Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025

Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025

Yaani ukitaka kuona uchanga wa mtu kwenye siasa za Tanzania basi msikilize anaongea nini kuhusu Samia na 2025!!

Guys, moja ya sababu ambazo ma-CCM huwa wanatupiga sana bao ni namna wanavyo-handle mambo yao!!!

Huku nje unaweza kuona huko CCM kuna mtimbwalanyiko kweli kweli lakini haya majamaa yakishakutana tu Chimwaga, yanakuwa kitu kimoja!!

Hizi simulizi za CCM kuparaganyika, CCM kufa kibudu zilienea sana wakati wa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa CCM mwaka 2012!!!

Tena wakati ule kulikuwa na vigogo kweli kweli waliokuwa wanaonekana ndo wanaenda kuichinja CCM... hawa ni pamoja na Lowassa, Chenge, na Rostam Azizi!!

Kuna wengine wakafikia hadi kusema JK anapigwa chini uenyekiti... sie wengine tukawa tunacheka tu!!!

Pamoja na rabsha zote hizo, wafuatiliaji wa siasa watakumbuka kilitokea nini!!

The Main Villain Himself, Edward Ngoyai Lowassa wakaja kumchinja na kumzika kabisa 2015!!!

Hayo ndo ma-CCM!!

Ma-CCM yataondoka tu madarakani pale Watanzania watakavyoacha kuwa mazombi lakini eti tutarajie migogoro ya watu kama akina Ndugai inaweza kuwaondoa hawa jamaa, itakuwa mnajidanganya!!!
Kwenye vikao wanaendaga na kapu la hela hivyo lazma mawazo yabadilike
 
Waswahili wanasema ukiishi nyumba ya vioo usitake ugomvi wa mawe. Kwa kua umetangaza waziwazi na mapema vita na unaowatuhumu kutaka uraisi 2025 sasa kaa mguu sawa. Wenzio hua wanapigana kimya kimya sasa wewe ugomvi wa chumbani umeuleta sebuleni. Jiandae kupigwa vita nje nje na waziwazi kama ulivyoanza mwenyewe. Hili goma umelipiga mapema mnoooo.
Sukuma gang naomba nimwambie huwezi kushindana na mwenyekiti wa chama,rais,amiri jeshi mkuu,dhidi ya marehemu,mbowe na lipumba tu wameshindwa kuwatoa madarakani ndio wataweza kwa rais,tafuteni kazi nyingine za kufanya
 
Waswahili wanasema ukiishi nyumba ya vioo usitake ugomvi wa mawe. Kwa kua umetangaza waziwazi na mapema vita na unaowatuhumu kutaka uraisi 2025 sasa kaa mguu sawa. Wenzio hua wanapigana kimya kimya sasa wewe ugomvi wa chumbani umeuleta sebuleni. Jiandae kupigwa vita nje nje na waziwazi kama ulivyoanza mwenyewe. Hili goma umelipiga mapema mnoooo.
Hiyo usahau
 
Yaani ukitaka kuona uchanga wa mtu kwenye siasa za Tanzania basi msikilize anaongea nini kuhusu Samia na 2025!!

Guys, moja ya sababu ambazo ma-CCM huwa wanatupiga sana bao ni namna wanavyo-handle mambo yao!!!

Huku nje unaweza kuona huko CCM kuna mtimbwalanyiko kweli kweli lakini haya majamaa yakishakutana tu Chimwaga, yanakuwa kitu kimoja!!

Hizi simulizi za CCM kuparaganyika, CCM kufa kibudu zilienea sana wakati wa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa CCM mwaka 2012!!!

Tena wakati ule kulikuwa na vigogo kweli kweli waliokuwa wanaonekana ndo wanaenda kuichinja CCM... hawa ni pamoja na Lowassa, Chenge, na Rostam Azizi!!

Kuna wengine wakafikia hadi kusema JK anapigwa chini uenyekiti... sie wengine tukawa tunacheka tu!!!

Pamoja na rabsha zote hizo, wafuatiliaji wa siasa watakumbuka kilitokea nini!!

The Main Villain Himself, Edward Ngoyai Lowassa wakaja kumchinja na kumzika kabisa 2015!!!

Hayo ndo ma-CCM!!

Hivi mwaka huu CCM si wanafanya Uchaguzi wake mkuu?!

Subirini basi kama hamajasikia Samia huyo huyo akichaguliwa tena uenyekiti kwa 100%!!
Watu wengi hawana kumbukumbu. Huwa wanaishi kwa matumaini tu ambayo hata hayapo.
 
