Tachu hano
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 1,506
- 2,518
Hawana focus hawajui wanasimamia Nini , sera zao ni zipi ?? kiasi ukimchukua mwanachama wa kawaida level ya diwani umuulize wewe Sera za chama CHaKE hajui , wanachojua ni kelele tu na kusubir matukio watembee nayo .Wapinzani wa nchi hii ni wahuni tu, hawajui wanachokitaka.
Facts za upuuzi wako wewe sukuma gang?Unajidanganya dogo!
Facts hazidanganyi hata ukimtetea huyo bibi.
Acha matusi dogo. Jenga hoja.Facts za upuuzi wako wewe sukuma gang?
Alikua na soko kwa lipi?Samia hana merits.
Ukitaka kubebwa lazima ubebeke.
Huwezi kubeba gunia la misumari.
Magufuli alikuwa ana "soko" kisiasa.
Ni mtu aliyekuwa anaweza kuuzika. Ni rahisi kumshindisha. Ana merits.
Kwa akili yako ulitarajia kabisa Lissu ashinde? Hata kwa kutumia tume huru?
Kwa lipi?
Kama unafikiria hivyo basi sawa.Nakuona msoga gang unajipenyeza kiaina.
Una hakika hawajui au umekariri?.Nchi haina usawa wakisiasa alafu ilo wewe ulioni kua ndo tatizo la wapinzani wengi kukaa kimya na mawazo yao.kungekua na demokrasia inayoeleweka tungeweza kua na hukumu sahihi tofauti na hii yako yakimagumashi iliyolemea upande mmoja.Hawana focus hawajui wanasimamia Nini , sera zao ni zipi ?? kiasi ukimchukua mwanachama wa kawaida level ya diwani umuulize wewe Sera za chama CHaKE hajui , wanachojua ni kelele tu na kusubir matukio watembee nayo .
CCM ndio ambao hawajielewi kuliko hata UpinzaniIla kiukweli Samia hakubaliki Kwa watanzania wengi hasa tabaka la chini ! Fanya research ndogo tu mtaani kwako uone wananchi wa kawaida mtazamao kuhusu huyu rais utaona ! Achana na mashabiki wa mtandaoni wengi ni mihemko tu .
....tungekuwa na upinzani imara na unaojielewa angepata shida sana hiyo 2025 kama atagombea lakini Kwa wapinzani Hawa akina lema, sugu , lisu,mbowe, msigwa etl , CCM hata wamsimamishe nabii TITO anashinda tena kihalali kabisa.
Unajua ushawishi wa mange huko Instagram wakati na baada ya utawala wa jpm au watu gan unaowazumgumzia wwKosa kubwa la Mama ni kukubali watu wamdhihaki Dkt Magufuli kutokana na kifo, yaani anaenda mpaka kupiga picha na Mange kimambi ambaye alikuwa ana ratibu mauaji ya Dkt Magufuli na baada ya kifo alifurahia. Yaani Mama kumsafisha inazidi kuwa ngumu sana. Yaani angejua alipaswa achukue ushauri kwa TISS badala ya kukurupuka kama alivyofanya. Yaani chuki huku mitaani ni kubwa mno.
Kama viongozi wa juu kama Waziri anaweza kuwapongeza majambazi kama akina Sabaya, CCM ina watu wa chini wanaojielewa?Hawana focus hawajui wanasimamia Nini , sera zao ni zipi ?? kiasi ukimchukua mwanachama wa kawaida level ya diwani umuulize wewe Sera za chama CHaKE hajui , wanachojua ni kelele tu na kusubir matukio watembee nayo .
Yule kichaa halifaa?Nitaendelea kusema kweli, SAMIA HAJAWAHI NAHATOKAA KUWAHI KUFAA KUA RAIS.
Hivi unaposema ccm iliimarika wakati ea jpm una maanidha nini? Yaani asingefanya wizi wa kura mbona ndo awamu ambayo ingebomoa ccm! Na still awamu yake ya pili asingefanya wizi ndo ilikuwa imeisha kabisa ccmNawasalimu Kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Huu ni uchambuzi mfupi tu wa "facts".
1. Samia alikuwa makamu wa Rais WA Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dr JPJM. 2015-2020.
2. Magufuli alikuja kuliokoa jahazi lililokuwa linazama mikononi mwa Kikwete.
3. Magufuli alikuwa kiungo muhimu sana aliyeifufua CCM ambayo ilikuwa imejifia kwenye UFISADI, UDHAIFU na MAUCHAFU ya kila aina. Hata watu waliokuwa wanavaa manguo ya kijani walipigwa mawe.
4. Wakati wa Magufuli, CCM iliimarika na kustawi. Hata vijana wakapata hamasa ya kuishabikia.
5. Hayo yote yalifanyika kwa sababu, kwanza Magufuli alikuwa si mwanasiasa wa maneno maneno. Utendaji wake wa miaka mitano unajidhihirisha.
6. Samia hakuwahi kuwa na mvuto wa Kisiasa wakati wa Magufuli. Alibebwa bebwa tu. Hata watu wengi hawakumjua wala kumtilia maanani.
7. Samia sio president material. Hana ushawishi wa maneno wala wa vitendo. Hata akisimama jukwaani hana nguvu ya kisiasa.
7) (a) Hawezi kujipambanua kisiasa. Akigombea atafeli kabla hajaanza (isipokuwa tu labda kwa usaidizi wa state apparatus).
b) Hawezi kupambana katika ulingo wa Kisiasa. Ni mchovu.
c) Hana ushawishi kwa wananchi. Ushawishi ni karama ambayo hana. Hana kismati. (labda atumie uchawi na mapete ya kiganga).
d) Ameshawavuruga watu makundi kwa makundi (wamachinga, mamantilie, vijana, TOZO, Bandari ya bagamoyo, Bwawa la Nyerere, mgao wa umeme, maji pamoja na kurudisha mafisadi serikalini). Hili ni doa.
NB: CCM wakitaka waaibike 2025 wamuweke huyu mama. Watapata aibu ya karne.
Mange hafai, Dkt Magufuli was the best and Mange ni msaliti akirudi ataipata freshiUnajua ushawishi wa mange huko Instagram wakati na baada ya utawala wa jpm au watu gan unaowazumgumzia ww
Ngoja aje. Lissu siku hizi ni dalali kwenye Bunge la ulayaJibu swali langu kwanza