Gerson Msigwa: Uwanja Mpya wa Mpira Utakojengwa Arusha Utaitwa Samia Suluhu Hassan Stadium

Gerson Msigwa: Uwanja Mpya wa Mpira Utakojengwa Arusha Utaitwa Samia Suluhu Hassan Stadium

uwanja wa netball ndo uitwe hivyo,,lakini uwanja wa kabumbu uitwe jina la mzee wa CHATO,,manake sijasikia kuna ki2 kimejengwa na kupewa jina lake!!!!......alaf mzee baba alikuwa mnyama in blood!!! alaf alikimbiza sana kwenye miundo mbinu!!! au mnasemaje?
Stendi ya Magufuli
 
Utajengwa pale pale Sheik Amri Abeid au eneo lingine? na kama ni Pale pale Si uitwe Jina hilo hilo ila liongezewe neno New Sheik Amri Abeid?

Tuwaenzi hawa waasisi hata kwa Style hii, kama sio wao tusingefika tulipo au tungekuwa mbali zaid kuliko tulipo. Tulivyo ni Jitihada zao au uzembe wao.
 
sio kweli tusipotoshane! Huu uwanja toka umeisha umeitwa kwa jina hilo,labda Kama hujawahi kufika pale
mlango mkuu wa pale Main Stand umeandikwa Benjamin Mkapa stadium since wachina wameujenga! na hata kwenye google ulikuwa ukisomeka mkapa stadium pia,sema tu jina limekuja kurasimishwa rasmi na JPM
Wewe ni MUONGO, nasikitika kukuita hivyo lakini nimelazimika kwa sababu hakuna jina lingine unalostahili kuitwa nalo.
Ule Uwanja ulipokamilika tu kujengwa uliitwa kwa jina la Uwanja wa Taifa (National Stadium). Kulikuwa na mjadala mkubwa kuhusu jina la kuubatiza uwanja huo, watu wengi walipendekeza jina la B.W. Mkapa wakati huo, ndipo Rais B. W. Mkapa alijitokeza na kukataa uwanja huo uitwe kwa jina lake. Badala yake alipendekeza uitwe kwa jina la Uwanja wa Taifa, na uliitwa hivyo wakati huo hadi alipofariki dunia ndipo Rais Magufuli aliubadilisha jina na kuwa Uwanja wa B. W. Mkapa.
 
View attachment 2932791
My Take
Naunga mkono hoja ila prefix ya Dr iondolewe ndio jina litapendeza zaidi.

Pili Mtu apewe maua yake mapema kabla hajafa sio mtu amefariki kama Lowassa ndio mnaanza kujisemesha ooh sijui alijenga nini tutunze historia nk.

Kazi iendelee 👇👇
View attachment 2932600View attachment 2932601

---
Uwanja huo unaosubiriwa kwa hamu kujengwa Arusha utapewa jina la Rais wa sasa Samia Suluhu Hassan endapo tu atakubali pendekezo hilo.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bw. Gerson Msigwa, alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam jana.

“Kama Wizara, tunapanga kuupa jina la Uwanja wa Samia Suluhu Hassan baada ya kukamilika kwake endapo atakubali pendekezo hilo.

"Utakuwa uwanja wa kisasa wenye uwezo wa kuchukua watu 30,000 na utakuwa miongoni mwa viwanja vya kuandaa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027," anasema.

Aidha, Msigwa anafichua kuwa kazi za ukarabati katika Viwanja vya Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam zimepangwa kukamilika Agosti 24 mwaka huu.

"Viti vyote 60,000 ndani ya uwanja vitabadilishwa na vipya na niamini, kazi ya kuinua itakapokamilika, ukumbi utaonekana tofauti kabisa," anasema.

Anaongeza kuwa zaidi ya 31bn/- zimetengwa kwa ajili ya ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Hivyo ndivyo vitu viongozi wetu wanavyowaza, ubinafsi.
 
View attachment 2932791
My Take
Naunga mkono hoja ila prefix ya Dr iondolewe ndio jina litapendeza zaidi.

Pili Mtu apewe maua yake mapema kabla hajafa sio mtu amefariki kama Lowassa ndio mnaanza kujisemesha ooh sijui alijenga nini tutunze historia nk.

Kazi iendelee 👇👇
View attachment 2932600View attachment 2932601

---
Uwanja huo unaosubiriwa kwa hamu kujengwa Arusha utapewa jina la Rais wa sasa Samia Suluhu Hassan endapo tu atakubali pendekezo hilo.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bw. Gerson Msigwa, alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam jana.

“Kama Wizara, tunapanga kuupa jina la Uwanja wa Samia Suluhu Hassan baada ya kukamilika kwake endapo atakubali pendekezo hilo.

