Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025

Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025

Nawasalimu Kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Huu ni uchambuzi mfupi tu wa "facts".

1. Samia alikuwa makamu wa Rais WA Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dr JPJM. 2015-2020.
Kaka Lorenzo uchaguzi sio kura ,uchaguzi ni matangazo atakaye tangaziwa ndie mshindi kama huna kazi katafute kazi ufanye huu upupu wako hapa hakuna utakaomsumbua .Mama SSH ndie raisi bora kupatikana Tanganyika/Tz na mutakuja mkumbukaa.
 
Nawasalimu Kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Huu ni uchambuzi mfupi tu wa "facts".

1. Samia alikuwa makamu wa Rais WA Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dr JPJM. 2015-2020.

2. Magufuli alikuja kuliokoa jahazi lililokuwa linazama mikononi mwa Kikwete.

3. Magufuli alikuwa kiungo muhimu sana aliyeifufua CCM ambayo ilikuwa imejifia kwenye UFISADI, UDHAIFU na MAUCHAFU ya kila aina. Hata watu waliokuwa wanavaa manguo ya kijani walipigwa mawe.

4. Wakati wa Magufuli, CCM iliimarika na kustawi. Hata vijana wakapata hamasa ya kuishabikia.

5. Hayo yote yalifanyika kwa sababu, kwanza Magufuli alikuwa si mwanasiasa wa maneno maneno. Utendaji wake wa miaka mitano unajidhihirisha.

6. Samia hakuwahi kuwa na mvuto wa Kisiasa wakati wa Magufuli. Alibebwa bebwa tu. Watu wengi hawakumjua wala kumtilia maanani.

7. Samia sio president material. Hana ushawishi wa maneno wala wa vitendo. Hata akisimama jukwaani hana nguvu ya kisiasa.

7) (a) Hawezi kujipambanua kisiasa. Akigombea atafeli kabla hajaanza (isipokuwa tu labda kwa usaidizi wa state apparatus).

b) Hawezi kupambana katika ulingo wa Kisiasa. Ni mchovu.

c) Hana ushawishi kwa wananchi. Ushawishi ni karama ambayo hana. Hana kismati. (labda atumie uchawi na mapete ya kiganga).

d) Ameshawavuruga watu makundi kwa makundi (wamachinga, mamantilie, vijana, TOZO, Bandari ya bagamoyo, Bwawa la Nyerere, mgao wa umeme, maji pamoja na kurudisha mafisadi serikalini). Hili ni doa.

NB: CCM wakitaka waaibike 2025 wamuweke huyu mama. Watapata aibu ya karne.
Kwani wanahitaji Kura kupata ushindi?!!!
 
Ukiwa Rais huitaji kumshawishi yeyote! Atagombea na atashinda, jukumu la kuakikisha ushindi ni la chama, kama kwa kuhesabu kura, au kutangaza tu ameshinda, acha utani hamna mgombea alikuwa hana mvuto kama JPM, Kiswahili kibovu, kiingereza shida, matamshi kupandana zaidi staha zero, mbona mnasema alishinda kwa kishindo, JPM uchaguzi wa kwanza alishinda kwa haki na alibebwa zaidi na JK, ila huu wa pili anajua bashiru Na polepole, yaani ni uhuni, nashangaa kuwaita eti wenzake wahuni!
 
Nawasalimu Kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Huu ni uchambuzi mfupi tu wa "facts".

1. Samia alikuwa makamu wa Rais WA Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dr JPJM. 2015-2020.

2. Magufuli alikuja kuliokoa jahazi lililokuwa linazama mikononi mwa Kikwete.

3. Magufuli alikuwa kiungo muhimu sana aliyeifufua CCM ambayo ilikuwa imejifia kwenye UFISADI, UDHAIFU na MAUCHAFU ya kila aina. Hata watu waliokuwa wanavaa manguo ya kijani walipigwa mawe.

4. Wakati wa Magufuli, CCM iliimarika na kustawi. Hata vijana wakapata hamasa ya kuishabikia.

5. Hayo yote yalifanyika kwa sababu, kwanza Magufuli alikuwa si mwanasiasa wa maneno maneno. Utendaji wake wa miaka mitano unajidhihirisha.

6. Samia hakuwahi kuwa na mvuto wa Kisiasa wakati wa Magufuli. Alibebwa bebwa tu. Watu wengi hawakumjua wala kumtilia maanani.

7. Samia sio president material. Hana ushawishi wa maneno wala wa vitendo. Hata akisimama jukwaani hana nguvu ya kisiasa.

