Gerson Msigwa: Uwanja Mpya wa Mpira Utakojengwa Arusha Utaitwa Samia Suluhu Hassan Stadium

Gerson Msigwa: Uwanja Mpya wa Mpira Utakojengwa Arusha Utaitwa Samia Suluhu Hassan Stadium

My Take
Naunga mkono hoja ila prefix ya Dr iondolewe ndio jina litapendeza zaidi.

Pili Mtu apewe maua yake mapema kabla hajafa sio mtu amefariki kama Lowassa ndio mnaanza kujisemesha ooh sijui alijenga nini tutunze historia nk.

Kazi iendelee 👇👇
View attachment 2932600View attachment 2932601

---
Uwanja huo unaosubiriwa kwa hamu kujengwa Arusha utapewa jina la Rais wa sasa Samia Suluhu Hassan endapo tu atakubali pendekezo hilo.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bw. Gerson Msigwa, alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam jana.

“Kama Wizara, tunapanga kuupa jina la Uwanja wa Samia Suluhu Hassan baada ya kukamilika kwake endapo atakubali pendekezo hilo.

"Utakuwa uwanja wa kisasa wenye uwezo wa kuchukua watu 30,000 na utakuwa miongoni mwa viwanja vya kuandaa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027," anasema.

Aidha, Msigwa anafichua kuwa kazi za ukarabati katika Viwanja vya Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam zimepangwa kukamilika Agosti 24 mwaka huu.

"Viti vyote 60,000 ndani ya uwanja vitabadilishwa na vipya na niamini, kazi ya kuinua itakapokamilika, ukumbi utaonekana tofauti kabisa," anasema.

Anaongeza kuwa zaidi ya 31bn/- zimetengwa kwa ajili ya ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Hela zetu mtu anajipachika jina!!!🙆🙆
 
Umebatizwa kwa jina lake kwa kulazimisha baada ya yeye B. W. Mkapa kufariki dunia, lakini yeye mwenyewe kwa kinywa chake alikataa kabisa wakati akiwa hai.
sio kweli tusipotoshane! Huu uwanja toka umeisha umeitwa kwa jina hilo,labda Kama hujawahi kufika pale
mlango mkuu wa pale Main Stand umeandikwa Benjamin Mkapa stadium since wachina wameujenga! na hata kwenye google ulikuwa ukisomeka mkapa stadium pia,sema tu jina limekuja kurasimishwa rasmi na JPM
 
Hivi kuna obama stadium au donald trump stadium?
hayo yapo Afrika tu,ndio utakuta Moi kasarani stadium sijui, Leopold Senghor stadium sijui, Paul Biya stadium,Allasane Outtara stadium,Felix Heuphoit Boigny, Nelson Mandela stadium
Tena ni kusini mwa jangwa la Sahara ndio imeota mizizi ila ulaya na Marekani huwezi kukuta hiyo!
 
Daraja la Magufuli, Magufuli City Mji wa Serikali,Stendi ya Magufuli nk nk.

Yaani ajenge mwingine harafu jina aitwe ambae hakujenga? Wewe unaona inaingia akilini? Majina yanatolewa kutunza historia na mchango wa viongozi
kwani uwanja wa ali hassan mwinyi alijenga yeye? au uwanja wa sokoine huko songea alijenga sokoine?
 
kwani uwanja wa ali hassan mwinyi alijenga yeye? au uwanja wa sokoine huko songea alijenga sokoine?
Hakuna logic ya kutunza kumbuka ya Viongozi Kwa mambo ambayo hawakufanya.

Vyovyote iwavyo lazima Kuna ushiriki wao wa namna Moja au nyingine.Maana ukiniuliza vitu hajufanya unaita majina yake Ili iwaje Sina majibu.

Mwisho Kila mtu na mtizamo wake tunaweza kukubali kutokubaliana.
 
Waupe tu jina lolote la msingi huo uwanja ujengwe maana kuna watu weshapoteza pesa kushika maeneo karibu na hapo.

Isije ikawa kama ile ya stand ya huko huko Arusha, watu tunashika maeneo tukisubiri uwekezaji na sisi tuwekeze halafu mnabishana bishana na kubadili maeneo mpaka leo stand haipo.
 
Hakuna logic ya kutunza kumbuka ya Viongozi Kwa mambo ambayo hawakufanya.

Vyovyote iwavyo lazima Kuna ushiriki wao wa namna Moja au nyingine.Maana ukiniuliza vitu hajufanya unaita majina yake Ili iwaje Sina majibu.

Mwisho Kila mtu na mtizamo wake tunaweza kukubali kutokubaliana.
over!
 
Kwahiyo hata ukiitwa maasaai kuna umuhimu ama ubaya gani? mnaacha kuwaza maendeleo mnawaza upuuzi tu na uchawa.
 
Kwahiyo hata ukiitwa maasaai kuna umuhimu ama ubaya gani? mnaacha kuwaza maendeleo mnawaza upuuzi tu na uchawa.
Kuitwa maasai ndio maendeleo? Nani mpuuzi wewe au wanaojenga? Basi Utaitwa jina lako ndio maendeleo
 
Kuitwa maasai ndio maendeleo? Nani mpuuzi wewe au wanaojenga? Basi Utaitwa jina lako ndio maendeleo
wewe ndio kiazi mbatata kwahiyo majina ndio yataleta maendeleo? mimi hujanielewa mbwiga wewe namaanisha hakuna chochote uitwe hata jina la babaako, watu wanawaza vitu vya maana sio upupu, watu wanateseka na njaa ripoti zinasema umasikini unaongezeka wewe wa buku jero za kusifia wala huoni kenge wewe.
 
wewe ndio kiazi mbatata kwahiyo majina ndio yataleta maendeleo? mimi hujanielewa mbwiga wewe namaanisha hakuna chochote uitwe hata jina la babaako, watu wanawaza vitu vya maana sio upupu, watu wanateseka na njaa ripoti zinasema umasikini unaongezeka wewe wa buku jero za kusifia wala huoni kenge wewe.
We mpumbavu Samia ndio aje akulimie Ili wewe usiwe na njaa?

Kujenga uwanja sio maendeleo? Fala mkubwa unanipotezea mda.
 
Back
Top Bottom