GEITA: Wananchi wavamia kituo Cha Polisi, wawili wauawa

Polisi wanatakiwa wajenge mazingira ya kuaminiwa. Wasipoaminiwa, hata pale ambapo wapo sahihi, wananchi hawatawaamini, na watafanya wanachokiamini wao.

Ona sasa, vijana wawili umri mdogo kabisa wamepoteza maisha yao bila ya kuwa na hatia yoyote.

Baba wa Mbinguni tunaomba uwaonee huruma vijana hawa waliouawa katika tukio hili, uwape pumziko jema katika katika ufalme wako.
 
Taarifa inasema waliokufa ni watu wawili, mvulana 18-20 na msichana wa 4m4 naye miaka 18. Je wameuawa kwa risasi za moto au sababu nyingine? walikuwa kwenye vurugu za kituo cha polisi au nje ya kituo? Polisi na mauwaji ya raia haviendani hata kidogo.
 
Madhara ya kuleta spirit Mbaya ya kuteka watu, kupoteza watu na kuua watu ndio hayo.
Tabia hiyo inashuka hadi ngazi ya chini ya mtaani.
Nani ameanza kuleta hizo tabia ovu nchini?

Hay sina sasa taharuki kwenye jamii.
Matukio ya kuteka, kupotezwa, mauaji yanatosha mikoani mbalimbali na mijini? 🤔
 
Kipindi cha kampeni wananchi wakielezwa ukweli kuhusu mfumo na utendaji wa swrikali ulivyo mbovu sidhani kama CCm itapata kura labda waibe
 
Watu wa vijijini ni wa hovyo sana na ujinga wao umesababisha kumpoteza Maisha ya watu wasio na hatia. Nakumbuka wale watumishi wa idara ya kilimo kule Dodoma waliuawa kikatili kwa kuhisiwa freemason. Halafu mamlaka zipo kimya matapeli wanaotengeneza illusion za freemason na kubandika mijini na kuweka namba zao za simu Hawa ndio huwajaza ujinga wanakijiji
 
Ushaambiwa mama wa watoto amekiri wale ni watoto zake na waliowabeba ni wajomba zao.
Kwahiyo askari ni wajinga??
Shida wabongo mna akili za kimatope.
Wewe ndo una mavi kichwani
 
Kwanza hii idadi mmeijuaje kama ni 800 takwimu zenu Zina mashaka
 
Utakuta walikua wanawahoji kwa kilugha cha kwao baada ya kuona ni waswahili wakawageuzia kibao
Wewe unaweza kuwa sahihi. Hii hali huku ipo ukitiliwa mashaka halafu hujui kilugha ukajieleza kwa kiswahili inaweza kuwa risk, watu wanaweza kukugeuzia
 
Hii yote ni vile polisi hawaaminiki kwenye jamii yetu.

Watanzania ni waelewa sana tena ikitokea mtu wanaimani naye walaaa!

Utakuta kunamatuko mengi ya watoto kuibiwa au kupotea chaajabu polisi hwajafanya jitihada zozote.. unategemea nini mkuu? Kama kilichotokea.

Polisi wanashindwa kuaminika kwa sababu ya njaa leo huwezi kwenda kutoa taarifa ya waouvu maana hao waovu wanakula na polisi. Ukitoa taarifa wanakugeuka. Hawa viumbe polisi kuwatetea ni ngumu sana?

Uzuri wananchi unaweza kuwafanyia mengi maovu wakawa kama hawaoni wakipata golden chance utaona kila aina ya rangi
 
Waloua ndio wanatoa maelezo ya kutaka kueleweka kwa kosa ku wa walofanya maana ni kinyume na misingi ya haki za binadamu.
Tunahitaji kuwasikiliza wananchi waelezee ukweli wa hali halisi ilivyokuwa.
hao wataelezea ili kutafuta kueleweka jambo ambalo ni vigumu.
Gari unaweza kununua lingine binadamu je ? Utamnunua wapi?
 
Nchi hii imeridhia kuingia mikataba ya umoja wa mataifa ya kulinda, kutunza na kuhifadhi haki za binadamu.
Mojawapo ya haki ya msingi ya binadamu ni kuwa “kila binadamu anayo haki ya kuishi” na sio kudhuriwa wala kuuliwa.

kila askari Polisi anapaswa kuwa na uhahamu huo wakati wote mazingira yote anapotimiza majukumu yake.

Na hata miongoni mwa raia wote elimu hiyo inapaswa kujulikana.
 
Nchi hii imeridhia kuingia mikataba ya umoja wa mataifa ya kulinda, kutunza na kuhifadhi haki za binadamu.
Mojawapo ya haki ya msingi ya binadamu ni kuwa “kila binadamu anayo haki ya kuishi” na sio kudhuriwa wala kuuliwa.
Watu watakuwa wanatoana uhai tu

Ova
 
Watu wa vijijini ni wajinga na hatari sana. Ukiwa kijijini kaa kwa machale, kuna ujinga wa kijumuia.
Nmecheka kwenye msiba
Aisee mpaka wazo langu la kuishi vijijini limenikata.. kuna matukio ma3 yamenichosha 1. Yule mganga alokua anaua watu na wenzie wanawazika wamekaa
2. Mauaji mauaji tu yasioeleweka na uvamizi
3. La leo hili wamefata mkumbo matokeo ndo hayaa
Aisee 🤣🤣 nmecheka kama mazuri
 
Wananchi wakiona umebeba mtoto basi jiandae vitambulisho na ueleweke.

Maana Polisi na serikali zimeshindwa ulinzi.
Hao watu wawili mpaka wanavamiwa wameshindwa kujitetea kuwa hao watoto ni wakwao?
Kwenye vurugu atakusikiliza nani mkuu?? Unauwawa bila hatia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…