Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025

Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025

Ukweli Ni kwamba... MH. Rais SSH, kwa kipindi Cha miezi nane tu kazi aliyoifanya/anayoifanya Ni Nzuri mno kwa maendeleo ya Taifa letu,
KURA YAKE NITAMPA/TUTAMPA ZAKUTOSHA. BE BLESSED HON. SSH.
Ukweli Ni kwamba... MH. Rais SSH, kwa kipindi Cha miezi nane tu kazi aliyoifanya/anayoifanya Ni Nzuri mno kwa maendeleo ya Taifa letu,
KURA YAKE NITAMPA/TUTAMPA ZAKUTOSHA. BE BLESSED HON. SSH.
sawa sawa!Uvambe wa miiwi ya itaso kura Kondoa!!!
 
Ni mpumbavu pekee anaye weza kusema Magufuli aliye shika vyeo kisiasa toka 1995 mpaka 2021 hakuwa mwanasiasa.

Kama hamumtaki Mama mjipange maana sonono litatamakaki kwa miaka mingine mitano baada ya 2025.

Tumuombee Mama afya tele na uongozi bora.
 
Ukweli Ni kwamba... MH. Rais SSH, kwa kipindi Cha miezi nane tu kazi aliyoifanya/anayoifanya Ni Nzuri mno kwa maendeleo ya Taifa letu,
KURA YAKE NITAMPA/TUTAMPA ZAKUTOSHA. BE BLESSED HON. SSH.
Kwa tume hii na katiba ya nchi iliyopo si kura yako au hata za wengine, CCM haizihitaji ili kushinda. Kwa hali ilivyo sasa hata kama watz wote msipoenda kupiga kura, CCM itashinda TU kwa kishindo.
 
Kwanza ni KOSA KUBWA SANA Tanzania Bara kuongozwa na Mzanzibar tunataka Katiba mpya kurekebisha haya.

Hatuwezi kuendelea kuongozwa na Mzazibar.PERIOD
 
Nawasalimu Kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Huu ni uchambuzi mfupi tu wa "facts".

1. Samia alikuwa makamu wa Rais WA Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dr JPJM. 2015-2020.

2. Magufuli alikuja kuliokoa jahazi lililokuwa linazama mikononi mwa Kikwete.

3. Magufuli alikuwa kiungo muhimu sana aliyeifufua CCM ambayo ilikuwa imejifia kwenye UFISADI, UDHAIFU na MAUCHAFU ya kila aina. Hata watu waliokuwa wanavaa manguo ya kijani walipigwa mawe.

4. Wakati wa Magufuli, CCM iliimarika na kustawi. Hata vijana wakapata hamasa ya kuishabikia.

5. Hayo yote yalifanyika kwa sababu, kwanza Magufuli alikuwa si mwanasiasa wa maneno maneno. Utendaji wake wa miaka mitano unajidhihirisha.

6. Samia hakuwahi kuwa na mvuto wa Kisiasa wakati wa Magufuli. Alibebwa bebwa tu. Watu wengi hawakumjua wala kumtilia maanani.

7. Samia sio president material. Hana ushawishi wa maneno wala wa vitendo. Hata akisimama jukwaani hana nguvu ya kisiasa.

7) (a) Hawezi kujipambanua kisiasa. Akigombea atafeli kabla hajaanza (isipokuwa tu labda kwa usaidizi wa state apparatus).

b) Hawezi kupambana katika ulingo wa Kisiasa. Ni mchovu.

c) Hana ushawishi kwa wananchi. Ushawishi ni karama ambayo hana. Hana kismati. (labda atumie uchawi na mapete ya kiganga).

d) Ameshawavuruga watu makundi kwa makundi (wamachinga, mamantilie, vijana, TOZO, Bandari ya bagamoyo, Bwawa la Nyerere, mgao wa umeme, maji pamoja na kurudisha mafisadi serikalini). Hili ni doa.

NB: CCM wakitaka waaibike 2025 wamuweke huyu mama. Watapata aibu ya karne.
Utakuwa ni msukuma wewe. Samike ni jina la kisukuma hilo.

Mama Samia tunae mpaka 2030, hizi hila zenu haziwezi kushindana na ukweli kuwa Mungu ndio mtoaji wa kila kitu.

Anajua utaishi mpaka tarehe ipi ya mwaka upi. Binadamu ni kujitutumua tu kama chatu, lakini hana ujanja wowote kwani hawezi kuongeza hata sekunde moja ya uhai wake.

Unayemdharau keshahudhuria mikutano ya kidunia tena ile mikubwa na matunda ya yeye kuwepo na kuchangia kwa maneno ni pesa nyingi zinazotumika serikalini.

Huyo JPM mwisho wake ulikuwa ni Ethiopia hakuwahi kuvuka zaidi ya hapo. Uwe na heshima unapojadili masuala yenye kuugusa mustakabali wa Taifa.
 
Kosa kubwa la Mama ni kukubali watu wamdhihaki Dkt Magufuli kutokana na kifo, yaani anaenda mpaka kupiga picha na Mange kimambi ambaye alikuwa ana ratibu mauaji ya Dkt Magufuli na baada ya kifo alifurahia. Yaani Mama kumsafisha inazidi kuwa ngumu sana. Yaani angejua alipaswa achukue ushauri kwa TISS badala ya kukurupuka kama alivyofanya. Yaani chuki huku mitaani ni kubwa mno.
Ukiwa ni mwenye busara hutakiwi kumrithi adui wa adui yako. Tengeneza wa kwako kwa mazingira ya asili. Ukiwa tayari kumrithi adui wewe huna tofauti na mshirikina.
 
