NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Ukweli Ni kwamba... MH. Rais SSH, kwa kipindi Cha miezi nane tu kazi aliyoifanya/anayoifanya Ni Nzuri mno kwa maendeleo ya Taifa letu,
KURA YAKE NITAMPA/TUTAMPA ZAKUTOSHA. BE BLESSED HON. SSH.
sawa sawa!Uvambe wa miiwi ya itaso kura Kondoa!!!Ukweli Ni kwamba... MH. Rais SSH, kwa kipindi Cha miezi nane tu kazi aliyoifanya/anayoifanya Ni Nzuri mno kwa maendeleo ya Taifa letu,
KURA YAKE NITAMPA/TUTAMPA ZAKUTOSHA. BE BLESSED HON. SSH.
Iliyoshinda ni TUME YA UCHAGUZI ya MaheraKwahiyo Lissu ndio alishinda?
Kwa tume hii na katiba ya nchi iliyopo si kura yako au hata za wengine, CCM haizihitaji ili kushinda. Kwa hali ilivyo sasa hata kama watz wote msipoenda kupiga kura, CCM itashinda TU kwa kishindo.Ukweli Ni kwamba... MH. Rais SSH, kwa kipindi Cha miezi nane tu kazi aliyoifanya/anayoifanya Ni Nzuri mno kwa maendeleo ya Taifa letu,
KURA YAKE NITAMPA/TUTAMPA ZAKUTOSHA. BE BLESSED HON. SSH.
Cwez kukuzuia mahabba kwake,ila haibadilishi alikuwa mshamba na mpenda cfa za kijinga
lakini bado watu walimpenda, hao wenu ambao hawapendi sifa za kijinga wanafanya nn nje ya nchi
Hata iblis ana wafuasi wa kutisha mpaka wanamwagika
yeah shida iko wap?
Utakuwa ni msukuma wewe. Samike ni jina la kisukuma hilo.Nawasalimu Kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Huu ni uchambuzi mfupi tu wa "facts".
1. Samia alikuwa makamu wa Rais WA Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dr JPJM. 2015-2020.
2. Magufuli alikuja kuliokoa jahazi lililokuwa linazama mikononi mwa Kikwete.
3. Magufuli alikuwa kiungo muhimu sana aliyeifufua CCM ambayo ilikuwa imejifia kwenye UFISADI, UDHAIFU na MAUCHAFU ya kila aina. Hata watu waliokuwa wanavaa manguo ya kijani walipigwa mawe.
4. Wakati wa Magufuli, CCM iliimarika na kustawi. Hata vijana wakapata hamasa ya kuishabikia.
5. Hayo yote yalifanyika kwa sababu, kwanza Magufuli alikuwa si mwanasiasa wa maneno maneno. Utendaji wake wa miaka mitano unajidhihirisha.
6. Samia hakuwahi kuwa na mvuto wa Kisiasa wakati wa Magufuli. Alibebwa bebwa tu. Watu wengi hawakumjua wala kumtilia maanani.
7. Samia sio president material. Hana ushawishi wa maneno wala wa vitendo. Hata akisimama jukwaani hana nguvu ya kisiasa.
7) (a) Hawezi kujipambanua kisiasa. Akigombea atafeli kabla hajaanza (isipokuwa tu labda kwa usaidizi wa state apparatus).
b) Hawezi kupambana katika ulingo wa Kisiasa. Ni mchovu.
c) Hana ushawishi kwa wananchi. Ushawishi ni karama ambayo hana. Hana kismati. (labda atumie uchawi na mapete ya kiganga).
d) Ameshawavuruga watu makundi kwa makundi (wamachinga, mamantilie, vijana, TOZO, Bandari ya bagamoyo, Bwawa la Nyerere, mgao wa umeme, maji pamoja na kurudisha mafisadi serikalini). Hili ni doa.
NB: CCM wakitaka waaibike 2025 wamuweke huyu mama. Watapata aibu ya karne.
Ukiwa ni mwenye busara hutakiwi kumrithi adui wa adui yako. Tengeneza wa kwako kwa mazingira ya asili. Ukiwa tayari kumrithi adui wewe huna tofauti na mshirikina.Kosa kubwa la Mama ni kukubali watu wamdhihaki Dkt Magufuli kutokana na kifo, yaani anaenda mpaka kupiga picha na Mange kimambi ambaye alikuwa ana ratibu mauaji ya Dkt Magufuli na baada ya kifo alifurahia. Yaani Mama kumsafisha inazidi kuwa ngumu sana. Yaani angejua alipaswa achukue ushauri kwa TISS badala ya kukurupuka kama alivyofanya. Yaani chuki huku mitaani ni kubwa mno.
