NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Pamoja na mapori yake inatakiwa ikatwe kuliko kulazimishia Chato eti iwe mkoa!Tabora ebeo kubwa ni mapori tu
Wewe ni Raisi anayejaa kwenye nini?Kuna fedha nyingi ziliwekezwa CHATO !!Waipe CHATO mkoa ili kufidia uwekezaji uliofanyika!hata kama Mwendazake ana mapungufu nae ni Binadamu Mkoa utawafaidisha wana CHATO na wilaya Mpya TUACHE CHUKI NA HASIRA!MBONA KARIBIA MA PM WOTE WASTAAFU WANA MIKOA?HATA MAJALIWA ATAPEWA MKOA TU!!KWA HILI NASIMAMA NA NDUGU ZANGU WANYAMBO NA THE LIKE!!!
Mimi ninachofurahi ni wilaya za biharamulo na ngara kutolewa kagera zilikuwa mbali mno na bukoba just imagine kutoka bukoba Hadi ngara ni km 400 na kutoka bukoba Hadi biharamulo almost 300km ndani ya mkoa wa kagera.Wewe u muongo umeandika maoni binafsi ya watu. Walikuwa wanatoa maoni hayo kwa kuwa watu wa Geita waliona kuwa Wilaya ya Busanda yenye madini ingeenda mkoa mpya wa Chato.
Makubaliano ya mwisho ni kuwa Wilaya ya Busanda inabaki mkoa wa Geita na kisiwa cha Rubondo kinabaki Chato
Mkoa wa Geita utakuwa na wilaya nne ambazo ni Geita, Nyang'wale, Mbogwe na Busanda
Mkoa wa Chato utakuwa na wilaya tano ambazo ni Chato, Bukombe, Kakonko, Biharamulo na Ngara
Muuwaji mwingine huyo..
Nani kakasirika, mkoa bado upo pale pale.Mbona
Makasiriko
Shetani huwa anakula matobo ya waoga waoga kama wewe.Nayeye anapigwa mabao na shetani huko kuzimu, kila siku shetani anampumulia kisogoni...ana mimba tayari ya ibilisi alipachikwa mwezi March
Busanda ipo ndani ya Geita maana hilo ni jimbo ndani ya wilaya ya GeitaNa Busanda umeisahau ?
Mwendazake alikuwa hayawaniMarehemu alikuwaga mjinga kwelikweli, yaani uende ukakate mkoa uliokatwa kutoka wilaya zingine uache mikoa kama Tabora na Morogoro yenye maeneo makubwa! Uendawazinu huu!
Kwa mimba aliyokuachiaHuyo jamaa hata nikisikia au kusoma jina lake, nasikia kichefuchefu
Itachukua muda wa miezi 9,miezi 6 kuanzia sasa mjifungue mimba alizowaachia. Na tunawadunga nyingine.Mwendazake alikuwa hayawani
Kama kigezo ni wakazi tu niambie Dar es Salaam inapaswa kuwa na mikoa mingapi?Chunya ina jumla ya wakazi wangapi ?
Hebu kwendraaaa huko....😁Hii nchi imechezewa sana, au nasema uongo mzinzi mwenzangu?
Geita ina density of population kuliko Tabora na nguvu ya kiuchumi. Kwa kuigawa ni sahihi kabisaPamoja na mapori yake inatakiwa ikatwe kuliko kulazimishia Chato eti iwe mkoa!
Uko sahihi ndugu yanguMimi ninachofurahi ni wilaya za biharamulo na ngara kutolewa kagera zilikuwa mbali mno na bukoba just imagine kutoka bukoba Hadi ngara ni km 400 na kutoka bukoba Hadi biharamulo almost 300km ndani ya mkoa wa kagera.
Pia hizo wilaya mbili zipo tofauti Sana na wilaya za mkoa wa kagera hasa kimaendeleo.
Hebu zitengenezewe mkoa wake ili ziangaliwe vzr zaid
Tayari Makao Makuu yameshaanza kujengwa pale Katoro. Muda wowote inatangazwa kuwa WilayaBusanda ipo ndani ya Geita maana hilo ni jimbo ndani ya wilaya ya Geita
Bado anatafutiwa sababu za kufunguliwa jalada takukuru!Muuwaji mwingine huyo..