Nawasalimu Kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Huu ni uchambuzi mfupi tu wa "facts".

1. Samia alikuwa makamu wa Rais WA Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dr JPJM. 2015-2020.

2. Magufuli alikuja kuliokoa jahazi lililokuwa linazama mikononi mwa Kikwete.

3. Magufuli alikuwa kiungo muhimu sana aliyeifufua CCM ambayo ilikuwa imejifia kwenye UFISADI, UDHAIFU na MAUCHAFU ya kila aina. Hata watu waliokuwa wanavaa manguo ya kijani walipigwa mawe.

4. Wakati wa Magufuli, CCM iliimarika na kustawi. Hata vijana wakapata hamasa ya kuishabikia.

5. Hayo yote yalifanyika kwa sababu, kwanza Magufuli alikuwa si mwanasiasa wa maneno maneno. Utendaji wake wa miaka mitano unajidhihirisha.

6. Samia hakuwahi kuwa na mvuto wa Kisiasa wakati wa Magufuli. Alibebwa bebwa tu. Watu wengi hawakumjua wala kumtilia maanani.

7. Samia sio president material. Hana ushawishi wa maneno wala wa vitendo. Hata akisimama jukwaani hana nguvu ya kisiasa.

7) (a) Hawezi kujipambanua kisiasa. Akigombea atafeli kabla hajaanza (isipokuwa tu labda kwa usaidizi wa state apparatus).

b) Hawezi kupambana katika ulingo wa Kisiasa. Ni mchovu.

c) Hana ushawishi kwa wananchi. Ushawishi ni karama ambayo hana. Hana kismati. (labda atumie uchawi na mapete ya kiganga).

d) Ameshawavuruga watu makundi kwa makundi (wamachinga, mamantilie, vijana, TOZO, Bandari ya bagamoyo, Bwawa la Nyerere, mgao wa umeme, maji pamoja na kurudisha mafisadi serikalini). Hili ni doa.

NB: CCM wakitaka waaibike 2025 wamuweke huyu mama. Watapata aibu ya karne.
Ukiacha uchaguzi wa 2005,awamu ya kwanza ya JK,uchaguzi mwingine wowote uliofuata, ulikuwa ni mgumu Sana Kwa mgombea wa CCM.Awamu Kwa mfano ya 5,ilikuwa ni shida Sana CCM kupenya.Hivyo haijalishi ni mgombea gani amewekwa,lakini ukweli ni kwamba CCM Kwa sasa haiwezi kujisimamia na ikashinda uchaguzi.


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Samia sio president material. Hana ushawishi wa maneno wala wa vitendo. Hata akisimama jukwaani hana nguvu ya kisiasa.

NB: CCM wakitaka waaibike 2025 wamuweke huyu mama. Watapata aibu ya karne.
I'd like to differ, its the other way round,
na 2025...Utashangaa!.

P
 
Ukweli ni kwamba maadui wa Magufuli waliofurahia kifo chake ni wachache sana na karibuni wote hao ni wanufaika wa ufisadi kwa namna moja au nyingine. Kutaka kuwafurahisha hao hakukuongezei mtaji wa kisiasa. Wanaompenda JPM kwa dhati ni wengi mno na ukiwahuzunisha hao kwa kumkashifi JPM kama wanavyofanya wanasiasa uchwara ni kujichimbia kaburi kwenye ulingo wa siasa za Tz!! Mliokosea hapo jiandaeni kuaibika!! JPM japo hayupo lakini hakuna mwenye ubavu wa kuweza kuvunja misingi aliyoiweka!! Kwa mfano huwezi kuimba wimbo wa "Tanzania ni nchi maskini" halafu utegemee watu watakuitikia!!, Pia huwezi kuimba wimbo wa "kuwatishia watu na corona" halafu utegemee watu watakuitikia!! Huwezi kupambana na kivuli cha Magufuli na ukashinda!! Kama unabisha waulize wanaohamasisha chanjo za corona na uvaaji wa barakoa!!! Magufuli ni mwanasiasà aliyefanikiwa sana!! Huwezi kubomoa alichokijenga, na ukijaribu unajibomoa mweñyewe!!

Ni kitu wasichokielewa. Kwamba, Watanzania walijionea wenyewe huduma muhimu zikisogezwa karibu, haki kutendeka, maskini, yatima, kusaidiwa, migogoro ya ardhi, mashamba, nyumba maskini kutatuliwa. Elimu bure. Masoko ya madini nchi nzima.

Matajiri wachache kuchukua maelfu ya eka Tanga, Tanzania nzima aliwadhibiti, wakati mwingine alitumia ubabe ardhi nyingi ilirudishwa kwa Watanzania, wakagawia Watanzania maskini.

Wale washirika wa mabeberu kuhusu madini alipambana nao kama Huyu ndugu (Barms, Hamatan, Tundu lissu).

Mjane, yatima, mlalahoi, alisikilizwa na mkuu wa mkoa, wilaya RPC, Mkuu wa kata, waziri.
 
Back
Top Bottom