figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #41
Wakatubu. Wajisimamie kama mtwarahalafu unamkuta msukuma anahadaa wapumbavu kwenye vyombo vya habar kuwa anafanya kazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakatubu. Wajisimamie kama mtwarahalafu unamkuta msukuma anahadaa wapumbavu kwenye vyombo vya habar kuwa anafanya kazi.
Hata Magufuli hakuweza kufanya kitu manake anajua nyumbani kwake ni Chato wala sio Geita! Ubinafsi ulimzidi.Imagine hi ndio stendi ya makao makuu ya mkoa Geita? Mkoa uliojaa dhahabu kila kona. Mkoa wenyewe haujulikana kama mkoa au Wilaya. Pamoja na kuwa na dhahabu nyingi lakini bado sana, barabara ni moja tu ya Sengerema kwenda Katoro.
Geita kuna laana
Pia inadaiwa GGM walitaka kujenga uwanja wa mpira pale shule ya msingi Kalangalala lakini Halmashauri wakakataa wakataka GGM ikabidhi fedha Halmashauri then Halmashauri ndio ijenge huo wanja, GGM wakagoma mpaka leo uwanja umetelekezwa. Na hakuna anayejali
View attachment 2434700
View attachment 2434708
Nasikia pia kuwa fisi ni wengi kuliko watu hapo mkoani.Hata Magufuli hakuweza kufanya kitu manake anajua nyumbani kwake ni Chato wala sio Geita! Ubinafsi ulimzidi.
Usikute na stand yenyewe chini hapo dhahabu tupu! [emoji1787][emoji1787]
Halafu kwanini wanawake wa geita wengi wanaumwa gono na kaswende sugu?[emoji848].......geita kati ya wanawake 10 utakuta 7 wana kaswende au gono
Hapa ni kijijini?Imagine hi ndio stendi ya makao makuu ya mkoa Geita? Mkoa uliojaa dhahabu kila kona. Mkoa wenyewe haujulikana kama mkoa au Wilaya. Pamoja na kuwa na dhahabu nyingi lakini bado sana, barabara ni moja tu ya Sengerema kwenda Katoro.
Geita kuna laana
Pia inadaiwa GGM walitaka kujenga uwanja wa mpira pale shule ya msingi Kalangalala lakini Halmashauri wakakataa wakataka GGM ikabidhi fedha Halmashauri then Halmashauri ndio ijenge huo wanja, GGM wakagoma mpaka leo uwanja umetelekezwa. Na hakuna anayejali
View attachment 2434700
View attachment 2434708
Ni jamii inayopenda ngono chafuHalafu kwanini wanawake wa geita wengi wanaumwa gono na kaswende sugu?🤔.......geita kati ya wanawake 10 utakuta 7 wana kaswende au gono
🤣🤣🤣Halafu kuna chawa utasikia mama anaupiga mwingi CCM ni mashetani
Yupi?Si ndio huku mkurugenzi alinunua vx v8 ya thamani ya 400 milion na amesamehewa?
Msukuma ni mbunge wa geita vijijini na sio mjini.Mbunge wa Geita Msukuma na genge.lake ls madiwani na halmashauri pesa za marahaba huwa wanazitafuna
Miaka yote migodi inatoa mabilioni ya pesa mirahaba Geita inaishia kwenye matumbo ya mbunge Msukuma na madiwani waliopo sasa na vibaka wa halmashauri
Raisu Samia hakikisha hakuna mbunge aliyeko sasa au diwani aliyepo sasa wa kurudi kwenye uongozi 2025 Kateni majina juu kwa juu wekeni wapya
Vyovyote yale yale tu kwani Geita vijinini kuna stendi gani ya maana ya Halmashauri wakati hupokea mirahabaMsukuma ni mbunge wa geita vijijini na sio mjini.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Imagine hi ndio stendi ya makao makuu ya mkoa Geita? Mkoa uliojaa dhahabu kila kona. Mkoa wenyewe haujulikana kama mkoa au Wilaya. Pamoja na kuwa na dhahabu nyingi lakini bado sana, barabara ni moja tu ya Sengerema kwenda Katoro.
Geita kuna laana
Pia inadaiwa GGM walitaka kujenga uwanja wa mpira pale shule ya msingi Kalangalala lakini Halmashauri wakakataa wakataka GGM ikabidhi fedha Halmashauri then Halmashauri ndio ijenge huo wanja, GGM wakagoma mpaka leo uwanja umetelekezwa. Na hakuna anayejali
View attachment 2434700
View attachment 2434708
Mbunge wa Geita Msukuma na genge.lake ls madiwani na halmashauri pesa za marahaba huwa wanazitafuna
Miaka yote migodi inatoa mabilioni ya pesa mirahaba Geita inaishia kwenye matumbo ya mbunge Msukuma na madiwani waliopo sasa na vibaka wa halmashauri
Raisu Samia hakikisha hakuna mbunge aliyeko sasa au diwani aliyepo sasa wa kurudi kwenye uongozi 2025 Kateni majina juu kwa juu wekeni wapya
Geita nzima ghorofa la maana ni la Otonde,geita haina hadhi ya kuwa makao makuu ya mkoa,inazidiwa hata na lindi na singida,mji hauleweki batrabara za mitaa hazina lami kasoro moja tu inayopita jimbo
Hiyo stend ya Gita ilijengwa mwaka 2008 kuelekea uchaguzi wa 2010 na ujenzi wake ulikuwa chini kiwango hata paving zake zilikuwa feki na baada ya mwaka mmoja stendi yote ilkuwa ni mashimo na iliyoharibika vibaya sana!Vyovyote yale yale tu kwani Geita vijinini kuna stendi gani ya maana ya Halmashauri wakati hupokea mirahaba
Asante kusahihisha kifupi wabunge wote na madiwani wa mkoa wa Geita mjini na vijijini 2025 wafungashwe virago
Wapishe wengine CCM ikate majina yao juu kwa juu