Gerson Msigwa: Rais ameagiza kufunguliwa kwa Online TV tu na sio Vyombo vingine vya Habari

Yafungulieni na Magazeti jamani
 
Hawa wasaidizi wa Mh Rais ndio walio fungia hivi vyombo vya habari. Hawakufurahia tamko la jana. Hivyo wanetafuta njia mzunguko kumkwamisha mama.
Nashauri Mh Rais hii wizara ya habari ibadilishiwe viongozi. Na zaidi, asiwape nafasi hawa wapiga fiimbi wa Jiwe
 
... tusipodhibiti...
 
Amegeuka 360°,haya bwana.
 
Kwani hayo magazeti yamekosea nini, maana mama anacholenga ni ajira za watu
 
Huyo Msigwa kaandika hapa "vyomb vya habari vilivyo fungiwa". Huyo dogo ata poteza hiyo Ofisi akiendelea kutumia mawazo na kiburi cha Abbas
 
Na hizo online TV zilifungiwa bila vifungu vya sheria? Hadi zinafunguliwa bila vifungu
 
Uzuri wa mama yeye anafanya maamuzi tu...utasikia Abas kawa katibu kata
 
Lakini hao ndio wasemaje rasmi wa serikali, na hawawezi kusema bila ufafanuzi wa mwenye kauli, yaani rais wetu Samia. Turidhike kwamba alichagua aina ya chombo cha habari cha kufunguliwa - viji televisheni vya mkononi.

Si vyombo vyote, yaani redio, televisheni, magazeti, majarida na internet kwa ajili ya mitandao ya kijamii
 

 
Enzi za uhai wa jiwe ungekuwa ushareply kunipoteza
Umekuwa wa bardiii
Haya rudi kijijini kwenu ukalime
Mwenge unaanza kukimbizwa,nitakupa ratiba urudi nao kama ulivyokuleta mjini.
Wewe upotezwe kwa lipi? Wakati ni utopolo tuu...! Sisi tunaendelea kupigakazi na kula raha zetu wewe endelea na utopolo wako tu.
 
Kwahio waliomsikia ni Msigwa na Abbas peke yao? Magazeti yote leo Tanzania yameripoti tofauti na Abas na huyu Msigwa. Wallah CCM ni ile ile
Tatizo bavicha mnataka mawazo yenu ndio yawe msimamo wa selikali.

Samia alisema nanukuu,
"kuna vijivyombo vya habari mlifungia hivi vi tv vya mikononi hivi, naomba vifungulieni lakini waviendeshe kwa kufuafa sheria. Na makosa yao ya kuviendesha bila kufuata sheria yaainishwe na adhabu zake"

Kama mna kumbuka hivyo vi tv vilifungiwa sababu ya usajili na si kukiuaka maadili ya utangazaji na uandishi kama ilivyo kwa magazeti yaliyofungiwa.
 
Hao wapuuzi wawili ni mataga wakuu ambao mpaka sasa akili zao hazijakubali kuwa jiwe limeisha.
Wewe ni mpumbavu!

Kwa akili yako unafikiri Msigwa anaweza kusema kitu kutoka kichwani mwake?

[emoji23][emoji23][emoji23]Mbona mnajipendekeza sana kwa mama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…