Stendi ya Magufuliuwanja wa netball ndo uitwe hivyo,,lakini uwanja wa kabumbu uitwe jina la mzee wa CHATO,,manake sijasikia kuna ki2 kimejengwa na kupewa jina lake!!!!......alaf mzee baba alikuwa mnyama in blood!!! alaf alikimbiza sana kwenye miundo mbinu!!! au mnasemaje?
Wewe ni MUONGO, nasikitika kukuita hivyo lakini nimelazimika kwa sababu hakuna jina lingine unalostahili kuitwa nalo.sio kweli tusipotoshane! Huu uwanja toka umeisha umeitwa kwa jina hilo,labda Kama hujawahi kufika pale
mlango mkuu wa pale Main Stand umeandikwa Benjamin Mkapa stadium since wachina wameujenga! na hata kwenye google ulikuwa ukisomeka mkapa stadium pia,sema tu jina limekuja kurasimishwa rasmi na JPM
Hivyo ndivyo vitu viongozi wetu wanavyowaza, ubinafsi.View attachment 2932791
My Take
Naunga mkono hoja ila prefix ya Dr iondolewe ndio jina litapendeza zaidi.
Pili Mtu apewe maua yake mapema kabla hajafa sio mtu amefariki kama Lowassa ndio mnaanza kujisemesha ooh sijui alijenga nini tutunze historia nk.
Kazi iendelee ππ
View attachment 2932600View attachment 2932601
---
Uwanja huo unaosubiriwa kwa hamu kujengwa Arusha utapewa jina la Rais wa sasa Samia Suluhu Hassan endapo tu atakubali pendekezo hilo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bw. Gerson Msigwa, alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam jana.
βKama Wizara, tunapanga kuupa jina la Uwanja wa Samia Suluhu Hassan baada ya kukamilika kwake endapo atakubali pendekezo hilo.
"Utakuwa uwanja wa kisasa wenye uwezo wa kuchukua watu 30,000 na utakuwa miongoni mwa viwanja vya kuandaa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027," anasema.
Aidha, Msigwa anafichua kuwa kazi za ukarabati katika Viwanja vya Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam zimepangwa kukamilika Agosti 24 mwaka huu.
"Viti vyote 60,000 ndani ya uwanja vitabadilishwa na vipya na niamini, kazi ya kuinua itakapokamilika, ukumbi utaonekana tofauti kabisa," anasema.
Anaongeza kuwa zaidi ya 31bn/- zimetengwa kwa ajili ya ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Naam wazo zuri.View attachment 2932791
My Take
Naunga mkono hoja ila prefix ya Dr iondolewe ndio jina litapendeza zaidi.
Pili Mtu apewe maua yake mapema kabla hajafa sio mtu amefariki kama Lowassa ndio mnaanza kujisemesha ooh sijui alijenga nini tutunze historia nk.
Kazi iendelee ππ
View attachment 2932600View attachment 2932601
---
Uwanja huo unaosubiriwa kwa hamu kujengwa Arusha utapewa jina la Rais wa sasa Samia Suluhu Hassan endapo tu atakubali pendekezo hilo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bw. Gerson Msigwa, alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam jana.
βKama Wizara, tunapanga kuupa jina la Uwanja wa Samia Suluhu Hassan baada ya kukamilika kwake endapo atakubali pendekezo hilo.
"Utakuwa uwanja wa kisasa wenye uwezo wa kuchukua watu 30,000 na utakuwa miongoni mwa viwanja vya kuandaa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027," anasema.
Aidha, Msigwa anafichua kuwa kazi za ukarabati katika Viwanja vya Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam zimepangwa kukamilika Agosti 24 mwaka huu.
"Viti vyote 60,000 ndani ya uwanja vitabadilishwa na vipya na niamini, kazi ya kuinua itakapokamilika, ukumbi utaonekana tofauti kabisa," anasema.
