Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha upumbavu uliwahi kuoma mtu anaepiga kampeni Bure?Ujinga wa mtanzania akija kwenye graduation yako, anataka ukipata kazi umpe mshahara wako mgawane, kwani aliwaita wamsaidie tokeni zenu huko, kampeni ziliisha sasa fanyeni kazi zenu sio majungu majungu
Anadumisha tamaduniHuyu jamaa kwa ndumba yuko vizur sana nlishapewa na mtu anayekaa jiran yake Kinyerezi mtaa wa Zimbiri jamaa analeta Makalumanzila Mchana Kweupe wamepiga makaniki yao meusi wanafanya yao bila stress
Mimi mwenyewe ni wa huko,nitajie mfano wa watu waliomsaidia kwenye kampeni akawatosa?Kwao ni Mpwapwa Kijiji kinaitwa Pwaga Hana lolote. Watu liomsaidia kwenye kampeni wengi aliwapotezea.
Kama kuna mwenyeji was bwaga hapa atajazia
Huyu kwao sawa ni Pwaga na Galigali pia ujombani namjua vyema akiwa kule Mbuga, Winza, Kinusi,Matonya,Ihwa,Maandazi,Ipera,Mang'alisa, Choghola, Kikuyu na Ihefu watu wa milimani mmenisoma huyu analingia uchawi wa baba yake.Kwao ni Mpwapwa Kijiji kinaitwa Pwaga Hana lolote. Watu liomsaidia kwenye kampeni wengi aliwapotezea.
Kama kuna mwenyeji was bwaga hapa atajazia
labda busara za Wazee, hatuwezi jua kwenye wazee hakuharibiki jambo
MwikolaMimi mwenyewe ni wa huko,nitajie mfano wa watu waliomsaidia kwenye kampeni akawatosa?
Braza mbona una hasira kama yule jamaa wa kibakwe aliyemsaidia kampeni 2015 halafu akatoswa!?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Acha upumbavu uliwahi kuoma mtu anaepiga kampeni Bure?
Umeshakula kwanza? Usije kuwa unaleta stress zako za kulala njaa hapa
Asipokusaidia ww unamuita mchawiHuyu kwao sawa ni Pwaga na Galigali pia ujombani namjua vyema akiwa kule Mbuga, Winza, Kinusi,Matonya,Ihwa,Maandazi,Ipera,Mang'alisa, Choghola, Kikuyu na Ihefu watu wa milimani mmenisoma huyu analingia uchawi wa baba yake mimi ni mjomba wangu ila hana msaada
Acha upumbavu uliwahi kuoma mtu anaepiga kampeni Bure?
Umeshakula kwanza? Usije kuwa unaleta stress zako za kulala njaa hapa
Mimi namjua kindakindaki na sina nachohitaji kwake na anajua hiloAsipokusaidia ww unamuita mchawi
Mhehe au mgogo?Kwao ni Mpwapwa Kijiji kinaitwa Pwaga Hana lolote. Watu liomsaidia kwenye kampeni wengi aliwapotezea.
Kama kuna mwenyeji was bwaga hapa atajazia
Utakuwa ni wewe mpenda cha bure kumnyenyekea mtuAsipokusaidia ww unamuita mchawi
Mhehe jamaa ila ndo wale kidada sanaMhehe au mgogo?
Mimi sio kiaxi kama umavyofikiria. Siwezi kutaja mtu hapa ila wapi na wanalalamika. Wakati amefiwa na mzazi wake uliudhuria kwenye msiba?Mimi mwenyewe ni wa huko,nitajie mfano wa watu waliomsaidia kwenye kampeni akawatosa?
+ wagayasidaMhehe jamaa ila ndo wale kidada sana
No simba ni smart sana hajui kubagua watuUtakuwa ni wewe mpenda cha bure kumnyenyekea mtu
Sawa mheshimiwa waziri; tunakukumbusha tu ukiwapa watu kazi kumbuka kuwalipaToka nazaliwa hadi nakufa sitokuja kulala njaa, wala kukosa pesa, nimesema fanyeni kazi zenu acheni kulialia shida
Achana na hayo mimi nilisikia nikiwa zangu Kalemie DRC nikivua dagaa uduvi vp wewe ndo ulikula pesa za jeneza mkuu?Mimi sio kiaxi kama umavyofikiria. Siwezi kutaja mtu hapa ila wapi na wanalalamika. Wakati amefiwa na mzazi wake uliudhuria kwenye msiba?