Waswahili wanasema ukiishi nyumba ya vioo usitake ugomvi wa mawe. Kwa kua umetangaza waziwazi na mapema vita na unaowatuhumu kutaka uraisi 2025 sasa kaa mguu sawa. Wenzio hua wanapigana kimya kimya sasa wewe ugomvi wa chumbani umeuleta sebuleni. Jiandae kupigwa vita nje nje na waziwazi kama ulivyoanza mwenyewe. Hili goma umelipiga mapema mnoooo.
Hivi uko Tanzania hii kweli wewe?mnaielewa hii nchi kweli na mifumo iliyopo rais wa nchi kabisa unamfananisha na balozi wa nyumba kumi
 
Waswahili wanasema ukiishi nyumba ya vioo usitake ugomvi wa mawe. Kwa kua umetangaza waziwazi na mapema vita na unaowatuhumu kutaka uraisi 2025 sasa kaa mguu sawa. Wenzio hua wanapigana kimya kimya sasa wewe ugomvi wa chumbani umeuleta sebuleni. Jiandae kupigwa vita nje nje na waziwazi kama ulivyoanza mwenyewe. Hili goma umelipiga mapema mnoooo.
Bila katiba mpya itakayoweka tume huru ya uchaguzi Mama atashinda kwa kishindo
 
Waswahili wanasema ukiishi nyumba ya vioo usitake ugomvi wa mawe. Kwa kua umetangaza waziwazi na mapema vita na unaowatuhumu kutaka uraisi 2025 sasa kaa mguu sawa. Wenzio hua wanapigana kimya kimya sasa wewe ugomvi wa chumbani umeuleta sebuleni. Jiandae kupigwa vita nje nje na waziwazi kama ulivyoanza mwenyewe. Hili goma umelipiga mapema mnoooo.
Yaani wapinzani bwana wanachezeshwa ngoma na ma ccm! Kamwe wapinzani hawawezi kuchukua nchi kama hawatabadilika
 
Tuache kujidanganya nafcn mwetu,kwa katiba hii narudia kwa katiba hii chakavu CCM itatawala milele
Waswahili wanasema ukiishi nyumba ya vioo usitake ugomvi wa mawe. Kwa kua umetangaza waziwazi na mapema vita na unaowatuhumu kutaka uraisi 2025 sasa kaa mguu sawa. Wenzio hua wanapigana kimya kimya sasa wewe ugomvi wa chumbani umeuleta sebuleni. Jiandae kupigwa vita nje nje na waziwazi kama ulivyoanza mwenyewe. Hili goma umelipiga mapema mnoooo.
 
Yaani ukitaka kuona uchanga wa mtu kwenye siasa za Tanzania basi msikilize anaongea nini kuhusu Samia na 2025!!

Guys, moja ya sababu ambazo ma-CCM huwa wanatupiga sana bao ni namna wanavyo-handle mambo yao!!!

Huku nje unaweza kuona huko CCM kuna mtimbwalanyiko kweli kweli lakini haya majamaa yakishakutana tu Chimwaga, yanakuwa kitu kimoja!!

Hizi simulizi za CCM kuparaganyika, CCM kufa kibudu zilienea sana wakati wa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa CCM mwaka 2012!!!

Tena wakati ule kulikuwa na vigogo kweli kweli waliokuwa wanaonekana ndo wanaenda kuichinja CCM... hawa ni pamoja na Lowassa, Chenge, na Rostam Azizi!!

Kuna wengine wakafikia hadi kusema JK anapigwa chini uenyekiti... sie wengine tukawa tunacheka tu!!!

Pamoja na rabsha zote hizo, wafuatiliaji wa siasa watakumbuka kilitokea nini!!

The Main Villain Himself, Edward Ngoyai Lowassa wakaja kumchinja na kumzika kabisa 2015!!!

Hayo ndo ma-CCM!!

Hivi mwaka huu CCM si wanafanya Uchaguzi wake mkuu?!

Subirini basi kama hamajasikia Samia huyo huyo akichaguliwa tena uenyekiti kwa 100%!!
Lakini uchaguzi wa 2015 si uliona timbwili lake manusla CCM iangukie pua.
 
Dah!! Mbona imekuwa nogwa kwa mama mapema hivi ya kuwazia uchaguzi 2025 tumpe nafasi mama afanye kazi,vvinginevyo ni uroho wa madaraka na mnakatisha tamaa ya kufanya kazi, tumuunge mkono sehemu ya kukosoa tukosoe kwa adabu, akifanya vizuri tumsifie huyu ndio rais wetu

Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
 
Lakini uchaguzi wa 2015 si uliona timbwili lake manusla CCM iangukie pua.
Hoja ya Mleta Mada na hata maelezo yangu sio "CCM Bye bye" bali "Samia bye bye"!! Yaani anajidanganya muscles za akina Ndugai zitasababisha CCM kumpiga chini Samia!
 
Bila katiba mpya itakayoweka tume huru ya uchaguzi Mama atashinda kwa kishindo
SSH hajamaliza hata Mwaka mmoja tayari mnaanza kumsifu. Kwani watanzania tuna tatizo gani?
Anaharibu bado anasifiwa. Sijui ni elimu ama ni nini?
 
Back
Top Bottom