George Simbachawene ni nani hasa?

Kaka Unasema umetembelea wilaya zote hakuna Jimbo masikini kama Jimbo la kibakwe. Nakuomba ukipata muda tembelea na wilaya zilizoko mkoa wa kigoma,tabora,Katavi halafu njoo tena na hoja yako kuwa kibakwe ni Jimbo masikini zaid ya mengine.
Ninavyoongea nawe hapa nipo Kigoma jimbo la Kigoma Kusini sehemu inaitwa Rukoma Wilaya ya Uvinza almost 3 weeks now na nimekuwa nikija huku kila miezi 6 huwezi linganisha na Kibakwe bro, Buhigwe, Kasulu TC na DC kote,Kibondo,Kakonko kote na Vijiji vyake huko bado bro
 

Weeee mie mwenyewe nawajua waganga wake na mpambe wake anayemtafutiaga waganga! Kama sivyo angeshakua kama mwakyembe
 
Kaka Unasema umetembelea wilaya zote hakuna Jimbo masikini kama Jimbo la kibakwe. Nakuomba ukipata muda tembelea na wilaya zilizoko mkoa wa kigoma,tabora,Katavi halafu njoo tena na hoja yako kuwa kibakwe ni Jimbo masikini zaid ya mengine.
Ninavyoongea nawe hapa nipo Kigoma jimbo la Kigoma Kusini sehemu inaitwa Rukoma Wilaya ya Uvinza almost 3 weeks now na nimekuwa nikija huku kila miezi 6 huwezi linganisha na Kibakwe bro, Buhigwe, Kasulu TC na DC kote,Kibondo,Kakonko kote na Vijiji vyake huko wapo vyema huko bado bro
 
Unapenda kusikia ni TS
 
Kaka Unasema umetembelea wilaya zote hakuna Jimbo masikini kama Jimbo la kibakwe. Nakuomba ukipata muda tembelea na wilaya zilizoko mkoa wa kigoma,tabora,Katavi halafu njoo tena na hoja yako kuwa kibakwe ni Jimbo masikini zaid ya mengine.
Usitafute ligi nami ukiwa na muda PM tuyajenge nikupe mbinu za kukomboa Kibakwe na Kata zake
 
Kwa JK alikuwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini.
 
Rais wa nini? Manzese? Bado tu mnataka mafisadi wa mtandao watawale hii nchi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…