TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Yaani sitamani kabisa ukichomfanyia Membe (Rip); kwa kumdanganya na kampeni za ni "Yeye" kisha akaishia kwenye kampeni zi sizoeleweka za 2020.Hussein Mwinyi for presidency 2025🥺🥺🥺🥺🥺
Mkuu unaona kabisa sawa kwa mtazamo wako kuwa Lisu alistahili kifo??Kiongozi hii si mada ya ujuaji ni mjadala tu.
Hakuna anaejua zaidi ya mwingine, ni kupeana ufahamu tu humu. Kila mtu anajifunza kutoka kwa mwenzake.
Uhalisia ni kwamba uwezi shitakiwa MiGA. Kwa sababu mikataba ya host government agrement na kampuni yoyote when it comes to dispute resolution; either inakuwa covered kwenye BIT.
Kama nchi hazina makubaliano ya BIT basi dispute resolution itawekwa kwenye stabilisation clause ya HGA.
Hakuna mzungu ataingia mkataba wa biashara hasa nchi za third world bila ya kulindwa na BIT au kuweka stabilisation clause ya dispute resolution.
Ndio maana kila tunaposhitakiwa utasikia wawekezaji wanasema wanatumia BIT.
Sasa yeye wakati wenzake wanafanya yao kakadhana kuwakatisha tamaa. Akiambiwa acha hataki kuelewa.
kuhakikisha tuna strong senior service ya kuongoza nchi hata raisi nani.
hakika umenenaM
Mkuu ndege wafananao huruka pamoja!!!
Kwani katiba ina semaje hamtaki tena kuifuataHuyu mtu katukosea sana watanzania wenzake walipomwambia tunapotaka kwenda huyu mama (Rais Samia) hawezi mziki wake na kuwabishia.
General Mabeyo atuombe radhi watanzania.
Hussein Mwinyi for presidency 2025.
Ni mjinga mmoja naye amepata dhamana ya kukaa ofisi ya umma anadhani wote ni wapumbavu vile .Mkuu unaona kabisa sawa kwa mtazamo wako kuwa Lisu alistahili kifo??
Haya tuambie tulifaidi nini watanzania kutokana na mkataba ule wa uliowadhania kuwa na uweledi wa mkataba??
Makinikia hayakutoka?? Trilioni mia 400 tulilipwa?? Barick hawachimbi madini??? Kuna kesi yoyote ya madini tumeshinda??? Kuna kesi ya yoyote kuvunja mkataba kipindi cha awamu ya 5 tumeshinda??
Mkuu sisi ni wa swahili acha Kiingereza kiingi humu na visingizio vya usalama, jibu maswali hayo. Utekaji na mauaji ya mtanzania yeyote haukubaliki kwa sababu yoyote ile!
Mzee Kibao hakustahili kufa vile!!
Mkuu inaelekea unafahamu kinacho endelea maana juzi ulikuwa unawatuhumu sana viongozi wa Chadema kuhusika na mauaji hayo!!!
Kama kweli unaamini hivyo kwa nini siku zote viongozi wa Chadema tena upinzani hawajawahi kukamatwa, kushtakiwa na kufungwa kwa tuhuma hizo!!!
Ama kweli wahenga hawakukosea kusema ushushi hutoka kwenye inya!
Well, your "opinion" isn't any different from a historically known person presenting it, or is it! Therefore you cannot detach yourself from a well known character.Busara ingekuwa kusema unadhani nani anafaa na kwanini choice yangu sio sahihi.
Kuanza na mimi mleta mada whilst I am just airing my opinion, shows your focus was personal attack; rather the topic.
Mbona kama rip unapongeza nini?Huyu mtu ametukosea sana, ambapo watanzania wenzake walipomwambia kwamba tunapotaka kwenda kwa huyu mama (Rais Samia), alikataa kabisa na kuwabishia kwa nguvu.
Tunaomba General Mabeyo aombe radhi kwa watanzania kwa kitendo hiki.
Aidha, tunampongeza Hussein Mwinyi na tunamuunga mkono kwa urais mwaka 2025.
Huyo ni mzaliwa wa Zanzibar, na anajitambulisha yeye mwenyewe kuwa ni mZanzibar na maisha yake yote na tamaduni yake ni mZanzibar. Huo uTanganyika wa baba yake ni wa kimaslahi tu basi. Hana uchungu wowote juu ya Tanganyika.Mwinyi ni mtanganyika kwao
Ukumbuke mwinyi kwao mkuranga , ni mtanganyika yule
Huyu mtu ametukosea sana, ambapo watanzania wenzake walipomwambia kwamba tunapotaka kwenda kwa huyu mama (Rais Samia), alikataa kabisa na kuwabishia kwa nguvu.
Tunaomba General Mabeyo aombe radhi kwa watanzania kwa kitendo hiki.
Aidha, tunampongeza Hussein Mwinyi na tunamuunga mkono kwa urais mwaka 2025.
