Gerson Msigwa: Huwezi kukurupuka kumfukuza mtu, pengine hata wakaguzi wa CAG nao ukaguzi wao una dosari

Gerson Msigwa: Huwezi kukurupuka kumfukuza mtu, pengine hata wakaguzi wa CAG nao ukaguzi wao una dosari

Msemaji wa Serikali ya Tanzania, Gerson Msigwa amesema kwamba ni vema Wadau wakavuta subira badala ya kutaka kila aliyetajwa kwenye ripoti ya CAG achukuliwe hatua, yapo maeneo ambayo ni lazima yapitiwe upya ili kujiridhisha na kila lililotajwa.

Amedai kwamba unaweza kumchukulia mtu hatua kumbe hana makosa na pengine ripoti ya CAG ndio iliyokosewa.

Toa Maoni yako.
Kama kawaida yao washaanza yale ya kusafishana! Hawa wanaona raia kama misukule. Possibly we are! Maana wangeshatoka madarakani...
 
Msemaji wa Serikali ya Tanzania, Gerson Msigwa amesema kwamba ni vema Wadau wakavuta subira badala ya kutaka kila aliyetajwa kwenye ripoti ya CAG achukuliwe hatua, yapo maeneo ambayo ni lazima yapitiwe upya ili kujiridhisha na kila lililotajwa.

Amedai kwamba unaweza kumchukulia mtu hatua kumbe hana makosa na pengine ripoti ya CAG ndio iliyokosewa.

Toa Maoni yako.
Kati ya CAG na Msigwa, Nani ni mtaalamu wa Ukaguzi!? Sasa tumsikilize CAG au Msigwa!? Au Msigwa nae ana mamlaka ya kumkagua CAG!!??
 
Msemaji wa Serikali ya Tanzania, Gerson Msigwa amesema kwamba ni vema Wadau wakavuta subira badala ya kutaka kila aliyetajwa kwenye ripoti ya CAG achukuliwe hatua, yapo maeneo ambayo ni lazima yapitiwe upya ili kujiridhisha na kila lililotajwa.

Amedai kwamba unaweza kumchukulia mtu hatua kumbe hana makosa na pengine ripoti ya CAG ndio iliyokosewa.

Toa Maoni yako.
Tayari!!! Bila mabadiliko ya kwel hawa watu wataifilisi Nchi!!
 
Hapana sijasema hivyo, ofisi ya CAG ni muhimu mno, yeye ndio jicho la bunge. Ninachokisema ni watu waelewe kazi ya CAG, ni jicho la bunge na sio kwamba yeye ndio Bunge.

Huwezi kutumia ripoti ya CAG kuhukumu watu hapohapo, watu hawatatotendewa haki. Na uzoefu wa miaka ya nyuma unaonesha kuna baadhi ya hoja huwa zinakuwa hazina uzito wa kuitwa 'upigaji', zinafutwa na CAG anaridhia zifutwe kule bungeni.

Pia kuna hoja ambazo zinaibua wizi wa kweli, na huwa zinafuatiliwa vuzuri sana, tena mwaka unaofuata CAG huwa anaanza na hizo kuhakikisha kuwa tatizo halijajirudia.

Kinachotakiwa ni utaratibu kamili ufuatwe, Spika alijaribu kueleza hilo lakini watu wakawa moto kwelikweli, akatumia busara kukaa kimya, japo alikuwa sahihi.

Imagine kama ungekuwa ukikamatwa na polisi unaambiwa toa maelezo, maelezo yako yasipo waridhisha basi unahukimiwa hapohapo na polisi haohao! Unadhani haki inatendeka kwa utaratibu huo?

Likewise CAG anaona mapungufu, anaomba ufafanuzi kutoka kwa wahusika, asiporidhishwa na ufafanuzi anaandika kuwa ameona kasoro moja mbili tatu. Sasa kitendo cha CAG kuandika sio hukumu, ni tuhuma.
Kama ni hivyo,Sasa kwa Nini wao Bunge wachukuwe muda mrefu sana kujadili report ya CAG!?
 
Msemaji wa Serikali ya Tanzania, Gerson Msigwa amesema kwamba ni vema Wadau wakavuta subira badala ya kutaka kila aliyetajwa kwenye ripoti ya CAG achukuliwe hatua, yapo maeneo ambayo ni lazima yapitiwe upya ili kujiridhisha na kila lililotajwa.

Amedai kwamba unaweza kumchukulia mtu hatua kumbe hana makosa na pengine ripoti ya CAG ndio iliyokosewa.

Toa Maoni yako.
1. Kama wakifanikiwa kubadilisha maudhui ya ripoti ya CAG itakuwa ndio ripoti pekee ya rejea kubatilisha ripoti zote zilizowahi kutolewa na ofisi ya CGA hivyo Kichere atakuwa amekosa sifa za kuendelea kushukilia ofisi hiyo maana inavyppnesha anatumika kisiasa kuchafua watusmishi na kuwapamba wengine kwa maslahi binafsi.

