Gen-Z hamuwezi kuelewa hivi vitu vilikuwa na maana kiasi gani

Mama atasemaje? Itafahamika ukifika home. Halafu uliacha maharage yakaungua na uliambiwa uwe unaongeza maji
View attachment 3143979
na olewake uwe na bifu na dadako,hua unamchomekea ukimkuta kasimama na masela njiani(washenzi/chambia gunzi) yakimtongoza

olewake ,aambiwe akuoshe pawe na jiwe Fulani ...hua sisahau mpakaleo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…