Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
Yaani kukalia tu kiti cha Abbas nae amekuwa na akili fichu.UFAFANUZI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameelekeza Televisheni za Mtandaoni (Online TV) tu ndio zifunguliwe na SIO vyombo vya habari vingine yakiwemo magazeti vilivyofungiwa kwa mujibu wa Sheria.
Gerson Msigwa
Msemaji Mkuu wa Serikali