Atakuwa ndio CGA wa kwanza kuja kufunguliwa mashitaka ambayo hataamini kwanini alikuwa anajipendekeza kwa wanasiasa na kuandika ripoti za uongo wakati akijua maudhui yake hayakuwa na ukweli wowote.
 
1. Kama wakifanikiwa kubadilisha maudhui ya ripoti ya CAG itakuwa ndio ripoti pekee ya rejea kubatilisha ripoti zote zilizowahi kutolewa na ofisi ya CGA hivyo Kichere atakuwa amekosa sifa za kuendelea kushukilia ofisi hiyo maana inavyppnesha anatumika kisiasa kuchafua watusmishi na kuwapamba wengine kwa maslahi binafsi.

Atakuwa ndio CGA wa kwanza kuja kufunguliwa mashitaka ambayo hataamini kwanini alikuwa anajipendekeza kwa wanasiasa na kuandika ripoti za uongo wakati akijua maudhui yake hayakuwa na ukweli wowote.
Ngoja tuone
 
Msemaji wa Serikali ya Tanzania, Gerson Msigwa amesema kwamba ni vema Wadau wakavuta subira badala ya kutaka kila aliyetajwa kwenye ripoti ya CAG achukuliwe hatua, yapo maeneo ambayo ni lazima yapitiwe upya ili kujiridhisha na kila lililotajwa.

Amedai kwamba unaweza kumchukulia mtu hatua kumbe hana makosa na pengine ripoti ya CAG ndio iliyokosewa.

Toa Maoni yako.
Majizi ndiyo yamejazana serikalini kuanzia jumba jeupe mpaka mashinani. Yanalindana chini ya lichama lao kongwe lililogeuka kuwa la mafisadi tu.
 
Mh Jakaya Kikwete wakati huo akiwa foreign minister aliwahi kuwaeleza BBC kuhusu ufisadi ulioibuliwa na CAG ktk ubalozi wa Italy kuwa "kazi ya auditor ni kuibua hoja na kazi ya serikali ni kuzijibu". Sasa kusema wanaotajwa na ripoti ya CAG tayari wanastahili adhabu ni ku-miss the point. Ndio maana kuna kamati za mahesabu za bunge. Na kama tayari kama waliotajwa tayari ni wahalifu kusingekuwa na haja ya kujadili ripoti hiyo bungeni. Umewahi kusikia bunge likijadili hukumu iliyotolewa na mahakams?
Yani hoja km yako, zinatia kichefu chefu. Hivi unajua maana collective responsibility? Ebu nikuulize, wakati Mwinyi anajiuzulu nafasi yake alikuwa ametenda yeye kosa au watendaji wake wa chini? Mzee Lowasa wakati anajiuzulu alikuwa ametenda yeye makosa au watendaji wake wa chini? Walimu 6 huko Tabora waliotuhumiwa kuvujisha mtihani na hatimae kukaa jela takribani miaka mitatu na baadae mahakama kusema hawakuwa na makosa na kuachiliwa hivi majuzi wao hawakuwa watu?

Kinachosemwa na wananchi ni kuona waliotuhumiwa wote wanaachia ofisi kupisha uchunguzi juu ya tuhuma zao, na ikibainika hawakuwa na makosa wataendelea na kazi km awali. Kwanini wao wana dinda kuachia ofisi kwani ni mali Yao. Kwani hao niliowatolea mfano hapo juu wao hawakuwa na moyo wa nyama?

Achana na ushaabiki wa kisiasa kwenye mambo ya msingi na nyeti kuliko hata nyeti ulizonazo. Watu wajifunze kuishi bila gari za serikali, mafao ya serikali, nyumba za serikali, na kupenda ubwanyenye mbele ya Watanzania wenzao. Tabia za baadhi ya viongozi wa Kitanzania kupenda kunyanyua makwapa na kupandisha mabega huku wakilamba asali kwa ncha ya kisu ndivyo vinavyosababisha ugumu wa kujiuzuru kwa manufaa ya umma pindi anapotuhumiwa.

Nimemaliza.
 
Kwa utetezi dhaifu kiasi hicho, Bw. Msigwa, bila kujua au kukusudia, amewatia hatiani watuhumiwa wote wa ripoti ya CAG pamoja mamlaka za uteuzi/uwajibikaji. Incredible!!!

Tupeni Katiba mpya haya tutayashughulikia kikamilifu 100%, once and for all.
 
Hii nchi vitimbi vingi sana.Huko juu wenzetu wanaokula na kusaza sijui kama wanaifikiria Tz
 
Back
Top Bottom