Mwanasheria kasoma OUT!Kwa hiyo ni bahati tu? Huyu Elimu yake ikoje
Kama nia kubalance mbona sasa anapewa wizara nyeti?
Mgodi wa Winza upo Kitongoji cha Winza Kijiji cha Choghola ukafujwa wote maana dhahabu ilikuwa inachimbwa mita 2 na nyingine kuokotwa ChaweneeeeKwa JK alikuwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini.
Huyo ni top kachero
Kutosomesha mtoto nje ndiyo uzalendo? Nyie watu!Hamumjui vizuri huyo mzee... ni mkali vibaya mno na ni kauzu ile mbaya!
Picha linaanza yuko vizuri financially na hakuna mtoto wake yoyote aliyesoma nje ya nchi na yuko strictly vibaya mno kwenye malezi ya watoto.
Ni wakubwa serikalini hao, wale watiifu na wanaojituma + wachapakazi na wanajitambua.
Huwa hapendi Kiki za kijinga na za kishamba. Yuko kwenye orodha ya marais wajao miaka mingi ijayo... anaandaliwa nafkiri.
Ana mwanae wa kiume anaitwa "James Simbachawene" naona huyu kijana alikata kamba, kunyoanyoa vipanki na kuvaa visuruali vya kubana... kalisoma chuo cha usimamizi wa fedha haka kakijana. Kanajaribu kujifanya kahuni na kablazameni ila nafkiri mzee anapambana kukazaba kaache ujinga wake kawe kakijana smart kafuate nyayo za baba.
KONGOLE KWAKO MZEE SIMBACHAWENE 👍🏾
Kuwa konda wa mabasi hakuzuii yeye kuwa bora katika kitu kingine, huwezi jua labda kuna mtu aliona kipaji chake akawa anamshauri au kusimamia mpaka alovyofika sasa au hata huo ukonda alikuwa kazini. Ameaminika wizara nyeti ikiwemo wizara ya hao makachero. Mimi sijui kama ni kweli ila inawezekanaTanzania kila mtu kachero. Huyu alikuwa konda wa mabasi
Atajwe na nani ndio usikie? Mimi si nimemtaja hapoUfisadi nimeshasikia ila mbona hajawahi kutajwa kwenye ufisadi wowote?
Mbona naona kama vile watanzania wote nimakachero?Huyo ni top kachero
Wewe ni mzee Ame kutoka ZnZ?!Kutosomesha mtoto nje ndiyo uzalendo? Nyie watu!
Hawa ninaowaita wajukuu ni watani wetu wa jadi kikabila; kwangu mimi mtani wa jadi ni mjukuu. Ninao wajukuu wengine wengi tu akiwemo JK, Rais mstaafu wa awamu ya nne. Utani wa jadi unatambulika kisheria kiasi kwamba ikitokea mkazua mgogoro kupitia utani huo, sheria zinatambua na hivyo zitaingilia kati kuutatuaAhsante Mkubwa, ila umewaita wajukuu je wewe nini mkubwa kiasi hiko au ni kinyume chake wewe ni mjukuu wa mmoja kati ya hao.
Kwa wizara alizopitia, na kudumu kwake naona uPM unaweza kumfaa sijajua masuala mengine ambayo hatuyajui
Ahsante nimeelewa ndugu, japo naona ana nafasi lakini sijamuombea nisiwe mnafki najaribu tu kuangalia uhalisiaHawa ninaowaita wajukuu ni watani wetu wa jadi kikabila; kwangu mimi mtani wa jadi ni mjukuu. Ninao wajukuu wengine wengi tu akiwemo JK, Rais mstaafu wa awamu ya nne. Utani wa jadi unatambulika kisheria kiasi kwamba ikitokea mkazua mgogoro kupitia utani huo, sheria zinatambua na hivyo zitaingilia kati kuutatua
Nitafurahi sana siku ikitokea imempendeza Mungu Simbachawene awe kwenye cheo hicho, na ubarikiwe sana kwa kuendelea kumuombea katika hilo. Mimi pia ninamuona ni Kiongozi ambaye ana-qualify sana kwenye nafasi hiyo