chibuga mugeta
JF-Expert Member
- Jun 29, 2012
- 1,176
- 1,054
Huna akili japo una degree Cheti hujielewi kiazi km kiazi mbatata! Hata km analipwa anauliza hoja ya msingi Kuna shida gani,hoja ijibiwe Kwa hoja sio taarabu haya ni maisha ya watuGerald Hando...paid journalist...wanarudia zoezi lile lile yeye na Kipanya walivyofanya kazi maalum Kwa Dr Idrisa..haadi akatolewa...wakaingia watu wa Ngeleha zikapigwa bilioni 500...