jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Huo utafiti wako ulikua overt observer ama?Halafu kwanini wanawake wa geita wengi wanaumwa gono na kaswende sugu?[emoji848].......geita kati ya wanawake 10 utakuta 7 wana kaswende au gono
Au sio?Bora mjitenge tuu, hatutaki mnatuharibia mazingira na ming'ombe yenu.
stend au bwawa la samaki mjini?Imagine hi ndio stendi ya makao makuu ya mkoa Geita? Mkoa uliojaa dhahabu kila kona. Mkoa wenyewe haujulikana kama mkoa au Wilaya.
Pamoja na kuwa na dhahabu nyingi lakini bado sana, barabara ni moja tu ya Sengerema kwenda Katoro.
Geita kuna laana
Pia inadaiwa GGM walitaka kujenga uwanja wa mpira pale shule ya msingi Kalangalala lakini Halmashauri wakakataa wakataka GGM ikabidhi fedha Halmashauri then Halmashauri ndio ijenge huo wanja, GGM wakagoma mpaka leo uwanja umetelekezwa. Na hakuna anayejali.
View attachment 2434700
View attachment 2434708
GGM walihisi nini hata wakagoma kulikabidhi fungu?Imagine hi ndio stendi ya makao makuu ya mkoa Geita? Mkoa uliojaa dhahabu kila kona. Mkoa wenyewe haujulikana kama mkoa au Wilaya.
Pamoja na kuwa na dhahabu nyingi lakini bado sana, barabara ni moja tu ya Sengerema kwenda Katoro.
Geita kuna laana
Pia inadaiwa GGM walitaka kujenga uwanja wa mpira pale shule ya msingi Kalangalala lakini Halmashauri wakakataa wakataka GGM ikabidhi fedha Halmashauri then Halmashauri ndio ijenge huo wanja, GGM wakagoma mpaka leo uwanja umetelekezwa. Na hakuna anayejali.
View attachment 2434700
View attachment 2434708