Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,160
- 9,151
Mashavu ya watu yanakuwa dodo halafu uulizie wanapata mapato kiasi gani?Mapato ya halmashauri ni kiasi gani kwa mwaka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashavu ya watu yanakuwa dodo halafu uulizie wanapata mapato kiasi gani?Mapato ya halmashauri ni kiasi gani kwa mwaka?
Viongozi wa geita, kahama ni wapigaji wazuri sana,, kote huko miundo mbinu ni very poor,, mfano kahama, sasa inaanza kuzidiwa na igunga kwa miundo mbinu,,Imagine hi ndio stendi ya makao makuu ya mkoa Geita? Mkoa uliojaa dhahabu kila kona. Mkoa wenyewe haujulikana kama mkoa au Wilaya. Pamoja na kuwa na dhahabu nyingi lakini bado sana, barabara ni moja tu ya Sengerema kwenda Katoro.
Geita kuna laana
Pia inadaiwa GGM walitaka kujenga uwanja wa mpira pale shule ya msingi Kalangalala lakini Halmashauri wakakataa wakataka GGM ikabidhi fedha Halmashauri then Halmashauri ndio ijenge huo wanja, GGM wakagoma mpaka leo uwanja umetelekezwa. Na hakuna anayejali
View attachment 2434700
View attachment 2434708
Kwa hiyo tunakubaliana kuwa sisiemu ni wezi na hawafai kuongoza nchi?Dr Samia kapendeza Hadi raha na hapa asisingiziwe dhahabu haijaanza kuchimbwa awamu ya 6..
Hata Kahama Kuna migodi mpaka dhabu umeisha Ila Hakuna hata stand [emoji12][emoji12]
Kwa nnKwa hiyo tunakubaliana kuwa sisiemu ni wezi na hawafai kuongoza nchi?
Haya ya kawaida kwa Tanzania..!! Stendi ya Mtwara inakotoka gesi asilia unaijua ilivyo..?? Nkanaledi si unaijua?Imagine hi ndio stendi ya makao makuu ya mkoa Geita? Mkoa uliojaa dhahabu kila kona. Mkoa wenyewe haujulikana kama mkoa au Wilaya. Pamoja na kuwa na dhahabu nyingi lakini bado sana, barabara ni moja tu ya Sengerema kwenda Katoro.
Geita kuna laana
Pia inadaiwa GGM walitaka kujenga uwanja wa mpira pale shule ya msingi Kalangalala lakini Halmashauri wakakataa wakataka GGM ikabidhi fedha Halmashauri then Halmashauri ndio ijenge huo wanja, GGM wakagoma mpaka leo uwanja umetelekezwa. Na hakuna anayejali
View attachment 2434700
View attachment 2434708
Nani kawaroga nyie?.Hapo huwezi kujenga standa kwa chini ni Mahandaki matupu ya machimbo ndio maana kile kifusi kinarudishwa ili kurejelesha ubora na mfumo wa ardh na watalaamu Kisha standa ijengwe ,GGM watajenga stand ya kishua Sana ni suala la muda subiri warudishe kifusi
USSR
Ndio maana Trigray wanapambana HUKO ETHIOPIA kujitenga ili wajitegemee. KANDA YA ZIWA YOTE INA MADINI KILA SEHEMU.Imagine hi ndio stendi ya makao makuu ya mkoa Geita? Mkoa uliojaa dhahabu kila kona. Mkoa wenyewe haujulikana kama mkoa au Wilaya. Pamoja na kuwa na dhahabu nyingi lakini bado sana, barabara ni moja tu ya Sengerema kwenda Katoro.
Geita kuna laana
Pia inadaiwa GGM walitaka kujenga uwanja wa mpira pale shule ya msingi Kalangalala lakini Halmashauri wakakataa wakataka GGM ikabidhi fedha Halmashauri then Halmashauri ndio ijenge huo wanja, GGM wakagoma mpaka leo uwanja umetelekezwa. Na hakuna anayejali
View attachment 2434700
View attachment 2434708
Mama la Mama
Bora mjitenge tuu, hatutaki mnatuharibia mazingira na ming'ombe yenu.Ndio maana Trigray wanapambana HUKO ETHIOPIA kujitenga ili wajitegemee. KANDA YA ZIWA YOTE INA MADINI KILA SEHEMU.
Huo uwanja wa Mpira ungeleta Maendeleo gani hapo Geita? Hakuna vitu vya msingi ya kufanya na hao.GGM hadi wanajenga uwanja?Imagine hi ndio stendi ya makao makuu ya mkoa Geita? Mkoa uliojaa dhahabu kila kona. Mkoa wenyewe haujulikana kama mkoa au Wilaya. Pamoja na kuwa na dhahabu nyingi lakini bado sana, barabara ni moja tu ya Sengerema kwenda Katoro.
Geita kuna laana
Pia inadaiwa GGM walitaka kujenga uwanja wa mpira pale shule ya msingi Kalangalala lakini Halmashauri wakakataa wakataka GGM ikabidhi fedha Halmashauri then Halmashauri ndio ijenge huo wanja, GGM wakagoma mpaka leo uwanja umetelekezwa. Na hakuna anayejali
View attachment 2434700
View attachment 2434708
GGM ndio wanakusanya kodi? Whay wasoulizwe CCM?Hapo huwezi kujenga standa kwa chini ni Mahandaki matupu ya machimbo ndio maana kile kifusi kinarudishwa ili kurejelesha ubora na mfumo wa ardh na watalaamu Kisha standa ijengwe ,GGM watajenga stand ya kishua Sana ni suala la muda subiri warudishe kifusi
USSR
Tatizo litakuwa kwenye halmashauriZaidi ya bil.10
Hapo ndipo chanzo cha maendeleo kuwa hafifuMashavu ya watu yanakuwa dodo halafu uulizie wanapata mapato kiasi gani?