General Tyres Tanzania ilivyohamishiwa Kenya na kuitwa YANA tyres!

Utasikia chama chajenga nchi wakati wao ndio waliacha mambo mazuri ya awamu ya kwanza yateketee.
 
Na sasa NSSF upatikanaji wa mafao unawekewa masharti mengi sana ili kufidia ulaji kama huu
 
Hivi ule mpango wa kukifufua hiki kiwanda cha general tyre imeshindikana? Hii ni awamu ya viwanda kwa nn hilo licfanyiwe kazi. Tunaletewa matairi mabovu toka China.

Mi naomba kwa mheshimiwa Rais ajitahidi kujenga kiwanda cha matairi ya magari na pikipiki. Hii hudums ni muhimu na watumiaji ni wengi sasa hivi ndani ya nchi ye2.
 
Ngoja tuwape miaka mingine mitano CCM, pengine wataweza kukifufua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…