Geita ni Mkoa wenye dhahabu nyingi nchi nzima na hii ndio Standi yao ya Mkoa ya Mabasi

Geita ni Mkoa wenye dhahabu nyingi nchi nzima na hii ndio Standi yao ya Mkoa ya Mabasi

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Imagine hi ndio stendi ya makao makuu ya mkoa Geita? Mkoa uliojaa dhahabu kila kona. Mkoa wenyewe haujulikana kama mkoa au Wilaya.

Pamoja na kuwa na dhahabu nyingi lakini bado sana, barabara ni moja tu ya Sengerema kwenda Katoro.

Geita kuna laana

Pia inadaiwa GGM walitaka kujenga uwanja wa mpira pale shule ya msingi Kalangalala lakini Halmashauri wakakataa wakataka GGM ikabidhi fedha Halmashauri then Halmashauri ndio ijenge huo wanja, GGM wakagoma mpaka leo uwanja umetelekezwa. Na hakuna anayejali.

1670083874977.png

1670084066139.png
 
Hapo huwezi kujenga standa kwa chini ni Mahandaki matupu ya machimbo ndio maana kile kifusi kinarudishwa ili kurejelesha ubora na mfumo wa ardhi na watalaamu Kisha standa ijengwe, GGM watajenga stand ya kishua Sana ni suala la muda subiri warudishe kifusi

USSR
 
Geita nzima ghorofa la maana ni la Otonde, Geita haina hadhi ya kuwa makao makuu ya mkoa, inazidiwa hata na lindi na Singida, mji hauleweki batrabara za mitaa hazina lami kasoro moja tu inayopita jimbo kuu
 
Mbunge wa Geita Msukuma na genge.lake ls madiwani na halmashauri pesa za marahaba huwa wanazitafuna

Miaka yote migodi inatoa mabilioni ya pesa mirahaba Geita inaishia kwenye matumbo ya mbunge Msukuma na madiwani waliopo sasa na vibaka wa halmashauri

Raisu Samia hakikisha hakuna mbunge aliyeko sasa au diwani aliyepo sasa wa kurudi kwenye uongozi 2025 Kateni majina juu kwa juu wekeni wapya
 
Imagine hi ndio stendi ya makao makuu ya mkoa Geita? Mkoa uliojaa dhahabu kila kona. Mkoa wenyewe haujulikana kama mkoa au Wilaya. Pamoja na kuwa na dhahabu nyingi lakini bado sana, barabara ni moja tu ya Sengerema kwenda Katoro.

Geita kuna laana

Pia inadaiwa GGM walitaka kujenga uwanja wa mpira pale shule ya msingi Kalangalala lakini Halmashauri wakakataa wakataka GGM ikabidhi fedha Halmashauri then Halmashauri ndio ijenge huo wanja, GGM wakagoma mpaka leo uwanja umetelekezwa. Na hakuna anayejali
View attachment 2434700
View attachment 2434708
Yaan hawa chadema!! Kweli CDM mmeamua kutufikisha hapa kweli? Ipo cku tu nyie ngojeni.
 
Imagine hi ndio stendi ya makao makuu ya mkoa Geita? Mkoa uliojaa dhahabu kila kona. Mkoa wenyewe haujulikana kama mkoa au Wilaya. Pamoja na kuwa na dhahabu nyingi lakini bado sana, barabara ni moja tu ya Sengerema kwenda Katoro.

Geita kuna laana

Pia inadaiwa GGM walitaka kujenga uwanja wa mpira pale shule ya msingi Kalangalala lakini Halmashauri wakakataa wakataka GGM ikabidhi fedha Halmashauri then Halmashauri ndio ijenge huo wanja, GGM wakagoma mpaka leo uwanja umetelekezwa. Na hakuna anayejali
View attachment 2434700
View attachment 2434708
halafu unamkuta msukuma anahadaa wapumbavu kwenye vyombo vya habar kuwa anafanya kazi.
 
Geita nzima ghorofa la maana ni la Otonde,geita haina hadhi ya kuwa makao makuu ya mkoa,inazidiwa hata na lindi na singida,mji hauleweki batrabara za mitaa hazina lami kasoro moja tu inayopita jimbo kuu
Hahahahaaaa
 
Imagine hi ndio stendi ya makao makuu ya mkoa Geita? Mkoa uliojaa dhahabu kila kona. Mkoa wenyewe haujulikana kama mkoa au Wilaya. Pamoja na kuwa na dhahabu nyingi lakini bado sana, barabara ni moja tu ya Sengerema kwenda Katoro.

Geita kuna laana

Pia inadaiwa GGM walitaka kujenga uwanja wa mpira pale shule ya msingi Kalangalala lakini Halmashauri wakakataa wakataka GGM ikabidhi fedha Halmashauri then Halmashauri ndio ijenge huo wanja, GGM wakagoma mpaka leo uwanja umetelekezwa. Na hakuna anayejali
View attachment 2434700
View attachment 2434708
Geita ni Wilaya tu acha wateseke
 
Tatizo sio kuwa na dhahabu nk Bali sheria ya rasilimali inasema Ni Mali ya Nchi au Wananchi wote so mapato hayakusanywi na Watu wa Geita Bali TRA na hivyo mgao hufuata Nani Ni chawa zaidi ya mwenzake..

Ndio maana Kama Mkoa wenu hauna wakubwa Serikalini lazima iwakate.

Mwisho stand hiyo itajengwa chini ya Mradi wa Tactic Ila nashangaa mbona Miji mingi Ina stand nzuri Ila hiyo ya dhahabu Ni hamna kitu.
 
Back
Top Bottom