Gerson Msigwa, Chato hakuna Ikulu

MKUU kuna viumbe humu watasifia kila kitu,, tena kibaya zaidi sio kwa hoja Bali vitisho na matusi,,,utaitwa unatumiwa na na beberu,,,mara Mke wa Mbowe,,hawawezi kujenga hoja kabisa... mfano Bia yao,,
Lakini wajue tu historia haisahau. Tena siku hizi technology inatusaidia ku-document kila kitu.
 
Alipo Rais na ofisi yake ipo hapo aweza idhinisha chochote au toa tamko au teua nk mentality ya kudhani ofisi ya Rais ni jengo lililo mahali Fulani sio sahihi
Unapotosha kwa makusudi. Rais JPM au bwana JPM hana mamlaka ya kuamua akafanyie official business wapi. Ikulu ni State House na kwa sasa kisheria ni either Magogoni pale au Chamwino. Hili wala halihitaji mabishano.

Hii dhana kwamba Rais anaweza kujiamulia chochote anachotaka ni matokeo ya kuwa na very weak institutions. Tunaweka precedence mbaya sana na ipo siku Muha akiingia Ikulu pale anaweza akaamua "kuihamishia Ikulu" Buhigwe huko na watetezi wa kila kitu mkaendelea kutetea huo uvundo
 
HII NI LUGHA TU YA UTANGAZAJI NA UANDISHI KUMAANISHA WAPI MUANDISHI YUPO. KWA WALE WANAOIKUMBUKA RTD SIYO WAGENI KUSIKIA LUGHA KAMA HIZI MFANO UTASIKIA " AHMED JONGO MICHEZO RADIO TANZANIA BABATI" HAPA HAIMAANISHI KWAMBA RADIO TANZANIA JENGO LAKE LIPO BABATI ILA JONGO AMERIPOTI AKITOKEA BABATI NA POSSIBLE AMEKWENDA KIKAZI AKITOKEA DARESALAM PUGU ROAD YALIPOKUWEPO MAKAAZI RASMI YA RTD. THAT MEANS MSIGWA AMETOA TAARIFA TU YA KIKAZI WAKATI AKIWA CHATO HAIMAANISHI KWAMBA IKULU IPO CHATO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesoma barua ya uteuzi wa Naibu waziri wa afya,naona msemaji wa Ikulu ameandika akiwa Ikulu chato,nikajiuliza maswali mengi mojawapo ikiwa ni:- Kama imechukua muda mfupi kuhamia Ikulu ya chato,nini kinatufanya tushindwe kwa miaka kadhaa kuhamia Ikulu ya Dodoma?

Suala la kuhamia Dodoma limekuwa la kubeep beep tu lakini kwenda chato imekuwa ni la haraka sana,lini yalifanyika maandalizi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Barua ya uteuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vij
Ikulu ni ofisii ya Raisi sio jengo .ofisi ya Rais inaweza kuwa hata kwenye hema au gari au laptop
Vijana wa ccm hamjawahi kuwa na akili KABISA, Kama na chato mnashadadia ni ikulu duh basi hakika Taifa letu lina wajinga wengi😂
 
Dah, yaani Magufuli ameifanya nchi kama mali yake binafsi.
Ni Watanzania kupitia CCM wamempa Magufuli nchi na yeye kwa kutoelewa amepokea na kufanya hata Serikali na wafanyakazi pia ni wa kwake ndo maana mambo mengi hayaendi ingawa yanasemwa sana kwa sababu wote wanamsikiliza yeye tu. Bahati mbaya hana uwezo wa mengi sana hata ya kawaida kabisa. Hii inamfanya aseme na kutenda mambo ya ajabu mpaka ya kitoto.
 
Anzishia uzi hii comment.. Inafikirisha sana
 
Shida yako Kupata like kwa Vibendera wenzie
Hakuna jambo la maana kuwasaidia Watanzania ulilo leta hapa
Upuuzi mtupu
 
Kwani kaenda kuhamishia makazi huko anapenda, si kuna jambo limemfukuza huku daslam.
 
Shida yako Kupata like kwa Vibendera wenzie
Hakuna jambo la maana kuwasaidia Watanzania ulilo leta hapa
Upuuzi mtupu

Hiki ulicho comment wewe kinawasaidia watanzania wangapi?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Imeandikwa hivi:- Mkurugenzi wa mawasiliano,Ikulu chato.Na siyo Mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu, chato.ANGALIA VIZURI HIYO TOFAUTI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kula Karoti mkuu na mchicha kwa wingi. Chato IPO kwa Chini

Ingekuwa hivi
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais (Cheo)
Ikulu Chato (Alipo)

Na Si

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu (Cheo)
Chato (Alipo)

Chadema ishaisha hata akili zimeondoka na sakina David Silinde.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…