Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well Noted MKUUMh Samia tulishamuonya bila kutimua hawa mamluki wa jiwe akawaacha wakajipanga atang'olewa yeye , ni lazima angejiuliza kwanini wote waliokuwa wanamuunga mkono jiwe wana nyumba Chato ? yaani kwanini walijenga nyumba za kufikia Chato ili hali si kwao ?
P kuna akitumia akili zake bila kushurutishwa aisee Yuko vizur sana pia Yuko flexiblePasikali Mayalla anza KUPIGA JARAMBA.......
Jingalau hii ishu ni kupunguza credit kwa Mh. Rais au kuna kundi linataka kujimilikisha Rais wetuweka video ya maelekezo ya Rais tuondikane na uchochezi
Leta video evidence tujadiliJingalau hii ishu ni kupunguza credit kwa Mh. Rais au kuna kundi linataka kujimilikisha Rais wetu
Mh. ni muungwana sana unaangalia sawa vijana wakatafuta maisha na waliaminiwa angalau waendelee kumsaidia kumbe jamaa wana yao. Sometimes wanamfundisha mama Roho mbayaMh Samia tulishamuonya bila kutimua hawa mamluki wa jiwe akawaacha wakajipanga atang'olewa yeye , ni lazima angejiuliza kwanini wote waliokuwa wanamuunga mkono jiwe wana nyumba Chato ? yaani kwanini walijenga nyumba za kufikia Chato ili hali si kwao ?
Tangu lini Chadema wakaitakia mema ccm hadi wajipe kazi ya kumsifia rais Samia?.Sukuma Gang wanaharibu nchi
una akili sana !Well Noted MKUU
Jamaa anajisahau sana kama ni Mtendaji sio msemajMsemaji wa wizara ni waziri
Yeye Abbas kaongea kama nani?
Au bado anajiona msemaji wa serikali?
Mnajuaje kama walimuuliza na kujiridhisha kabla ya kufanya maamuzi?Suala la Abbas kutafsiri kauli ya Rais kuwa Magazeti sio vyombo vya habari imenisikitisha sana lakini Nimesikitika zaidi kuona RAIS. SAMIA SULUHU kaangukia kwenye mtego wa kuchukulia poa Viongozi kudharau na kubadilisha kauli zake jinsi wanavyotaka wao na yeye anaamua kufunika kombe kwa kufata mkumbo wa mtu aliebadilisha kauli zake...