Wewe kula kulala nani akutishie maisha? Watu wana deal na watu wa maana siyo wanaokaa kwa shemeji zao.Afisa kipenyo uchwara naona umekoma kututishia maisha sasa.
Umekuwa wa bardiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kula kulala nani akutishie maisha? Watu wana deal na watu wa maana siyo wanaokaa kwa shemeji zao.Afisa kipenyo uchwara naona umekoma kututishia maisha sasa.
Umekuwa wa bardiii
Enzi za uhai wa jiwe ungekuwa ushareply kunipotezaWewe kula kulala nani akutishie maisha? Watu wana deal na watu wa maana siyo wanaokaa kwa shemeji zao.
Subordinates huwa hawahitaji kupewa barua, ni kazi yao kutafsiri maagizo yake. Wewe na mimi hatuna nafasi ya kuhoji kwa sababu hakuna mtu wa kumhoji.Barua aliyopewa Msigwa kutoka ofisi ya Rais inayoelezea jambo hilo iko wapi ?
Hata hyo katib mpya ikija hwa jamaaa watakanyaga tu mnk hata hii ya sas inakiukwa tu na rai wetu Ni waoga kudai haki hyo ya msingi kbsa ktk nnchiDawa ni katiba mpya tu haya maccm linapokuja swala la maslahi hua yanakua kitu kimoja
Naona washalishana sumu na Abbas
Ni tv zipi kwanza mie hata sikujua kama kuna tv zilifungiwa....Hivo vijitv vilikua na maajabu gani hadi vifungiwe?
What about the Press Release which was signed by Msigwa?Magazeti lisening skills zero .Raisi alitamks kabisa TV za mitandaoni wao hilo la magazeti walilitoa wapi? nenda youtube hotuba nzima ya Raisi imo alitaja online Tv tu
Kwahiyo Rais aliongea kiChina, halafu Msigwa ndio mkalimani, sio?
Magazeti tu! Ndo yanakufanya ulalame kiasi hiki? Mbona husomi vitabu? Ulitakiwa kuijua CCM na kamati zake. sasa kama hadi umri huu wa JF bado huijui CCM, serikali na system za utawala, una mapungufu. Jitahidi sana kuinua akili.Abbas na Msigwa bado wa elements za mwamba yule sasa wasije wakalaumu baadaye.
Udhaifu wa rais samia unaendelea kujionesha kabla hata hajamaliza hata mwez mmoja. Huyu mama kuna uwezekano mkubwa akatawala hadi 2025 tuuuuu.UFAFANUZI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameelekeza Televisheni za Mtandaoni (Online TV) tu ndio zifunguliwe na SIO vyombo vya habari vingine yakiwemo magazeti vilivyofungiwa kwa mujibu wa Sheria.
Gerson Msigwa
Msemaji Mkuu wa Serikali
Hawa toxin wa jiwe awakutakiwa kabisa kupewa nafasi.Mentality zao bado zimefungwa na falsafa za jiwe.Wameuliza. Na watakuwa wamepitia na sheria na ndo Kumwambia mama unasemaje. Ndo msigwa kaja na jibu. Ila mnanipa raha sana. Zamani kidogo mngesema Msigwa au Abassi yeye mjumbe tu. Leo Wajumbe ndo wasemaji why. Mzimu JPM unaandama nafsi zenu. JPM amekufa. We are dealing now with our new Madam President/ Präsidentin. Tulieni.
Tufungulieni Twitter please. Hatuna VPN. Bando zimepanda bei tusizipoteze Kwa Facebook na Insta.UFAFANUZI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameelekeza Televisheni za Mtandaoni (Online TV) tu ndio zifunguliwe na SIO vyombo vya habari vingine yakiwemo magazeti vilivyofungiwa kwa mujibu wa Sheria.
Gerson Msigwa
Msemaji Mkuu wa Serikali