Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Mumy uanaharakati umeanza lini?Uzi wako wa jana nilikuunga mkono lakini wa leo🚮
Wewe sio Gen Z! Ni m'baba mwenye kitambi fisadi lililokubuu unakula kodi zetu kutwa! au ni Chawa uliyepewa buku 7 kuanzisha kampeni ya kutupumbaza Gen Z wa Tz
Muda utafika waliokufa watafufuka.
NDIO.Kumbe huwa unanionea wivu😂
Leo😂Mumy uanaharakati umeanza lini?
Basi naacha😉NDIO.
Nakuzoom tuLeo😂
😁😁Usiache , penzi lenu linafurahisha jukwaa .Basi naacha😉
🤣🤣🤣Yaani katika kitu nimewakubali gen z ya Tanzania ni kutokuandamana sababu kuna mizee ambayo ujanani kwao ilichezea pesa Sasa hivi maisha Yao magumu yanaanza kushawishi vijana eti waandamane hivi jamani Kwa akili ya kawaida yaani kijana afe azikwe aoze halafu lizee liishi liponde raha Kwa damu ya kijana iliyomwagika hii ni akili au matope.
Yaani enzi zao yalizubaa nchi ikaliwa na Nyerere wakabaki kuchekacheka tu kumbe Nyerere alikua tapeli namba Moja halafu nashangaa watu wanakalia kumuita mtu tapeli kama Nyerere eti baba wa Taifa hii kauli inanikeraga sana. Nyerere ndio mwanzo wa maisha mabovu ya watanzania ila mizee ilishindwa kumuambia ukweli Leo hii inasema vijana tuandamane nasema hapa haandamani mtu mpaka mfe na njaa nyie wazee.
Basi usione wivu sasa😉😁😁Usiache , penzi lenu linafurahisha jukwaa .
Usijali ila nitakupiga spana ukibagua machawa wakuwaponda .😊Basi usione wivu sasa😉
Watoto wanazaliwa na mama malaya, kisha wanavuta bangi na kuanza kuropoka hovyo. Very sadMtoto mdogo huyu maziwa mdomoni, akili zao ndio hizi.
Nyie wazee mlikua mnaramba miguu ya tapeli nyerereWatoto wanazaliwa na mama malaya, kisha wanavuta bangi na kuanza kuropoka hovyo. Very sad
Leo nimekupenda bureUzi wako wa jana nilikuunga mkono lakini wa leo🚮
Wewe sio Gen Z! Ni m'baba mwenye kitambi fisadi lililokubuu unakula kodi zetu kutwa! au ni Chawa uliyepewa buku 7 kuanzisha kampeni ya kutupumbaza Gen Z wa Tz
Muda utafika waliokufa watafufuka.
Kumbe huwa hunipendiLeo nimekupenda bure
Ndio hivyoNaunga mkoto 😂 aah mkono
Kila nchi na majira yake, kila jambo na wakati wake, kila uovu ni zao la mbegu flani ya uovu iliyopandwa kwa mda mrefu. Mataifa huwa yanaqnguka pale mihimili yake inalega kwa sababu ya kutokutoa haki.Yaani katika kitu nimewakubali gen z ya Tanzania ni kutokuandamana sababu kuna mizee ambayo ujanani kwao ilichezea pesa Sasa hivi maisha Yao magumu yanaanza kushawishi vijana eti waandamane hivi jamani Kwa akili ya kawaida yaani kijana afe azikwe aoze halafu lizee liishi liponde raha Kwa damu ya kijana iliyomwagika hii ni akili au matope.
Yaani enzi zao yalizubaa nchi ikaliwa na Nyerere wakabaki kuchekacheka tu kumbe Nyerere alikua tapeli namba Moja halafu nashangaa watu wanakalia kumuita mtu tapeli kama Nyerere eti baba wa Taifa hii kauli inanikeraga sana. Nyerere ndio mwanzo wa maisha mabovu ya watanzania ila mizee ilishindwa kumuambia ukweli Leo hii inasema vijana tuandamane nasema hapa haandamani mtu mpaka mfe na njaa nyie wazee.
Hamna kitu kama hicho kitakachokuja kutokea tanzania Kila mtu apambane na maisha yakeKila nchi na majira yake, kila jambo na wakati wake, kila uovu ni zao la mbegu flani ya uovu iliyopandwa kwa mda mrefu. Mataifa huwa yanaqnguka pale mihimili yake inalega kwa sababu ya kutokutoa haki.
Maandamano ya kenye ni matokea ya hali uovu ambao hakuna aliyejali kuukabili sio jambo la siku moja , finance bill ilitumika tu kama trigger.
Kwa Tanzania haya ya kenye ni leaning point, ni fursa ya kujitafakari na kumisha zaidi misingi ya haki ambayo huzaa umoja, amani, uzalendo na upendo pia.