Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Unakielewa unachotaka kukieleza?Ni lini wanashinda kwa haki hao CCM?Akigombea atashinda kwa sababu state apparatus zitamshindisha. That is obvious.
Lakini hana merits za kisiasa.
Hana kismati cha kisiasa. Hana Karama.
Ni ngumu "kumshindisha" mtu ambaye hajiwezi yeye binafsi.
Analiponya taifa from what?Babo nina Imani na Mama ataliponya taifa,.
Kosa kubwa la Mama ni kukubali watu wamdhihaki Dkt Magufuli kutokana na kifo, yaani anaenda mpaka kupiga picha na Mange kimambi ambaye alikuwa ana ratibu mauaji ya Dkt Magufuli na baada ya kifo alifurahia.Nawasalimu Kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Huu ni uchambuzi mfupi tu wa "facts".
Samia alikuwa makamu wa Rais WA Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dr JPJM. 2015-2020.
Magufuli alikuja kuliokoa jahazi lililokuwa linazama mikononi mwa Kikwete.
Magufuli alikuwa kiungo muhimu sana aliyeifufua CCM ambayo ilikuwa imejifia kwenye ufisadi, udhaifu na mauchafu ya kila aina. Hata watu waliokuwa wanavaa manguo ya kijani walipigwa mawe.
Wakati wa Magufuli, CCM iliimarika na kustawi. Hata vijana wakapata hamasa ya kuishabikia.
Hayo yote yalifanyika kwa sababu, kwanza Magufuli alikuwa si mwanasiasa wa maneno maneno. Utendaji wake wa miaka mitano unajidhihirisha.
Samia hakuwahi kuwa na mvuto wa Kisiasa wakati wa Magufuli. Alibebwa bebwa tu. Hata watu wengi hawakumjua wala kumtilia maanani.
Samia sio president material. Hana ushawishi wa maneno wala wa vitendo. Hata akisimama jukwaani hana nguvu ya kisiasa.
Hawezi kujipambanua kisiasa. Akigombea atafeli kabla hajaanza (isipokuwa tu labda kwa usaidizi wa state apparatus).
Hawezi kupambana katika ulingo wa Kisiasa. Ni mchovu.
Hana ushawishi kwa wananchi. Ushawishi ni karama ambayo hana. Hana kismati. (labda atumie uchawi na mapete ya kiganga).
Ameshawavuruga watu makundi kwa makundi (wamachinga, mamantilie, vijana, TOZO, Bandari ya bagamoyo, Bwawa la Nyerere, mgao wa umeme, maji pamoja na kurudisha mafisadi serikalini). Hili ni doa.
CCM wakitaka waaibike 2025 wamuweke huyu mama. Watapata aibu ya karne.
Chuki ya nini na imesababishwa na nani?Na kwa nini tuanzishiane chuki?Kosa kubwa la Mama ni kukubali watu wamdhihaki Dkt Magufuli kutokana na kifo, yaani anaenda mpaka kupiga picha na Mange kimambi ambaye alikuwa ana ratibu mauaji ya Dkt Magufuli na baada ya kifo alifurahia. Yaani Mama kumsafisha inazidi kuwa ngumu sana. Yaani angejua alipaswa achukue ushauri kwa TISS badala ya kukurupuka kama alivyofanya. Yaani chuki huku mitaani ni kubwa mno.
Samia hana merits.Unakielewa unachotaka kukieleza?Ni lini wanashinda kwa haki hao CCM?
Hajitambui.Kosa kubwa la Mama ni kukubali watu wamdhihaki Dkt Magufuli kutokana na kifo, yaani anaenda mpaka kupiga picha na Mange kimambi ambaye alikuwa ana ratibu mauaji ya Dkt Magufuli na baada ya kifo alifurahia. Yaani Mama kumsafisha inazidi kuwa ngumu sana. Yaani angejua alipaswa achukue ushauri kwa TISS badala ya kukurupuka kama alivyofanya. Yaani chuki huku mitaani ni kubwa mno.
Umeulizwa mara nyingi hapo juu.Kwa nini huyo unayemueleza kwamba aliweza "kuuzika" alibaka chaguzi zote(serikali za mitaa na uchaguzi mkuu)?Huko kuuzika kunaonwaje na watu wengine?Samia hana merits.
Ukitaka kubebwa lazima ubebeke.
Huwezi kubeba gunia la misumari.
Magufuli alikuwa ana "soko" kisiasa.
Ni mtu aliyekuwa anaweza kuuzika. Ni rahisi kumshindisha. Ana merits.
Weka ushahidi.Umeulizwa mara nyingi hapo juu.Kwa nini huyo unayemueleza kwamba aliweza "kuuzika" alibaka chaguzi zote(serikali za mitaa na uchaguzi mkuu)??