7) (a) Hawezi kujipambanua kisiasa. Akigombea atafeli kabla hajaanza (isipokuwa tu labda kwa usaidizi wa state apparatus).

b) Hawezi kupambana katika ulingo wa Kisiasa. Ni mchovu.

c) Hana ushawishi kwa wananchi. Ushawishi ni karama ambayo hana. Hana kismati. (labda atumie uchawi na mapete ya kiganga).

d) Ameshawavuruga watu makundi kwa makundi (wamachinga, mamantilie, vijana, TOZO, Bandari ya bagamoyo, Bwawa la Nyerere, mgao wa umeme, maji pamoja na kurudisha mafisadi serikalini). Hili ni doa.

NB: CCM wakitaka waaibike 2025 wamuweke huyu mama. Watapata aibu ya karne.
Uchaguzi Tanzania huamliwa na polisi na tume ya uchaguzi, kura yako siyo haki yako.
 
Nawasalimu Kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Huu ni uchambuzi mfupi tu wa "facts".

1. Samia alikuwa makamu wa Rais WA Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dr JPJM. 2015-2020.

2. Magufuli alikuja kuliokoa jahazi lililokuwa linazama mikononi mwa Kikwete.

3. Magufuli alikuwa kiungo muhimu sana aliyeifufua CCM ambayo ilikuwa imejifia kwenye UFISADI, UDHAIFU na MAUCHAFU ya kila aina. Hata watu waliokuwa wanavaa manguo ya kijani walipigwa mawe.

4. Wakati wa Magufuli, CCM iliimarika na kustawi. Hata vijana wakapata hamasa ya kuishabikia.

5. Hayo yote yalifanyika kwa sababu, kwanza Magufuli alikuwa si mwanasiasa wa maneno maneno. Utendaji wake wa miaka mitano unajidhihirisha.

6. Samia hakuwahi kuwa na mvuto wa Kisiasa wakati wa Magufuli. Alibebwa bebwa tu. Watu wengi hawakumjua wala kumtilia maanani.

7. Samia sio president material. Hana ushawishi wa maneno wala wa vitendo. Hata akisimama jukwaani hana nguvu ya kisiasa.

7) (a) Hawezi kujipambanua kisiasa. Akigombea atafeli kabla hajaanza (isipokuwa tu labda kwa usaidizi wa state apparatus).

b) Hawezi kupambana katika ulingo wa Kisiasa. Ni mchovu.

c) Hana ushawishi kwa wananchi. Ushawishi ni karama ambayo hana. Hana kismati. (labda atumie uchawi na mapete ya kiganga).

d) Ameshawavuruga watu makundi kwa makundi (wamachinga, mamantilie, vijana, TOZO, Bandari ya bagamoyo, Bwawa la Nyerere, mgao wa umeme, maji pamoja na kurudisha mafisadi serikalini). Hili ni doa.

NB: CCM wakitaka waaibike 2025 wamuweke huyu mama. Watapata aibu ya karne.

7138A7C2-2FA3-4B3B-AC4A-4DABA0B994E5.jpeg
 
Mwenyezi Mungu anachukizwa sana na dhuluma ikiwepo dhuluma za uchaguzi .

Maandiko Matakatifu yanaonesha hivyo.

Kila atakayefanya dhuluma ili kushinda uchaguzi kwa hila, ghiriba, rushwa, mtutu n.k.
Mungu atamshughulikia ipasavyo.

Kwanza mtu wa hivyo hatakubalika, na ataongoza kwa tabu sana!
 
Nawasalimu Kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Huu ni uchambuzi mfupi tu wa "facts".

1. Samia alikuwa makamu wa Rais WA Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dr JPJM. 2015-2020.

2. Magufuli alikuja kuliokoa jahazi lililokuwa linazama mikononi mwa Kikwete.

3. Magufuli alikuwa kiungo muhimu sana aliyeifufua CCM ambayo ilikuwa imejifia kwenye UFISADI, UDHAIFU na MAUCHAFU ya kila aina. Hata watu waliokuwa wanavaa manguo ya kijani walipigwa mawe.

4. Wakati wa Magufuli, CCM iliimarika na kustawi. Hata vijana wakapata hamasa ya kuishabikia.

5. Hayo yote yalifanyika kwa sababu, kwanza Magufuli alikuwa si mwanasiasa wa maneno maneno. Utendaji wake wa miaka mitano unajidhihirisha.

6. Samia hakuwahi kuwa na mvuto wa Kisiasa wakati wa Magufuli. Alibebwa bebwa tu. Watu wengi hawakumjua wala kumtilia maanani.