"Utakuwa uwanja wa kisasa wenye uwezo wa kuchukua watu 30,000 na utakuwa miongoni mwa viwanja vya kuandaa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027," anasema.

Aidha, Msigwa anafichua kuwa kazi za ukarabati katika Viwanja vya Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam zimepangwa kukamilika Agosti 24 mwaka huu.

"Viti vyote 60,000 ndani ya uwanja vitabadilishwa na vipya na niamini, kazi ya kuinua itakapokamilika, ukumbi utaonekana tofauti kabisa," anasema.

Anaongeza kuwa zaidi ya 31bn/- zimetengwa kwa ajili ya ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Naam wazo zuri.
 
Wewe ni MUONGO, nasikitika kukuita hivyo lakini nimelazimika kwa sababu hakuna jina lingine unalostahili kuitwa nalo.
Ule Uwanja ulipokamilika tu kujengwa uliitwa kwa jina la Uwanja wa Taifa (National Stadium). Kulikuwa na mjadala mkubwa kuhusu jina la kuubatiza uwanja huo, watu wengi walipendekeza jina la B.W. Mkapa wakati huo, ndipo Rais B. W. Mkapa alijitokeza na kukataa uwanja huo uitwe kwa jina lake. Badala yake alipendekeza uitwe kwa jina la Uwanja wa Taifa, na uliitwa hivyo wakati huo hadi alipofariki dunia ndipo Rais Magufuli aliubadilisha jina na kuwa Uwanja wa B. W. Mkapa.
mm muongo ila Wewe nasikitika kusema u mpumbavu,uwanjani hujawahi kwenda na unaelimishwa kisha unang'ang'ania
Sasa yale Maneno ya Pale kwenye mlango mkuu uwanjani nasema uongo hayakuwepo uwanjani?
stupidity to the highest order
 
Jina la mme wake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Abdul ni mwanawe lakini kwakuwa inaonekana viongozi wa nchi hii wanapenda utukufu wagawane tu majina ya vitu vya umma kwa kutumia majina ya familia zao.
 
View attachment 2932791
My Take
Naunga mkono hoja ila prefix ya Dr iondolewe ndio jina litapendeza zaidi.

Pili Mtu apewe maua yake mapema kabla hajafa sio mtu amefariki kama Lowassa ndio mnaanza kujisemesha ooh sijui alijenga nini tutunze historia nk.

Kazi iendelee 👇👇
View attachment 2932600View attachment 2932601

---
Uwanja huo unaosubiriwa kwa hamu kujengwa Arusha utapewa jina la Rais wa sasa Samia Suluhu Hassan endapo tu atakubali pendekezo hilo.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bw. Gerson Msigwa, alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam jana.

“Kama Wizara, tunapanga kuupa jina la Uwanja wa Samia Suluhu Hassan baada ya kukamilika kwake endapo atakubali pendekezo hilo.

"Utakuwa uwanja wa kisasa wenye uwezo wa kuchukua watu 30,000 na utakuwa miongoni mwa viwanja vya kuandaa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027," anasema.

Aidha, Msigwa anafichua kuwa kazi za ukarabati katika Viwanja vya Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam zimepangwa kukamilika Agosti 24 mwaka huu.

"Viti vyote 60,000 ndani ya uwanja vitabadilishwa na vipya na niamini, kazi ya kuinua itakapokamilika, ukumbi utaonekana tofauti kabisa," anasema.

Anaongeza kuwa zaidi ya 31bn/- zimetengwa kwa ajili ya ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Kwanini wasiseme Samia atoa $286m kujenga Uwanja wa Dr Samia Suluhu Hassan , badala ya kusema sirikali imetoa . Maana tunaambiwa madarasa, madaraka , yamefanyika sababu Mama ametoa
 
Kwanini wasiseme Samia atoa $286m kujenga Uwanja wa Dr Samia Suluhu Hassan , badala ya kusema sirikali imetoa . Maana tunaambiwa madarasa, madaraka , yamefanyika sababu Mama ametoa
Ukisema wewe inatosha
 
Abdul ni mwanawe lakini kwakuwa inaonekana viongozi wa nchi hii wanapenda utukufu wagawane tu majina ya vitu vya umma kwa kutumia majina ya familia zao.
Hii hulka watanzania wengi tunayo, si viongozi tu. Tazama majina mitaa iliyopewa kwenye mpango wa vibao vya mitaa. Si nadra kukuta mtaa umebatizwa jina la mmoja wa wakazi wake, mara nyingi mwenye nguvu.
 
Uitwe Arusha stadium au Serengeti arena. Tusipoteze utamaduni ya sehemu husika Kwa maeneo mengi kujaa majina ya wanasiasa.
Kwa mkapa inatosha. Ina maana na mwanza wakijenga uitwe magufuli? Wanasiasa toshekeni na Barabara zilizojaa majina yenu
 
Back
Top Bottom