herzegovina
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 3,143
- 4,724
Na ndio shida ilipo. Anataka kila kitu aamue yeyeNi Watanzania kupitia CCM wamempa Magufuli nchi na yeye kwa kutoelewa amepokea na kufanya hata Serikali na wafanyakazi pia ni wa kwake ndo maana mambo mengi hayaendi ingawa yanasemwa sana kwa sababu wote wanamsikiliza yeye tu. Bahati mbaya hana uwezo wa mengi sana hata ya kawaida kabisa. Hii inamfanya aseme na kutenda mambo ya ajabu mpaka ya kitoto.
Makabila mengine ndio maana umasikini umewajaa hawapendani Sasa hebu fikiria hiyo taarifa kaito Gershoni Msigwa wa Ikulu na anatoka kimoja na Msigwa mbunge
Halafu Msigwa anamkejrli Msigwa mwenzie!!
Pili Mtoto wa Magufuli kaoa kwa akina Msigwa huyo huyo mbunge hata heshima kidogo tu kwa baba mkwe wake Msigwa Hana!!! Anakejeli
Ushauri wangu watu wasioe kutoka vikabila vya ajabu Kama vya mchungaji Msigwa
Hapo yangekuwa makabila mengine Kama wachaga wasingethubutu kukebehi hivyo Kama Magufuli angekuwa mkwe wao na mkurugenzi wa Ikulu angekuwa my wa Kwao
Ukweli niseme wazi ukabila Mara ingine ingawa Tanzania tunaupiga Vita lakini mimi. Napendekeza iendelee kwa baadhi ya makabila. Kabila la Msigwa ni vizuri wawe wakioana wao kwa wao wasipandikize kizazi Cha ajabu ajabu kwenye makabila mengine. Imeniuma Sana wewe fikiria pamoja na uchungaji wake ujinga haujamtoka, heshima Hana hata mkwewe Magufuli Wala kwa ndugu yake Gershoni Msigwa.Sasa imagine hao kabila ya mchungaji Msigwa wasiona dini Hali ikoje
Kama mtu aweza dharau mkwe Rais fikiria mfano hata uwe na maendeleo gani huko kikabila Chao utadhataulika tu. Dawa waachwe wawe wanaoana wao kwa wao mbegu jinga Kama hiyo ibaki kwao
Rais wa wasafi labda!Ikulu ni ofisii ya Raisi sio jengo .ofisi ya Rais inaweza kuwa hata kwenye hema au gari au laptop
Wewe ndo umenena sawasawa kabisa, wengine humu ni ligi tu na kiufupi pale si Ikulu.Pamoja na hayo, kwenye hiyo baua hakuna sehemu imeandikwa ikulu ya Chato, ki uandishi yuko sahihi kabisa kwani kaandika cheo chake na chini kaandika Chato ikimaanisha wakati analipoti tukio alikuwa eneo la Chato hiyo
Wachaaaa, kwahiyo hata akifanyia kazi chooni itakuwa Ikulu kwa muda huo??Ikulu ni ofisii ya Raisi sio jengo .ofisi ya Rais inaweza kuwa hata kwenye hema au gari au laptop
Ata jana alikuja nyumbani na moja kwa moja nasi tukawa ndani ya Ikulu.Alipo Rais na ofisi yake ipo hapo aweza idhinisha chochote au toa tamko au teua nk mentality ya kudhani ofisi ya Rais ni jengo lililo mahali Fulani sio sahihi
Kipara chako ni dawa ya kuvuta samaki huko Congo. Chunga wasije wakaondoka nacho.Kuwa mpinzani la kwanza ni kujitoa ufahamu hata kama jambo unalijua!
Wenyewe wanadai kila alipo rais ni ikuluMsigwa, hii si kweli, Chato hakuna Ikulu. Hapo ni nyumbani kwa Magufuli. Barua yako hii chini is misleading!
Anywaya, usije kulamba kikombe cha Ndugulile.
Weka hicho kifungu cha katiba au sheria husika hapa....Alipo Rais na ofisi yake ipo hapo aweza idhinisha chochote au toa tamko au teua nk mentality ya kudhani ofisi ya Rais ni jengo lililo mahali Fulani sio sahihi
Dodoma ni makao makuu ya nchi, ndio itayokua ikulu kuu, pamoja na kuepo rais anaweza kubaki dar es salaam na akafanya kazi, achia mbali kuamua hata akae arusha kwa muda ataotaka yy na ruhusa ya "watu wake"..Sawasawa kwenu lolote linawezakana sijui ile gharama iliyotumika kujenga Ikulu Dodoma yaweza kuwa matumizi mabaya ya fedha za umma kwa sababu Ikulu zimetapakaa nchi nzima sasa sijui mnatuambiaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmoja uyo mm au nani, mana mi na watanzania wengi tunaipenda sana piaChato naona ndio sehemu inayochukiwa zaidi na Watanzania wengi, ila inapendwa Sana Mtanzania mmoja tu anayetaka Chato kuwe mbinguni
Huulizi ww ukienda kusoma nje mfano au hata hapahapa nchini kwa muda wa mwaka mmoja ,mkeo unamuacha nyumbani unapataje huo unyumba??Yeye Magufuli huko Yuko na mkewe na anapata huduma za kinyumba Kama kawaida. Vipi Msigwa huduma za kinyumba anapatia wapi, maana ana muda mrefu Sana huko, au naye mke wake Yuko huko?
Kama mke wa Msigwa Yuko huko kwa muda wote wa miezi miwili, je Yuko huko kwa gharama za Nani?
Kama ni gharama za serikali je hayo ni matumizi sahihi ya fedha zetu?
Kama Msigwa huko Yuko mwenyewe je huo sio ukiukwaji wa haki za binadamu kwa kukandamiza haki ya kupata burudani kwa mama Msigwa na Msigwa mwenyewe?
Kumbe huwa tunabishana na wajinga! Kwahiyo Katiba iliyo fanunua ikulu ni nini haina maana? Silly mind!Ikulu ni ofisii ya Raisi sio jengo .ofisi ya Rais inaweza kuwa hata kwenye hema au gari au laptop
Hwajaisoma barua wengi wamekimbilia kucomment.Pamoja na hayo, kwenye hiyo baua hakuna sehemu imeandikwa ikulu ya Chato, ki uandishi yuko sahihi kabisa kwani kaandika cheo chake na chini kaandika Chato ikimaanisha wakati analipoti tukio alikuwa eneo la Chato hiyo
Chadema acheni siasa nyepesi jengeni hoja la sivyo October mtafutika