Tozo, chanjo, kurudisha serikalini wasaliti wanaojulikana kama waunda genge la mafisadi, kuanza kuhujumu miundombinu ya umeme na maji ili pawe na mgao halafu na kuja kusingizia ukame na wakati huo huo yeye akakubali kudanganywa eti kuna ukame na yeye akautangazia umma eti kuna mgao wa maji na umeme na maji na watendaji wake wakakanusha kwa kusema no mgao maji yapo, kukubali kudanganywa kwa kumtukana waziri wake ni nonsense kwa kitu ambacho ni cha kisheria na si matakwa ya waziri. Yaani Mama tumuombee Mungu airejeshe nchi kwenye misingi ya Dkt Magufuli. Yaani watu wale bata ila pawe na uadilifu na kujali maslahi ya wananchiChuki ya nini na imesababishwa na nani?Na kwa nini tuanzishiane chuki?
Hakuwa anauzika kirahisi.Na ndiyo maana alikuwa mwizi wa kura kwa kuzitumia taasisi za serikali/wasimamizi wa shughuli zote za uchaguzi.Bisha hadi uage dunia,jamaa alikuwa mwizi tu.Weka ushahidi.
Mstari wa pili kutoka mwisho ndiyo umeharibu utetezi wote!Hata hivyo,hayo ma-hovyohovyo yanafanywa na serikali ya CCM na si wengine.Mnahitaji kujitafakari au mbebe makorokoro yenu muondoke?Tozo, chanjo, kurudisha serikalini wasaliti wanaojulikana kama waunda genge la mafisadi, kuanza kuhujumu miundombinu ya umeme na maji ili pawe na mgao halafu na kuja kusingizia ukame na wakati huo huo yeye akakubali kudanganywa eti kuna ukame na yeye akautangazia umma eti kuna mgao wa maji na umeme na maji na watendaji wake wakakanusha kwa kusema no mgao maji yapo, kukubali kudanganywa kwa kumtukana waziri wake ni nonsense kwa kitu ambacho ni cha kisheria na si matakwa ya waziri. Yaani Mama tumuombee Mungu airejeshe nchi kwenye misingi ya Dkt Magufuli. Yaani watu wale bata ila pawe na uadilifu na kujali maslahi ya wananchi
Tunaenda na Samia no way out sukuma gang mtarudi madarakani.Nawasalimu Kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Huu ni uchambuzi mfupi tu wa "facts".
Samia alikuwa makamu wa Rais WA Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dr JPJM. 2015-2020.
Magufuli alikuja kuliokoa jahazi lililokuwa linazama mikononi mwa Kikwete.
Magufuli alikuwa kiungo muhimu sana aliyeifufua CCM ambayo ilikuwa imejifia kwenye ufisadi, udhaifu na mauchafu ya kila aina. Hata watu waliokuwa wanavaa manguo ya kijani walipigwa mawe.
Wakati wa Magufuli, CCM iliimarika na kustawi. Hata vijana wakapata hamasa ya kuishabikia.
Hayo yote yalifanyika kwa sababu, kwanza Magufuli alikuwa si mwanasiasa wa maneno maneno. Utendaji wake wa miaka mitano unajidhihirisha.
Samia hakuwahi kuwa na mvuto wa Kisiasa wakati wa Magufuli. Alibebwa bebwa tu. Hata watu wengi hawakumjua wala kumtilia maanani.
Samia sio president material. Hana ushawishi wa maneno wala wa vitendo. Hata akisimama jukwaani hana nguvu ya kisiasa.
Hawezi kujipambanua kisiasa. Akigombea atafeli kabla hajaanza (isipokuwa tu labda kwa usaidizi wa state apparatus).
Hawezi kupambana katika ulingo wa Kisiasa. Ni mchovu.
Hana ushawishi kwa wananchi. Ushawishi ni karama ambayo hana. Hana kismati. (labda atumie uchawi na mapete ya kiganga).
Ameshawavuruga watu makundi kwa makundi (wamachinga, mamantilie, vijana, TOZO, Bandari ya bagamoyo, Bwawa la Nyerere, mgao wa umeme, maji pamoja na kurudisha mafisadi serikalini). Hili ni doa.
CCM wakitaka waaibike 2025 wamuweke huyu mama. Watapata aibu ya karne.
Katiba irekebishwe pawepo na vipengele vinavyotizama haya mambo kwa upana wake.Umenena kweli tupu,
Utaratibu wa aina ya kiongozi kama huyu ufutwe mara moja.....................
Wanaomshabikia na kumsifu kila kukicha ni kwa sababu ya matumbo yao; wakati walio kimya wana hasira zisizoelezeka
Hahahaaaa unajidanganya dogo.Tunaenda na Samia no way out sukuma gang mtarudi madarakani.
Kama hayo ulivyosema ndio tatizo kuna miaka 4 mbele mkuu na ana washauri na Serikali na chama.
Mwisho huko Upinzani unadhani takataka gani watu wanaweza ichagua?
Weka ushahidi.Hakuwa anauzika kirahisi.Na ndiyo maana alikuwa mwizi wa kura kwa kuzitumia taasisi za serikali/wasimamizi wa shughuli zote za uchaguzi.Bisha hadi uage dunia,jamaa alikuwa mwizi tu.
Sijifariji mda ni mwalimu mzuriHahahaaaa unajidanganya dogo.
Sawa, muda utasema
Nakuona chizi umetia guu...Naona Magufulist mmefufuka
Eti CCM ilikua kipindi cha Magufuli,are you eating your own shit?