1968 na katika hiyo picha ukasema Sykes alikuwa na miaka 20 na wewe ukiwa na miaka 18.Sasa tuchukulie hayo maelezo ya hiyo picha yalikuwa sahihi maana yake umezaliwa mwaka 1950.Lakini kwa maelezo hayo niliyoku quote unasema 2022 utakuwa na miaka 70.Tushike lipi kati ya haya mawili? Umezaliwa mwaka 1950 au 1952?
Nyamizi,
Hiyo picha haikuwa ya kina Sykes.
Hiyo picha ni group yetu tukijiita Scorpions.
Katika caption nimesema Kleist alikuwa na miaka 20 na mimi miaka 18.
Kleist kazaliwa 1950 na mimi 1952.
Nyamizi,
Hiyo picha haikuwa ya kina Sykes.
Hiyo picha ni group yetu tukijiita Scorpions.
Katika caption nimesema Kleist alikuwa na miaka 20 na mimi miaka 18.
Kleist kazaliwa 1950 na mimi 1952.
Here we go again, he goes "Mgawano wa fulsa" how do you mean? Kwani fulsa zinagawanwa au inategemea na akili za MTU kuchangamkia fulsa - wakati mwingine mnashangaza sana sanaMay Day,
Hivi unajua Nyerere kaja Dar es Salaam hana ndugu wala jamaa?
Unawajua waliompokea?
Unadhani endapo wazee wetu wamgekuwa wabaguzi wa dini au kabila Nyerere angefika hapo alipofika?
Wewe unaridhishwa na hii hali ya leo katika mgawanyo wa fursa 20:80?
Moh, look: Nyerere alikuja Dar kama Mwalimu was shule ya Sekondari ya PuguMay Day,
Hivi unajua Nyerere kaja Dar es Salaam hana ndugu wala jamaa?
Unawajua waliompokea?
Unadhani endapo wazee wetu wamgekuwa wabaguzi wa dini au kabila Nyerere angefika hapo alipofika?
Wewe unaridhishwa na hii hali ya leo katika mgawanyo wa fursa 20:80?