Anaongeza kuwa zaidi ya 31bn/- zimetengwa kwa ajili ya ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa.
labda apewe Loliondo kwa mwarabu. OBSAli Hassan Mwinyi ndiye hana vitu vingi vinavyoitwa kwa jina lake.
mm muongo ila Wewe nasikitika kusema u mpumbavu,uwanjani hujawahi kwenda na unaelimishwa kisha unang'ang'aniaWewe ni MUONGO, nasikitika kukuita hivyo lakini nimelazimika kwa sababu hakuna jina lingine unalostahili kuitwa nalo.
Ule Uwanja ulipokamilika tu kujengwa uliitwa kwa jina la Uwanja wa Taifa (National Stadium). Kulikuwa na mjadala mkubwa kuhusu jina la kuubatiza uwanja huo, watu wengi walipendekeza jina la B.W. Mkapa wakati huo, ndipo Rais B. W. Mkapa alijitokeza na kukataa uwanja huo uitwe kwa jina lake. Badala yake alipendekeza uitwe kwa jina la Uwanja wa Taifa, na uliitwa hivyo wakati huo hadi alipofariki dunia ndipo Rais Magufuli aliubadilisha jina na kuwa Uwanja wa B. W. Mkapa.
Rekebisha kidogo hapo iwe and her family unlimited.Waongezee and his family
Jina la mme wake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukijengwa mwingine uitwe Abdul Hafidh Ameir.
Mk hakutaka kiki zaSaizi unaitwaje? Akijenga Benjamin ni sawa ila akijenga Samia sio sawa si ndio? ππππππππ€£π€£π€£π€£π€£
Bongo raha jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nini Uwanja, hata nchi wakitaka waibadilishe jina waiite Jamhuri Ya Muungano wa Samia.
Abdul ni mwanawe lakini kwakuwa inaonekana viongozi wa nchi hii wanapenda utukufu wagawane tu majina ya vitu vya umma kwa kutumia majina ya familia zao.Jina la mme wake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanini wasiseme Samia atoa $286m kujenga Uwanja wa Dr Samia Suluhu Hassan , badala ya kusema sirikali imetoa . Maana tunaambiwa madarasa, madaraka , yamefanyika sababu Mama ametoaView attachment 2932791
My Take
Naunga mkono hoja ila prefix ya Dr iondolewe ndio jina litapendeza zaidi.
Pili Mtu apewe maua yake mapema kabla hajafa sio mtu amefariki kama Lowassa ndio mnaanza kujisemesha ooh sijui alijenga nini tutunze historia nk.
Kazi iendelee ππ
View attachment 2932600View attachment 2932601
---
Uwanja huo unaosubiriwa kwa hamu kujengwa Arusha utapewa jina la Rais wa sasa Samia Suluhu Hassan endapo tu atakubali pendekezo hilo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bw. Gerson Msigwa, alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam jana.
βKama Wizara, tunapanga kuupa jina la Uwanja wa Samia Suluhu Hassan baada ya kukamilika kwake endapo atakubali pendekezo hilo.
"Utakuwa uwanja wa kisasa wenye uwezo wa kuchukua watu 30,000 na utakuwa miongoni mwa viwanja vya kuandaa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027," anasema.
Aidha, Msigwa anafichua kuwa kazi za ukarabati katika Viwanja vya Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam zimepangwa kukamilika Agosti 24 mwaka huu.
"Viti vyote 60,000 ndani ya uwanja vitabadilishwa na vipya na niamini, kazi ya kuinua itakapokamilika, ukumbi utaonekana tofauti kabisa," anasema.
Anaongeza kuwa zaidi ya 31bn/- zimetengwa kwa ajili ya ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Ukisema wewe inatoshaKwanini wasiseme Samia atoa $286m kujenga Uwanja wa Dr Samia Suluhu Hassan , badala ya kusema sirikali imetoa . Maana tunaambiwa madarasa, madaraka , yamefanyika sababu Mama ametoa
Hii hulka watanzania wengi tunayo, si viongozi tu. Tazama majina mitaa iliyopewa kwenye mpango wa vibao vya mitaa. Si nadra kukuta mtaa umebatizwa jina la mmoja wa wakazi wake, mara nyingi mwenye nguvu.Abdul ni mwanawe lakini kwakuwa inaonekana viongozi wa nchi hii wanapenda utukufu wagawane tu majina ya vitu vya umma kwa kutumia majina ya familia zao.