Atuombe radh watanzania
Frankly speaking from the bottom of my heart, huyo Mabeyo mnamuonea bure tu. Mkuu wa Majeshi kazi yake Siyo kutunga Katiba ya nchi, bali kazi yake ni Kulinda Katiba ya nchi. Hili ndilo jukumu lake la msingi kabisa.Huyu mabeho anatakiwa kufungwa kifungo Cha maisha jela Kwa kasababisha Nchi yetu kuongozwa na mwenye uwezo mdogo na Sasa Kila siku watu wanatekwa na mambo mengine mengi ya kijingakijinga yanafanyika
Inashangaza sanaBaadhi ya watanzania ni watu wajinga na wasiojielewa kabisa. Wanalilia Katiba mpya na utawala wa sheria ila sheria zikifuatwa wao wanataka zivunjwe.
Sasa mtu kama huyu ana tofauti gani na kiongozi aliye madarakani anayekanyaga sheria?
Hapa ndio unagundua kula wengi sio waumini wa utawala wa sheria, bali wanapenda sheria zipindishwe kwa maslahi yao.
Gen Mabeyo alikuwa sahihi Kuwakumbusha watu Kuheshimu Katiba Big up kwake.Angalau kwenye taasisi zilizopo Huenda ni JWTZ Tu inaweza kuaminiwa Kwa Kuheshimu Katiba.Taasisi zingine nimechagua kwenda zigzag.Kama Jeshi lingekanyaga Katiba sijui tungekuwa wapi,hiyo safari ya kurejea kwenye katiba ingechukua Miaka mingi Sana.Shida yetu kubwa ni weak institutions,Ambazo zimetoka Kwa Katiba ya Chama Kimoja.Huwezi Kuendelea kama unakuwa na cycle za Uongozi bila continuation.Sema Mungu ni mwema akitoka Mzee Ruxa,anawaletea Chuma kama Mkapa,naye akitoka mnaletewa Ruxa 2,kisha Chuma alafu Ruxa3.Tutegemee Chuma tena.Huenda ndiyo cycle yetu.
ikuwa anailinda Katiba ya Nchi na ndivyo alivyopaswa kufanya kama Mkuu wa Majeshi !Atuombe radh watanzania
Nakubaliana nawe mkuu 🤝mpo wrong kwasababu hamjui mnachokitaka katiba ikisiginwa mnasema na mtu akifata katiba mnasema pia so huu ni undumbila kiwili hamjui wrong na right.. na watu wa hivi watoto wenu ndo wanategemea mchague viongozi
Katiba ni mipango na fedha bobu in case ni true badala ya falseAre we talking about Mwinyi in the context of having a cool head in the transition as I implied or you have other interpretations which the JF audience need to be on the same page with you.
Enlighten us please, so that we flow together in the discussion.
No ons is right or wrong in this discussion; as far as I am concerned. But we can learn from each other
Yani hata ukweli kwamba Mabeyo alihitajika kuamua ni tatizo.Huyu mtu ametukosea sana, ambapo watanzania wenzake walipomwambia kwamba tunapotaka kwenda kwa huyu mama (Rais Samia), alikataa kabisa na kuwabishia kwa nguvu.
Tunaomba General Mabeyo aombe radhi kwa watanzania kwa kitendo hiki.
Aidha, tunampongeza Hussein Mwinyi na tunamuunga mkono kwa urais mwaka 2025.
Nimeufatilia huu uzi ni wewe pekee umekula like za kutosha, hii inamaanisha kuna ukweli kwa asilimia nyingi sana kwa maaana ya daraja "A" kwenye maelezo yako, big up sanaMnamuonea tu mtangulizi wa Samia (Magufuli).
Usalama wa taifa kwenye kutia adabu wapuuzi (tena ukivuka mipaka) kama Dr Ulimboka au Kubenea wanaweza kukuacha na kiłema tu; lakini sio kuuwa.
Hadi ushugulikiwe inabidi uwe tatizo kweli kweli kama Dr Mvungi au Lissu tena kwa kuonywa acha hiyo issue ni ya national security (utaki kuelewa somo), popote duniani utashughulikiwa kama uelewi somo (achana na upuuzi wa utetezi wa CDM).
Lissu was a nuisance in the midst of contract renegotiations kama umesoma mambo ya mikataba ya natural resources renegotiation ukistuka sio jambo jepesi. Yeye Kila akionywa acha aelewi somo anaropoka (let’s be clear Lissu hana uelewa wa maswala ya mikataba) ni maCDM tu ya JF yanaamini anajuwa. Ila Lissu hana uelewa wa FDI contracts that’s finance.
Mtu pekee ambae kitendawili kupotea kwake zama za Magufuli ni Ben Saanae (nadhani ile ilikuwa ajali kazini kwa upande wa usalama).
Mengine ni story tu (yes Magufuli alisumbua watu) including Maxence Melo kabla hajauzoea uraisi akiwa mshamba wa kudhani anaweza zuia habari mbaya.
Lakini sehemu kubwa ya lawama anazopewa ni uzushi tu.
Kilichotokea kipindi chake kuna watu waovu ambao wenye uwezo wa propaganda (it doesn’t take much) to sway the political audience with the help of CDM constant attack to sell the false narrative.
Magufuli hakuwa mtu mmbaya, kwanza alikuwa ni mwamini wa mungu hata kuweka sign za watu wa kunyongwa alikuwa anaogopa.