Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025

Mbna unaweweseka hv
 
Huo utafit umeufanya wap????mahabba hayalazimishw bwashee
 
Ucaguzi ama uchafuziii? Kwani mizuka ama mikazooo!
 
Huku akiacha matrilion ya maden,kwel ujinga ni mzigo mzto
 
Kuna muhuni Kama aliyekwapua trilion 1.5? Na akaenda kujenga uwanja wa ndege Chato bila kupitishwa na Bunge tena kwa kampuni yake?
Huo uwanja ni mali ya nani ? Maana tunajua walio beba pesa kwenye rumbesa walisema ni mali zao tena pesa za mboga tu na mkwele alisema zile pesa siyo mali ya serikali ,sasa uwanja wa chato ni mali ya mtu binafsi au wa serikali nipe jibu haraka
 
.... gang unajitesa bure!

Basi gombea wewe hiyo 2025.
Unataka uitwe jina la lile gang lingine ili muipasue Tanzania? Hakuna kitu kibaya kukalia bomu la kutegwa wakati una mchafuko wa tumbo. Sijui naeleweka, maana najistukia.
 
Ukweli Ni kwamba... MH. Rais SSH, kwa kipindi Cha miezi nane tu kazi aliyoifanya/anayoifanya Ni Nzuri mno kwa maendeleo ya Taifa letu,
KURA YAKE NITAMPA/TUTAMPA ZAKUTOSHA. BE BLESSED HON. SSH.
 
NI AIBU KWA MWANA CCM KAMA WEWE KUANDIKA HAYA,

KWA TAARIFA TU,

RAIS SAMIA ATAGOMBEA,

NA FOMU TUTAPRINT MOJA TU,

MPELEKEE TAARIFA ALIYEKUTUMA,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…