GEITA: Wananchi wavamia kituo Cha Polisi, wawili wauawa

GEITA: Wananchi wavamia kituo Cha Polisi, wawili wauawa

CCM imetengeneza mazingira ya ujinga kwa makusudi na mitego mingi , ili kutumika kuwatawala wasitambue wana tatizo kubwa zaidi yaani utawala wa CCM ulio madarakani
 
Kabisa umeamini hivyo ? Kwenye watu800? Ina maana wenye Watoto walikuwa hao wawili tu mnada wote?

Bado hatujafikia kuwa wajinga kiasi hiki eti Kila likisemwa tuitikie ndio
Watu 800 kitu gani, Hawa watafiti waliuwawa kwa kuchomwa kisa ishu za kukurupuka kama hizi. Na usikute ni walikuwa zaidi ya 800.

 
Ushaambiwa mama wa watoto amekiri wale ni watoto zake na waliowabeba ni wajomba zao.
Kwahiyo askari ni wajinga??
Shida wabongo mna akili za kimatope.

Kuna wapuuzi walichoma moto vijana wa watu kisa ishu hizi hizi za kukurupuka. Wabongo kuna muda kama makondoo yakiona mwenzao kaanzisha yanafata tu bila kuhoji.

 
Watu 800 kitu gani, Hawa watafiti waliuwawa kwa kuchomwa kisa ishu za kukurupuka kama hizi. Na usikute ni walikuwa zaidi ya 800.

Ni Hivi Hadi watu wanachukua maamzi hayo ujue wahusika walihojiwa wakaleta jeuri na kulingana na matukio ya utekaji yanayo Endelea basi likapigwa yowe.

Kingine ni kuhusu jeshi letu la police namna linavyo tuhumiwa wee unadhani Kuna raia analiamini ?

Umesahau police walikuja mfanya biashara wa madini? Na maovu mengi Yana fanyika?
 
Kuna wapuuzi walichoma moto vijana wa watu kisa ishu hizi hizi za kukurupuka. Wabongo kuna muda kama makondoo yakiona mwenzao kaanzisha yanafata tu bila kuhoji.

Taarifa hajakaa sawa hiyo! Kwahiyo walikuwa na watoto ni hao wanaume wawili tu mnada wote?

Lazima walijibu jeuri wakapewa haki Yao. Bahati nzuri sehemu iliyotajwa Kuna mtu nafahamiana nae kesho nitamuuliza zaidi
 
Ndio maana wazungu wanadharau ngozi nyeusi, wangefanya hata utafiti wa chap chap kabla ya kuamua. "No research no right to speak ".

Na wewe ungekuwa makini kichwani ungeichukua hii hadithi ya Afande with a grain of salt.

Mabomu ya machozi na maji ya kuwasha siku hizi hayawashi enough ?

Hakunaga reinforcement za askari zinazoweza kuja kutuliza ghasia bila ku shuti point blank ?

Watoto walikuwa wanatoka kwa wifi yake, walikuwa wanae, hamjasikia mjomba kabaka mtoto mpaka kaua, baba mtu kauza mtoto, hakunaga ? Ilikuwaje kuwaje kama watoto ni wao wananchi wakakataa na ikafika vurugu ?

Unabugiaje nzima nzima taarifa ya mtu ambae yeye siku zote ndie prime suspect wa majority ya vifo tata ?
 
Ukombozi wa kutaka kuua watu wasio na hatia ni ukombozi wa kifala.
Mganza chato kituo Cha police kilipigwa kiberiti vilevile.

Nasisitiza hiyo taarifa Ina uwalakini sio rahisi tu uone mtu kabeba mtoto na kuanza kushambuliwa Nasema sio rahisi Kuna namna pale ilisababisha.
 
Na wewe ungekuwa makini kichwani ungeichukua hii hadithi ya Afande with a grain of salt.

Mabomu ya machozi na maji ya kuwasha siku hizi hayawashi enough ?

Hakunaga reinforcement za askari zinazoweza kuja kutuliza ghasia bila ku shuti point blank ?

Watoto walikuwa wanatoka kwa wifi yake, walikuwa wanae, hamjasikia mjomba kabaka mtoto mpaka kaua, baba mtu kauza mtoto, hakunaga ? Ilikuwaje kuwaje kama watoto ni wao wananchi wakakataa na ikafika vurugu ?


Unabugiaje nzima nzima taarifa ya mtu ambae yeye siku zote ndie prime suspect wa majority ya vifo tata ?
Ujumbe huu usomwe na magnifico nakwambia wananchi sio wajinga wale.

Ni ninyi tu wenye akili ya kushikiwa na kuamini Kila kitu bila kujiuliza maswali.

Itokee tu watu wamebeba Watoto washambuliwe hakika taarifa hii Mimi haijanishawishi niiamini
 
Watu 800 hawawezi kukosea
Kuna wakati wataalamu karibu dunia nzima tena madakitari waoiamini kuwa mikono ya daktari ni ya uponyaji haiwezi kuleta madhara ni mitakatifu haipaswi kutakaswa wala kunawanawa.

Jisomee kesi ya bwana Semlweis na handwashing.

Kuna wakati dunia zima watu waliamini dunia ni tambarare.

Ukweli haupimwi kwa idadi ya watu, isipokuwa kwa watu wasiojua hata ukweli ni nini
 
Mimi ndo nimesoma na kuleta hata jukwaani. Na nimeelewa huenda wewe ndo hujaielewa.

Watu 800 hawezi singizia watu2
Tuanze kwanza na hiyo 800 nani aliihesabu, ilitumika njia gani??

Watu manaoamini vitu haraka haraka hata visivyo ni hatari kwa jamii. Bora hata wangesema 'takribani 800'.

Halafu nenda kawaulize hao watu 800 kwamba je? Wangefanikiwa kuwaua hao wanaume hao watoto wangewapeleka wapi?

Hivi unaelewa hata madhara ya mob mindset? Unaamini tu kwamba bibi fulani mchawi kosa mobu imesema kweli? Eti watu wengi hawawezi kukosea??!!!
 
Risasi zinapigwa hovyo mpaka zinaenda kuuwa jirani duuh kweli hawa ni police
 
Back
Top Bottom