figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Tema mate chini, Lindi ni taka taka mbele ya Geita.Geita nzima ghorofa la maana ni la Otonde, Geita haina hadhi ya kuwa makao makuu ya mkoa, inazidiwa hata na lindi na Singida, mji hauleweki batrabara za mitaa hazina lami kasoro moja tu inayopita jimbo kuu
Mikoa ya Lindi na Singida imekuwepo tangu miaka mingapi tokea sasa halafu ndo uilinganishe na GeitaGeita nzima ghorofa la maana ni la Otonde,geita haina hadhi ya kuwa makao makuu ya mkoa,inazidiwa hata na lindi na singida,mji hauleweki batrabara za mitaa hazina lami kasoro moja tu inayopita jimbo kuu
Yaan hawa chadema!! Kweli CDM mmeamua kutufikisha hapa kweli? Ipo cku tu nyie ngojeni.Imagine hi ndio stendi ya makao makuu ya mkoa Geita? Mkoa uliojaa dhahabu kila kona. Mkoa wenyewe haujulikana kama mkoa au Wilaya. Pamoja na kuwa na dhahabu nyingi lakini bado sana, barabara ni moja tu ya Sengerema kwenda Katoro.
Geita kuna laana
Pia inadaiwa GGM walitaka kujenga uwanja wa mpira pale shule ya msingi Kalangalala lakini Halmashauri wakakataa wakataka GGM ikabidhi fedha Halmashauri then Halmashauri ndio ijenge huo wanja, GGM wakagoma mpaka leo uwanja umetelekezwa. Na hakuna anayejali
View attachment 2434700
View attachment 2434708
halafu unamkuta msukuma anahadaa wapumbavu kwenye vyombo vya habar kuwa anafanya kazi.Imagine hi ndio stendi ya makao makuu ya mkoa Geita? Mkoa uliojaa dhahabu kila kona. Mkoa wenyewe haujulikana kama mkoa au Wilaya. Pamoja na kuwa na dhahabu nyingi lakini bado sana, barabara ni moja tu ya Sengerema kwenda Katoro.
Geita kuna laana
Pia inadaiwa GGM walitaka kujenga uwanja wa mpira pale shule ya msingi Kalangalala lakini Halmashauri wakakataa wakataka GGM ikabidhi fedha Halmashauri then Halmashauri ndio ijenge huo wanja, GGM wakagoma mpaka leo uwanja umetelekezwa. Na hakuna anayejali
View attachment 2434700
View attachment 2434708
machawa ya ccm yanayolamba asali kupitia tozoHapo huwezi kujenga standa kwa chini ni Mahandaki matupu ya machimbo ndio maana kile kifusi kinarudishwa ili kurejelesha ubora na mfumo wa ardh na watalaamu Kisha standa ijengwe ,GGM watajenga stand ya kishua Sana ni suala la muda subiri warudishe kifusi
USSR
Hahahahaaaaa sacarsticYaan hawa chadema!! Kweli CDM mmeamua kutufikisha hapa kweli? Ipo cku tu nyie ngojeni.
HahahahaaaaGeita nzima ghorofa la maana ni la Otonde,geita haina hadhi ya kuwa makao makuu ya mkoa,inazidiwa hata na lindi na singida,mji hauleweki batrabara za mitaa hazina lami kasoro moja tu inayopita jimbo kuu
Geita ni Wilaya tu acha watesekeImagine hi ndio stendi ya makao makuu ya mkoa Geita? Mkoa uliojaa dhahabu kila kona. Mkoa wenyewe haujulikana kama mkoa au Wilaya. Pamoja na kuwa na dhahabu nyingi lakini bado sana, barabara ni moja tu ya Sengerema kwenda Katoro.
Geita kuna laana
Pia inadaiwa GGM walitaka kujenga uwanja wa mpira pale shule ya msingi Kalangalala lakini Halmashauri wakakataa wakataka GGM ikabidhi fedha Halmashauri then Halmashauri ndio ijenge huo wanja, GGM wakagoma mpaka leo uwanja umetelekezwa. Na hakuna anayejali
View attachment 2434700
View attachment 2434708
Dr Samia kapendeza Hadi raha na hapa asisingiziwe dhahabu haijaanza kuchimbwa awamu ya 6..
Zaidi ya bil.10Mapato ya halmashauri ni kiasi gani kwa mwaka?