Ukiacha uchaguzi wa 2005,awamu ya kwanza ya JK,uchaguzi mwingine wowote uliofuata, ulikuwa ni mgumu Sana Kwa mgombea wa CCM.Awamu Kwa mfano ya 5,ilikuwa ni shida Sana CCM kupenya.Hivyo haijalishi ni mgombea gani amewekwa,lakini ukweli ni kwamba CCM Kwa sasa haiwezi kujisimamia na ikashinda uchaguzi.Nawasalimu Kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Huu ni uchambuzi mfupi tu wa "facts".
1. Samia alikuwa makamu wa Rais WA Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dr JPJM. 2015-2020.
2. Magufuli alikuja kuliokoa jahazi lililokuwa linazama mikononi mwa Kikwete.
3. Magufuli alikuwa kiungo muhimu sana aliyeifufua CCM ambayo ilikuwa imejifia kwenye UFISADI, UDHAIFU na MAUCHAFU ya kila aina. Hata watu waliokuwa wanavaa manguo ya kijani walipigwa mawe.
4. Wakati wa Magufuli, CCM iliimarika na kustawi. Hata vijana wakapata hamasa ya kuishabikia.
5. Hayo yote yalifanyika kwa sababu, kwanza Magufuli alikuwa si mwanasiasa wa maneno maneno. Utendaji wake wa miaka mitano unajidhihirisha.
6. Samia hakuwahi kuwa na mvuto wa Kisiasa wakati wa Magufuli. Alibebwa bebwa tu. Watu wengi hawakumjua wala kumtilia maanani.
7. Samia sio president material. Hana ushawishi wa maneno wala wa vitendo. Hata akisimama jukwaani hana nguvu ya kisiasa.
7) (a) Hawezi kujipambanua kisiasa. Akigombea atafeli kabla hajaanza (isipokuwa tu labda kwa usaidizi wa state apparatus).
b) Hawezi kupambana katika ulingo wa Kisiasa. Ni mchovu.
c) Hana ushawishi kwa wananchi. Ushawishi ni karama ambayo hana. Hana kismati. (labda atumie uchawi na mapete ya kiganga).
d) Ameshawavuruga watu makundi kwa makundi (wamachinga, mamantilie, vijana, TOZO, Bandari ya bagamoyo, Bwawa la Nyerere, mgao wa umeme, maji pamoja na kurudisha mafisadi serikalini). Hili ni doa.
NB: CCM wakitaka waaibike 2025 wamuweke huyu mama. Watapata aibu ya karne.
Haishangazi naye bi.kirembwe kupata wafuasi
naona unaumia sana jamaa kupendwa
Niumie?????hakunisaidia chochote ktk maisha yangu
basi cheza chini mambo mengine waachie wenyewe, uache kuhangaika kama nesi wa zamu
Nadhan toka umalize kozi yako ya unesi unajiona bab kubwa!!!!hogera bbe
I'd like to differ, its the other way round,Samia sio president material. Hana ushawishi wa maneno wala wa vitendo. Hata akisimama jukwaani hana nguvu ya kisiasa.
NB: CCM wakitaka waaibike 2025 wamuweke huyu mama. Watapata aibu ya karne.
Ukweli ni kwamba maadui wa Magufuli waliofurahia kifo chake ni wachache sana na karibuni wote hao ni wanufaika wa ufisadi kwa namna moja au nyingine. Kutaka kuwafurahisha hao hakukuongezei mtaji wa kisiasa. Wanaompenda JPM kwa dhati ni wengi mno na ukiwahuzunisha hao kwa kumkashifi JPM kama wanavyofanya wanasiasa uchwara ni kujichimbia kaburi kwenye ulingo wa siasa za Tz!! Mliokosea hapo jiandaeni kuaibika!! JPM japo hayupo lakini hakuna mwenye ubavu wa kuweza kuvunja misingi aliyoiweka!! Kwa mfano huwezi kuimba wimbo wa "Tanzania ni nchi maskini" halafu utegemee watu watakuitikia!!, Pia huwezi kuimba wimbo wa "kuwatishia watu na corona" halafu utegemee watu watakuitikia!! Huwezi kupambana na kivuli cha Magufuli na ukashinda!! Kama unabisha waulize wanaohamasisha chanjo za corona na uvaaji wa barakoa!!! Magufuli ni mwanasiasà aliyefanikiwa sana!! Huwezi kubomoa alichokijenga, na ukijaribu unajibomoa mweñyewe!!