Twinawe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2016
- 2,431
- 5,336
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata JPM si alikuwa dereva wa gari za kukodi (taxi) miaka ilee maeneo ya Sinza.hakuwa tingo ila alikuwa konda
Mwaka gani?? Unaweza share nasisi hii kitu? Magu sijawahi msikia akisema hii kitu!Hata JPM si alikuwa dereva wa gari za kukodi (taxi) miaka ilee maeneo ya Sinza.
Kuna viongozi wengi wamepitia maisha halisi ya mtanzania lakini baadhi yao hujitia hamnazo.
Jina lake la kati ni Huruma na ndivyo alivyo si mtu mwenye roho ya kwanini.Mzee simuelewagi vizuri, wakati mwingine anaonekana mwema wakati mwingine kama vile hana analojua, ila yupo composed....Nilifanya naye kazi akiwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga nika m define vibaya sana kuna namna alinikwaza katika ujenzi wa nyumba za wakimbizi wale wa Chogo. Lakini ipo siku kuna ndugu yangu alikamatwa na mpambe wa JPM, very recent kabla ya umauti wa JPM, yeye ndiye aliyemtoa kwenye ile kadhia nikamwona ana busara sana....Any way Salute mzee!
Miaka alokuwa pale UDSM.Mwaka gani?? Unaweza share nasisi hii kitu? Magu sijawahi msikia akisema hii kitu!
Aiseee! Basi Magu na ubabe wake hajawahi isema hii kitu! Na kama aliwahi isema basi ni siri mno!Miaka alokuwa pale UDSM.
Ni kwamba hufuatilii tu lakini JPM alilisema hili la kuendesha Taxi akiwa UDSM alipokuwa akifungua Kijazi interchange mwezi February 2021.Aiseee! Basi Magu na ubabe wake hajawahi isema hii kitu! Na kama aliwahi isema basi ni siri mno!
Ni sawa na kwamba Magu kaanza kuumwa tatizo la moyo toka akiwa UDSM, hadi tangazo lake lakuomba msaada lilitolewa, akiwa UDSM! Lakini akiwa Rais hakuna mtu aliwahi hoji au uliza! Alipofariki tu! Watu wakalitoa lile tangazo
Huyu kimaadili ya uongozi na ubinadamu wake huwa namfananisha na mjukuu wangu Mizengo Kayanza Peter Pinda. Hawa watu wakati mwingine unasema pengine walikosea kuingia kwenye Siasa ila walitakiwa wawe viongozi kwenye nyumba zetu za Ibada. Yaani wako kwenye level ile ambayo binadamu wa kawaida kabisa aliyeumbwa na Mungu, anatakiwa kuwa.NI mmoja ya mawaziri waliodumu katika Baraza la Mawaziri tangu awamu ya JK, Magufuli na sasa Mama, pamoja na panga pangua za baraza la mawaziri
View attachment 2551539
Na ameshapewa majukumu Wizara ya Utumishi , Wizara Mambo ya ndani, Waziri ofisi ya Waziri. Moja ya Wizara ziliozokaribu kiutendaji na Ikulu
Ni nani hasa? Safari yake ya kisiasa na utumishi serikalini ikoje? Najua kama binadamu hakosi mapungufu lakini anaonekana ni mtu mtaratibu, hekima na busa nyingi mbali ya kuonekana kuwa na elimu ya kawaida.
Bila shaka inahitaji Uzalendo usio na mashaka kusurvive mabaraza ya marais watatu
Hakuna mwaka aliopita bila kupingwaAlipita Newala Kwa Connection Tu Ya Bila Kupingwa Halafu Eti Tanzania Tutegemee Mabadiliko Yatakayofanywa Na Hao Siyo Rahisi
Ukifika tandahimba unaweza kughairi nini kwamba kuna umaskini sana?Ukifika Tandahimba,Nanyamba mbona unaweza kughairi,,,,kuna namtumbo
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Mimi nimewahi kumsikiaMwaka gani?? Unaweza share nasisi hii kitu? Magu sijawahi msikia akisema hii kitu!
Kwani manyau nyau na manabii na mashehe na mapadri tofauti ipo wapi zote si imani tuuHuyu jamaa kwa ndumba yuko vizur sana nlishapewa na mtu anayekaa jiran yake Kinyerezi mtaa wa Zimbiri jamaa analeta Makalumanzila Mchana Kweupe wamepiga makaniki yao meusi wanafanya yao bila stress
Ahsante Mkubwa, ila umewaita wajukuu je wewe nini mkubwa kiasi hiko au ni kinyume chake wewe ni mjukuu wa mmoja kati ya hao.Huyu kimaadili ya uongozi na ubinadamu wake huwa namfananisha na mjukuu wangu Mizengo Kayanza Peter Pinda. Hawa watu wakati mwingine unasema pengine walikosea kuingia kwenye Siasa ila walitakiwa wawe viongozi kwenye nyumba zetu za Ibada. Yaani wako kwenye level ile ambayo binadamu wa kawaida kabisa aliyeumbwa na Mungu, anatakiwa kuwa.
Una jicho kali, angalau na wewe umeliona hilo. Huyu mtu mimi pia nampenda sana
Kwa hiyo tuseme alionesha uwajibikaji?Hapana! Sio kwenye sekeseke la Lissu bwana! Akiwa Waziri wa Tamisemi, alitajwa kuhusika na uzembe kwenye report ya Prof Osro kuwa akiwa Waziri wa Madini enzi wa Jakaya aliachia mali zetu zikasepa tu hivi hivi! Ndiyo maana aliachia ngazi yeye na Prof Muhongo