George Simbachawene ni nani hasa?

George Simbachawene ni nani hasa?

Hamumjui vizuri huyo mzee... ni mkali vibaya mno na ni kauzu ile mbaya!

Picha linaanza yuko vizuri financially na hakuna mtoto wake yoyote aliyesoma nje ya nchi na yuko strictly vibaya mno kwenye malezi ya watoto.

Ni wakubwa serikalini hao, wale watiifu na wanaojituma + wachapakazi na wanajitambua.


Huwa hapendi Kiki za kijinga na za kishamba. Yuko kwenye orodha ya marais wajao miaka mingi ijayo... anaandaliwa nafkiri.


Ana mwanae wa kiume anaitwa "James Simbachawene" naona huyu kijana alikata kamba, kunyoanyoa vipanki na kuvaa visuruali vya kubana... kalisoma chuo cha usimamizi wa fedha haka kakijana. Kanajaribu kujifanya kahuni na kablazameni ila nafkiri mzee anapambana kukazaba kaache ujinga wake kawe kakijana smart kafuate nyayo za baba.

KONGOLE KWAKO MZEE SIMBACHAWENE 👍🏾
Kutosomesha mtoto nje ndiyo uzalendo? Nyie watu!
 
Tanzania kila mtu kachero. Huyu alikuwa konda wa mabasi
Kuwa konda wa mabasi hakuzuii yeye kuwa bora katika kitu kingine, huwezi jua labda kuna mtu aliona kipaji chake akawa anamshauri au kusimamia mpaka alovyofika sasa au hata huo ukonda alikuwa kazini. Ameaminika wizara nyeti ikiwemo wizara ya hao makachero. Mimi sijui kama ni kweli ila inawezekana
 
Acheni kujadili majambazi waliioliibia Taifa letu hakuna mwana-siasa smart kichwani hapa Tz siasa ni wizi tu


Watu smart hawapo katika siasa chafu za Ccm sijui CHADEMA and so blanda
 
Ahsante Mkubwa, ila umewaita wajukuu je wewe nini mkubwa kiasi hiko au ni kinyume chake wewe ni mjukuu wa mmoja kati ya hao.

Kwa wizara alizopitia, na kudumu kwake naona uPM unaweza kumfaa sijajua masuala mengine ambayo hatuyajui
Hawa ninaowaita wajukuu ni watani wetu wa jadi kikabila; kwangu mimi mtani wa jadi ni mjukuu. Ninao wajukuu wengine wengi tu akiwemo JK, Rais mstaafu wa awamu ya nne. Utani wa jadi unatambulika kisheria kiasi kwamba ikitokea mkazua mgogoro kupitia utani huo, sheria zinatambua na hivyo zitaingilia kati kuutatua

Nitafurahi sana siku ikitokea imempendeza Mungu Simbachawene awe kwenye cheo hicho, na ubarikiwe sana kwa kuendelea kumuombea katika hilo. Mimi pia ninamuona ni Kiongozi ambaye ana-qualify sana kwenye nafasi hiyo
 
Hawa ninaowaita wajukuu ni watani wetu wa jadi kikabila; kwangu mimi mtani wa jadi ni mjukuu. Ninao wajukuu wengine wengi tu akiwemo JK, Rais mstaafu wa awamu ya nne. Utani wa jadi unatambulika kisheria kiasi kwamba ikitokea mkazua mgogoro kupitia utani huo, sheria zinatambua na hivyo zitaingilia kati kuutatua

Nitafurahi sana siku ikitokea imempendeza Mungu Simbachawene awe kwenye cheo hicho, na ubarikiwe sana kwa kuendelea kumuombea katika hilo. Mimi pia ninamuona ni Kiongozi ambaye ana-qualify sana kwenye nafasi hiyo
Ahsante nimeelewa ndugu, japo naona ana nafasi lakini sijamuombea nisiwe mnafki najaribu tu kuangalia uhalisia
 
Acheni kujadili majambazi waliioliibia Taifa letu hakuna mwana-siasa smart kichwani hapa Tz siasa ni wizi tu


Watu smart hawapo katika siasa chafu za Ccm sijui CHADEMA and so blanda
Unaweza kutudadavulia ndugu?
 
Back
Top Bottom