GEITA: Wananchi wavamia kituo Cha Polisi, wawili wauawa

Maskini na wapumbavu 800 wakijikusanya na kuamua lazima walete uharibifu. Katika hao washenzi 800 walioleta vurugu kuna ambao watakiona cha moto.
Haohao masikini na wapumbavu,kwa kadiri ya ufinyu wa akili zako,wakiamua ulale umevaa kama unaenda kusali hawashindwi.Kama unabisha,waulize wanajeshi hodari wa Misri kilichowakuta hadi wakakimbia na kuvua magwanda huku wanapiga yowe.🤔
 
Hapa Kuna maswali mengi kuliko majibu!! Watu 800+ wasingizie watu wawili kweli?
Kwahiyo hao watu 800 ndio wanawajua zaidi hao watoto kuliko wazazi wao ambao wamethibitisha kua hao watoto ni wao? punguza mihemko mkuu,just use a simple logic to understand it,

Wrong is wrong even if everyone is doing,and right is right even no one is doing it.
 
Haohao masikini na wapumbavu,kwa kadiri ya ufinyu wa akili zako,wakiamua ulale umevaa kama unaenda kusali hawashindwi.Kama unabisha,waulize wanajeshi hodari wa Misri kilichowakuta hadi wakakimbia na kuvua magwanda huku wanapiga yowe.🤔
Hamia Misri
 
Duh,Watu wamechafukwa kweli kweli.Sipati picha kama hali ikiwa hivyo kwenye kila eneo ambalo inaonekana haki haitendeki
 
Hizi ni salamu kuwa inawezekana.
Acheni kulishana ujinga mtaendela kuliwa kama kuku.

Si ni juzi tu apa aliuliwa raia ktk mazingira kama ayo ya kituo cha polisi!
Ni hatua gani raia mlichukua baada ya polisi kukatisha maisha ya hao raia ?

Si kila mmoja yupo kwake ameufyata mkia kmya huku mkiaziacha familia za wafiwa na majonzi ya kuondokewa na mpendwa wao ?

Ni afadhali mgekinukisha basi kuwa hatua zichukuliwe kwa hao askar
ila ivo mnavyofanya vurugu mkiuliwa wawili watatu mnaishia kuufyata mkia sio poa.
 
Acha akili zako za ajabu.Watauawa wote?Unawajua waru wakichukia na kuhamasishana wafanye jambo?Wewe baki nyumbani tu unachambua maharage mabovu.
 
Nimeuliza hii habari kutoka kwa bamdogo ambae yupo huko geita karibu na lilipotokea tukio kanambia ni kweli limetokea ila jamani kuna watu wajinga kupita kiasi sasa ndo nini hiki walichofanya
 
Sasa hapo kosa ni la police kweli?
Unataka kuvamia kituo Chenye silaha na mahabusu halafu uachwe?
 
Acha akili zako za ajabu.Watauawa wote?Unawajua waru wakichukia na kuhamasishana wafanye jambo?Wewe baki nyumbani tu unachambua maharage mabovu.
Hawauwawi wote ila ni faida gani wamepta baada ya kufanya izo vurugu zao apo kituo cha polisi?
 
Mambo haya yamelelewa na serikali ya Chifu Hangaya hadi imefika wakati sasa binadamu hatuaminiani. Mtendaji wa Kata ashukuriwe sana kwa kuokoa roho za wananchi hawa, vinginevyo wangeuawa.
 
Aiseeee dooooh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…