7. Samia sio president material. Hana ushawishi wa maneno wala wa vitendo. Hata akisimama jukwaani hana nguvu ya kisiasa.

7) (a) Hawezi kujipambanua kisiasa. Akigombea atafeli kabla hajaanza (isipokuwa tu labda kwa usaidizi wa state apparatus).

b) Hawezi kupambana katika ulingo wa Kisiasa. Ni mchovu.

c) Hana ushawishi kwa wananchi. Ushawishi ni karama ambayo hana. Hana kismati. (labda atumie uchawi na mapete ya kiganga).

d) Ameshawavuruga watu makundi kwa makundi (wamachinga, mamantilie, vijana, TOZO, Bandari ya bagamoyo, Bwawa la Nyerere, mgao wa umeme, maji pamoja na kurudisha mafisadi serikalini). Hili ni doa.

NB: CCM wakitaka waaibike 2025 wamuweke huyu mama. Watapata aibu ya karne.
Sasa tuambie kijiti ukabidhiwe wewe au slowslow🤔.
 
Ukiwa Rais huitaji kumshawishi yeyote! Atagombea na atashinda, jukumu la kuakikisha ushindi ni la chama, kama kwa kuhesabu kura, au kutangaza tu ameshinda, acha utani hamna mgombea alikuwa hana mvuto kama JPM, Kiswahili kibovu, kiingereza shida, matamshi kupandana zaidi staha zero, mbona mnasema alishinda kwa kishindo, JPM uchaguzi wa kwanza alishinda kwa haki na alibebwa zaidi na JK, ila huu wa pili anajua bashiru Na polepole, yaani ni uhuni, nashangaa kuwaita eti wenzake wahuni!
😂😂😂we jamaa bn ko unasema lissu alishind! Em tutajie sehemu ambayo walmkataa magufur moja t maana mbeya alishinda arusha alishinda moshi alishinda
 
Unaweza kuweka ushahidi aliibaje kura Magufuli kama hizi habari ni za kweli au mnaficha aibu ya kushindwa uchaguzi
 
Kama ni chuki ni kwa sababu ya kumuweka Mbowe jela kwa kesi feki, na si kwa sababu ya huyo mungu wenu wa Chato, wengi hatumpendi na tunaendelea kufunguwa champagne kusherehekea kifo chake, na Mungu amuongezee adhabu ya kaburi.
Nawe utakufa tu siku moja
 
Sukuma Gaaaaaang on the move!
Kudadadeq zenu mmekatwa mikia na mungumtu wenu Jiwe kadedi no more!
Mmebaki kulia Lia kama vitoto vya Mbwa Koko hapa,
Mnaleta fyoko fyoko Kwa Chief wa machifu
Chief Hangaya,Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya Tanzania,mama la mama
Mama wa ukweli,hahahahahahaha
Mama huyooo anaelea juu juu na Bado shenzy zenu MATAGA,
Tulikua tunaimba humu CCM jengeni taasisi imara Kwa kutengeneza katiba Bora itakayotufaa Kwa maslahi ya wote nyie mkaangalia matumbo yenu na njaa zenu bila kutujali
Mlivyo majuha mkamtuma Bashite wa kolomije amzabue vibao Mzee Warioba baba wa watu yule Hana Makuu amekuja na rasimu ya katiba Bora masikini mkaitupilia Mbali Kwa tamaa za kufaidi keki la Taifa Leo
Mnalia Lia nini kenge nyie,
Na Bado Madame tunaye mpaka 2030 atake asitake tutamuongezea na mi 5 ya ziada hamtaki kunyweni sumu mjinyonge
shwain!
 
Unaweza kuweka ushahidi aliibaje kura Magufuli kama hizi habari ni za kweli au mnaficha aibu ya kushindwa uchaguzi


Je unakumbuka matamko alokuwa akiwaambia wakurugenzi wa Halmashauri kama wasimamizi wa uchaguzi ?

Je unafahamu maana ya ushahidi wa kimazingira ?
 
Yule alieruhusu kufanya biashara hata sehemu hatarishi alikuwa mjinga na mshamba pia kwa kutaka cfa za kijinga
umeona kilichomtokea mbagala? imebidi chopa tatu zije kurescue: unapokua kiongozi unakua upande wa wapiga kura wako mda wote pamoja na kuwatetea, Wananchi wa ndan na nje ya nchi ambao ni raia wa tanzania wanatakiwa kupata faraja kupitia wewe kama raisi, inawezekana vp leo unafukuza watu walio na hali duni ya kiuchumi ili kupata sehem za kupigia picha kuvutuia wazungu ambao hata nchi sio yao
 
Back
Top Bottom